Full Blood Picture
JF-Expert Member
- Jan 7, 2021
- 2,223
- 3,961
Jamaa huyu anaongea sababu yuko panchir(ngome ya northern alliance) ambayo talibani hajawahi iangusha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eee bwana wee!.
Vita vya ndani havina mshindi. Bila kukaa mezani na kutengeneza muuundo usio na ubaguzi wala ugandamizaji wa haki za watu katika jamii, historia inaendelea kuonyesha kwamba "Utulivy wowote unaoweza kuonekana huwa ni unafiki, unaovundika machafuko".
Baada ya watalibani kutangaza ubabe, Makamu wa rais aitwaye, ameapa kutokukubali kukaa chini ya magaidi wa kundi la taliban na ameomba msaada wa kimataifa.
Ni nini hatima ya amani katika nchi hiyo iliyojaa watu wasiokuwa na tumaini na ambao kwao kuishi ni ukurasa tu katika kitabu?
NakupingaJumuiya ya kimataifa tena wakati wababe wasiyoshinda vita aka wamarekani wameomba poo?! Huyo makamu wa raisi bora angesoma alama za nyakati atulize wenge jamaa wamuingize kwenye serikali.
Hao wakuda hawachelewi kumkata kichwa akizingua. Kama Marekani imeshindwa sembuse yeye?!
nasubiri soma hoja za pingamizi lako mkuuNakupinga
DuuhHii ni sawa na mlevi kumkojolea komandoo kwa dharau 😂😂😂
Ila bora wataleban Wana akili kuliko mtu mweusi.Hawa taliban wangekuwa ni watu weusi tungetukanwa hadi basi
Dini imeingiaje hapa?Ila bora wataleban Wana akili kuliko mtu mweusi.
Hakuna ngozi nyesi anaweza mudu kuishi katika ardhi ya afrganistan.. Nchi ni jangwa na milima mikubwa iliyojaa mawe tu.. Ila jamaa bado wa nafanya vizuri.
Kinachowarudisha nyuma ni dini.. History ina onyesha Kwamba kila sehemu inapotawala hiyo dini watu upoteza uwezo wa kufikiri.
Ufafanuzi ndiyo Umeingiza dini. Ukumbuka hii Mada haina mipaka ya kujadili, Kama ipo nionyeshe.Dini imeingiaje hapa?
Mbona Saudi Arabia kuna dini na wanafanya vizuriIla bora wataleban Wana akili kuliko mtu mweusi.
Hakuna ngozi nyesi anaweza mudu kuishi katika ardhi ya afrganistan.. Nchi ni jangwa na milima mikubwa iliyojaa mawe tu.. Ila jamaa bado wa nafanya vizuri.
Kinachowarudisha nyuma ni dini.. History ina onyesha Kwamba kila sehemu inapotawala hiyo dini watu upoteza uwezo wa kufikiri.
mbona Marekani ipo Tanzania zaidi ya miaka 50 na hatujuti? Sisi tunajutia uwepo wa CCMAnatumika huyo marekan asije kwako mzee utajuta maisha yote
So, Taleban wamepewa mtego bila kujijua,at the end watapigwa vibaya na ndo mwisho waoNi jana tu nimemuelezea uzuri jamaa humu.
Huyu ndie tegemeo la wamarekani.
Ulitaka abaki wamchinje mkuu?@Ashraf Ghani ndio hamna kitu. Wakati wenzake kina Abdillah na mawaziri wako kwenye mazungumzo yeye alikusanya fedha na kuondoka
Mkuu hapa nilikuwa namjibu huyo aliyedai Saleh ni dhaifu kwa Ghani, nikamwambia Ghani ndio hamna kitu. Saleh yuko wilayani kwake ameanzisha resiatance, Ghani alikimbia na mabegi ya helaUlitaka abaki wamchinje mkuu?@
unajua zao lao kuu ni lipi?Ila bora wataleban Wana akili kuliko mtu mweusi.
Hakuna ngozi nyesi anaweza mudu kuishi katika ardhi ya afrganistan.. Nchi ni jangwa na milima mikubwa iliyojaa mawe tu.. Ila jamaa bado wa nafanya vizuri.
Kinachowarudisha nyuma ni dini.. History ina onyesha Kwamba kila sehemu inapotawala hiyo dini watu upoteza uwezo wa kufikiri.
Ngadaunajua zao lao kuu ni lipi?
Siyo ngada za kawaida, huwa wanalima zao flan linaitwa poppy, hutumika kutengeneza heroine ya grade A. Vita vingine vya huko ni kugombea mashamba ya poppy.Ngada