Makamu wa Rais Afghanistan awagomea Taliban, asema yeye ndiye Rais halali

Makamu wa Rais Afghanistan awagomea Taliban, asema yeye ndiye Rais halali

Jumuiya ya kimataifa tena wakati wababe wasiyoshinda vita aka wamarekani wameomba poo?! Huyo makamu wa raisi bora angesoma alama za nyakati atulize wenge jamaa wamuingize kwenye serikali.

Hao wakuda hawachelewi kumkata kichwa akizingua. Kama Marekani imeshindwa sembuse yeye?!

Je unafahamu kama Wamarekani bado wapo Kabul na ndio wanashikilia Uwanja wa Ndege kwa Ulinzi Mkali? Je unafahamu hakuna mdudu yeyote toka Taleban ambae ameenda kushambulia hapo uwanja wa ndege?

Kuna mengi unatakiwa kujiuliza sana kuhusu hizo vita za Afganistan na uhusika wa Wamarekani.
 
Huyu jamaa Amurullah Saleh makamu wa Rais Ashraf Ghani alieikimbia nchi katokea Afghanistan kaskazini kwenye jimbo la Panjshir na ndiko kuliko kuwepo muungano wa NORTH ALLIANCE waloshirikiana na USA kuwafurusha Taliban 2001 na ndiko alikokimbilia baada Taliban kuuteka kabul. Amurullah kaondoka na makamanda wa kijeshi kwenda kuanzisha vuguvugu la kupinga utawala mpya wa Taliban
PANJSHIR ni jimbo pekee mpaka sasa hivi halijaangukiya mikononi mwa Taliban.
View attachment 1896882View attachment 1896883
Ni jana tu nimemuelezea uzuri jamaa humu.

Huyu ndie tegemeo la wamarekani.
 
Huyu jamaa Amurullah Saleh wa kabila la Tajik, alikua makamu wa Rais wa Ashraf Ghani wa Afghanistan alieikimbia nchi, katokea Afghanistan kaskazini kwenye jimbo la Panjshir na ndiko kuliko kuwepo muungano wa NORTH ALLIANCE ulioshirikiana na USA kuwafurusha Taliban 2001 na ndiko alikokimbilia baada Taliban kuuteka kabul. Amurullah kaondoka na makamanda wa kijeshi kwenda kuanzisha vuguvugu la kupinga utawala mpya wa Taliban
PANJSHIR ni jimbo pekee mpaka sasa hivi halijaangukiya mikononi mwa Taliban.
View attachment 1896882View attachment 1896883
 
Sasa jeshi lenyewe linalo mlinda limesalimu amri, yeye tu pekee yake anaweza kubisha kweli? Si wanaweza kumfwatua mara moja tu na mchezo ukaisha hivo!

Pengine anacheza na karata ya utashi wa watalibani kutaka kukubalika kimataifa na ahadi yao kwamba hawatalipiza visasi na wanasamehe watu wote wa lioshirikiana na wageni. Akijua kwamba lolote la kumfanyia yeye, litafuta imani ya nchi zote juu ya maneno ya watalibani.
 
Je unafahamu kama Wamarekani bado wapo Kabul na ndio wanashikilia Uwanja wa Ndege kwa Ulinzi Mkali? Je unafahamu hakuna mdudu yeyote toka Taleban ambae ameenda kushambulia hapo uwanja wa ndege?

Kuna mengi unatakiwa kujiuliza sana kuhusu hizo vita za Afganistan na uhusika wa Wamarekani.

Hawatadumu. Washageuzwa sana. Miamba imewatimua washenzi sana. Yaani kama mbwa koko tu.
 
Jumuiya ya kimataifa tena wakati wababe wasiyoshinda vita aka wamarekani wameomba poo?! Huyo makamu wa raisi bora angesoma alama za nyakati atulize wenge jamaa wamuingize kwenye serikali.

Hao wakuda hawachelewi kumkata kichwa akizingua. Kama Marekani imeshindwa sembuse yeye?!
Biden anasema malengo yao yamefanikiwa na kilichoshindwa ni jeshil la wa afghan na serikali yao.
 
Hawatadumu. Washageuzwa sana. Miamba imewatimua washenzi sana. Yaani kama mbwa koko tu.
Pamoja na yote, America wameondoka kwa makubaliano si kwa kutimuliwa.

Hao unaowaita miamba nani anawapenda, ikiwa hata wenyenchi wenyewe sasa wamejifungia ndani, na wengine wanadandia hadi ndege? Huo u mwamba nikwa maslahi ya nani kule Afghanistan?
 
Hawatadumu. Washageuzwa sana. Miamba imewatimua washenzi sana. Yaani kama mbwa koko tu.
Naona bado wewe hujui siasa za marekani mpaka utafuniwe na kumezewa.

Kwa akili ya kawaida ni kwamba USA wapo behind hiyo movie na ndo wafadhili wa Talebans. Wanachikitafuta ni justification ya wao kurudi tena Afghanistan ili waendelee kutawala
 
Back
Top Bottom