Makamu wa Rais Afghanistan awagomea Taliban, asema yeye ndiye Rais halali

Makamu wa Rais Afghanistan awagomea Taliban, asema yeye ndiye Rais halali

Jamaa huyu anaongea sababu yuko panchir(ngome ya northern alliance) ambayo talibani hajawahi iangusha
 
Eee bwana wee!.

Vita vya ndani havina mshindi. Bila kukaa mezani na kutengeneza muuundo usio na ubaguzi wala ugandamizaji wa haki za watu katika jamii, historia inaendelea kuonyesha kwamba "Utulivy wowote unaoweza kuonekana huwa ni unafiki, unaovundika machafuko".

Baada ya watalibani kutangaza ubabe, Makamu wa rais aitwaye, ameapa kutokukubali kukaa chini ya magaidi wa kundi la taliban na ameomba msaada wa kimataifa.





Ni nini hatima ya amani katika nchi hiyo iliyojaa watu wasiokuwa na tumaini na ambao kwao kuishi ni ukurasa tu katika kitabu?

Nani anakusanya michango ya kumuunga mkono huyu-the lastman❓❔, aje achukue
 
Jumuiya ya kimataifa tena wakati wababe wasiyoshinda vita aka wamarekani wameomba poo?! Huyo makamu wa raisi bora angesoma alama za nyakati atulize wenge jamaa wamuingize kwenye serikali.

Hao wakuda hawachelewi kumkata kichwa akizingua. Kama Marekani imeshindwa sembuse yeye?!
Nakupinga
 
Hapo Panjshir kwa mujibu wa taarifa za internet hakujawahi kutawaliwa na taleban .
 
HAO NI VIBARAKA WA MABEBERU.

TALIBANI IMEWARUHUSU WAKAPANDE NDEGE WAONDOKENAWENZAO.
 
Hawa taliban wangekuwa ni watu weusi tungetukanwa hadi basi
Ila bora wataleban Wana akili kuliko mtu mweusi.
Hakuna ngozi nyesi anaweza mudu kuishi katika ardhi ya afrganistan.. Nchi ni jangwa na milima mikubwa iliyojaa mawe tu.. Ila jamaa bado wa nafanya vizuri.
Kinachowarudisha nyuma ni dini.. History ina onyesha Kwamba kila sehemu inapotawala hiyo dini watu upoteza uwezo wa kufikiri.
 
Ila bora wataleban Wana akili kuliko mtu mweusi.
Hakuna ngozi nyesi anaweza mudu kuishi katika ardhi ya afrganistan.. Nchi ni jangwa na milima mikubwa iliyojaa mawe tu.. Ila jamaa bado wa nafanya vizuri.
Kinachowarudisha nyuma ni dini.. History ina onyesha Kwamba kila sehemu inapotawala hiyo dini watu upoteza uwezo wa kufikiri.
Dini imeingiaje hapa?
 
Ila bora wataleban Wana akili kuliko mtu mweusi.
Hakuna ngozi nyesi anaweza mudu kuishi katika ardhi ya afrganistan.. Nchi ni jangwa na milima mikubwa iliyojaa mawe tu.. Ila jamaa bado wa nafanya vizuri.
Kinachowarudisha nyuma ni dini.. History ina onyesha Kwamba kila sehemu inapotawala hiyo dini watu upoteza uwezo wa kufikiri.
Mbona Saudi Arabia kuna dini na wanafanya vizuri
 
Ila bora wataleban Wana akili kuliko mtu mweusi.
Hakuna ngozi nyesi anaweza mudu kuishi katika ardhi ya afrganistan.. Nchi ni jangwa na milima mikubwa iliyojaa mawe tu.. Ila jamaa bado wa nafanya vizuri.
Kinachowarudisha nyuma ni dini.. History ina onyesha Kwamba kila sehemu inapotawala hiyo dini watu upoteza uwezo wa kufikiri.
unajua zao lao kuu ni lipi?
 
Back
Top Bottom