Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 13,864
- 35,079
Ngoja niiwekevideo ipi mkuu,ebu share na sisi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niiwekevideo ipi mkuu,ebu share na sisi.
Eee bwana wee!.
Vita vya ndani havina mshindi. Bila kukaa mezani na kutengeneza muuundo usio na ubaguzi wala ugandamizaji wa haki za watu katika jamii, historia inaendelea kuonyesha kwamba "Utulivy wowote unaoweza kuonekana huwa ni unafiki, unaovundika machafuko".
Baada ya watalibani kutangaza ubabe, Makamu wa rais aitwaye, ameapa kutokukubali kukaa chini ya magaidi wa kundi la taliban na ameomba msaada wa kimataifa.
Ni nini hatima ya amani katika nchi hiyo iliyojaa watu wasiokuwa na tumaini na ambao kwao kuishi ni ukurasa tu katika kitabu?
Itabidi ajitenge na Afhagan kama Somaliland ilivyojimega kutoka kwa wapenda vitaHuyu jamaa Amurullah Saleh wa kabila la Tajik, alikua makamu wa Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan alieikimbia nchi, katokea Afghanistan kaskazini kwenye jimbo la Panjshir na ndiko kuliko kuwepo muungano wa NORTH ALLIANCE ulioshirikiana na USA kuwafurusha Taliban 2001 na ndiko alikokimbilia baada Taliban kuuteka kabul. Amurullah kaondoka na makamanda wa kijeshi kwenda kuanzisha vuguvugu la kupinga utawala mpya wa Taliban
PANJSHIR ni jimbo pekee mpaka sasa hivi halijaangukiya mikononi mwa Taliban.
View attachment 1896882View attachment 1896883
Kama mwenye rungu na mwenye mashine gani.Hii ni sawa na mlevi kumkojolea komandoo kwa dharau 😂😂😂
Unafikir US haijui kinachoendelea.. jua us hana maslah Tena na Afghanistan so hawez kurud Tena..Hapo US lazima aingize mkono, kulipiza kisasi kwa fedheha waliyopata na wanayoendelea kupata.
Sina hakika na hili. Ninachokifahamu mimi taliban wana affiliations na china, urusi na pakistani anawasaidia kwa pasi fupi fupi.Naona bado wewe hujui siasa za marekani mpaka utafuniwe na kumezewa.
Kwa akili ya kawaida ni kwamba USA wapo behind hiyo movie na ndo wafadhili wa Talebans. Wanachikitafuta ni justification ya wao kurudi tena Afghanistan ili waendelee kutawala
Mpaka leo unaweka tu haiji?Ngoja niiweke
Richard pamoja wamarekani wanamtegea lakini tayari pana ukabila unao anza kujitokeza coz WATALIBAN wengi wao ni wakabila la PASHTUUN wanachukua 60% ya wa Afghanistan, huyu Vice president Amurullah yeye ni wakabila la TAJIK na makamanda aliondoka nao ni wakabila la kitajik, yumo waziri wa ulinzi pamoja na mtoto wa mbabe wakivita wazamani wa kundi la NORTHERN ALLIANCE Ahmed Masood.Ni jana tu nimemuelezea uzuri jamaa humu.
Huyu ndie tegemeo la wamarekani.
Eee bwana wee!.
Vita vya ndani havina mshindi. Bila kukaa mezani na kutengeneza muuundo usio na ubaguzi wala ugandamizaji wa haki za watu katika jamii, historia inaendelea kuonyesha kwamba "Utulivy wowote unaoweza kuonekana huwa ni unafiki, unaovundika machafuko".
Baada ya watalibani kutangaza ubabe, Makamu wa rais aitwaye, ameapa kutokukubali kukaa chini ya magaidi wa kundi la taliban na ameomba msaada wa kimataifa.
Ni nini hatima ya amani katika nchi hiyo iliyojaa watu wasiokuwa na tumaini na ambao kwao kuishi ni ukurasa tu katika kitabu?
Eee bwana wee!.
Vita vya ndani havina mshindi. Bila kukaa mezani na kutengeneza muuundo usio na ubaguzi wala ugandamizaji wa haki za watu katika jamii, historia inaendelea kuonyesha kwamba "Utulivy wowote unaoweza kuonekana huwa ni unafiki, unaovundika machafuko".
Baada ya watalibani kutangaza ubabe, Makamu wa rais aitwaye, ameapa kutokukubali kukaa chini ya magaidi wa kundi la taliban na ameomba msaada wa kimataifa.
Ni nini hatima ya amani katika nchi hiyo iliyojaa watu wasiokuwa na tumaini na ambao kwao kuishi ni ukurasa tu katika kitabu?
Anawajua wazee wa makubazi Huyu?
Hilo neno makubazi ligeuze mbele nyuma utajua maana yake.
Geuza Hilo neno mkuu nyuma mbele.Makubazi maanake nini? Na ni watu gani mkuu?
Magaidi ni nani kiongozi?Kwanza kabisa taleban sio magaidi, hilo neno umekaririshwa na msbeberu.
Uyo makamu kama ataiongoza nchi kwa sheria za kiisilamu apo sawa. Vinginevyo hafai na atolewe kwa nguvu awafate mabeberu.
Magaidi ni nani kiongozi?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Watu wanapiga sala na milio ya mabomu 😂 hata mimi ningejichenga fastaNimechekaa sana mkuu dah ila hata wewe ungevurugwa maana sio kwa huo mtiti
Aendelee kujishaua. Bila US huyu ni kuku wa kisasa. Anatafuta namna ya kuiba pesa zilizobaki akimbie akale bata huko kwa sponsors wake. Hana jipyaHuyu jamaa Amurullah Saleh wa kabila la Tajik, alikua makamu wa Rais Ashraf Ghani wa Afghanistan alieikimbia nchi, katokea Afghanistan kaskazini kwenye jimbo la Panjshir na ndiko kuliko kuwepo muungano wa NORTH ALLIANCE ulioshirikiana na USA kuwafurusha Taliban 2001 na ndiko alikokimbilia baada Taliban kuuteka kabul. Amurullah kaondoka na makamanda wa kijeshi kwenda kuanzisha vuguvugu la kupinga utawala mpya wa Taliban
PANJSHIR ni jimbo pekee mpaka sasa hivi halijaangukiya mikononi mwa Taliban.
View attachment 1896882View attachment 1896883