Jumuiya ya kimataifa tena wakati wababe wasiyoshinda vita aka wamarekani wameomba poo?! Huyo makamu wa raisi bora angesoma alama za nyakati atulize wenge jamaa wamuingize kwenye serikali.
Hao wakuda hawachelewi kumkata kichwa akizingua. Kama Marekani imeshindwa sembuse yeye?!
Ni jana tu nimemuelezea uzuri jamaa humu.Huyu jamaa Amurullah Saleh makamu wa Rais Ashraf Ghani alieikimbia nchi katokea Afghanistan kaskazini kwenye jimbo la Panjshir na ndiko kuliko kuwepo muungano wa NORTH ALLIANCE waloshirikiana na USA kuwafurusha Taliban 2001 na ndiko alikokimbilia baada Taliban kuuteka kabul. Amurullah kaondoka na makamanda wa kijeshi kwenda kuanzisha vuguvugu la kupinga utawala mpya wa Taliban
PANJSHIR ni jimbo pekee mpaka sasa hivi halijaangukiya mikononi mwa Taliban.
View attachment 1896882View attachment 1896883
video ipi mkuu,ebu share na sisi.Nilipoona ile video wanamuuwa yule mama aliewaomba msamaha wasimuuwe ndio nikajua Hawa jamaa ni makatili mnoo mnooo
Huyu jamaa Amurullah Saleh wa kabila la Tajik, alikua makamu wa Rais wa Ashraf Ghani wa Afghanistan alieikimbia nchi, katokea Afghanistan kaskazini kwenye jimbo la Panjshir na ndiko kuliko kuwepo muungano wa NORTH ALLIANCE ulioshirikiana na USA kuwafurusha Taliban 2001 na ndiko alikokimbilia baada Taliban kuuteka kabul. Amurullah kaondoka na makamanda wa kijeshi kwenda kuanzisha vuguvugu la kupinga utawala mpya wa Taliban
PANJSHIR ni jimbo pekee mpaka sasa hivi halijaangukiya mikononi mwa Taliban.
View attachment 1896882View attachment 1896883
Huyo jamaaa hana kitu mwoga halafu ni agent wa cia bora hata rais ashraf ghani kidogoNi jana tu nimemuelezea uzuri jamaa humu.
Huyu ndie tegemeo la wamarekani.
Sio rahisi hivyo, kwa sasa US, amekubali hiyo fedheha tu, impate kuliko kuzidi kupata hasara,Hapo US lazima aingize mkono, kulipiza kisasi kwa fedheha waliyopata na wanayoendelea kupata.
China na Russia wapo nyuma ya Taliban...Nchi hiyo haikaliki tena , hapo USA Eu na washirika wa NATO watamtumia huyo makamu kama fimbo dhidi ya Taliban na watampa support yote then kifuatacho ni ITV.
Yaani hapo bora waliopelekwa Uganda .
Sasa jeshi lenyewe linalo mlinda limesalimu amri, yeye tu pekee yake anaweza kubisha kweli? Si wanaweza kumfwatua mara moja tu na mchezo ukaisha hivo!
Je unafahamu kama Wamarekani bado wapo Kabul na ndio wanashikilia Uwanja wa Ndege kwa Ulinzi Mkali? Je unafahamu hakuna mdudu yeyote toka Taleban ambae ameenda kushambulia hapo uwanja wa ndege?
Kuna mengi unatakiwa kujiuliza sana kuhusu hizo vita za Afganistan na uhusika wa Wamarekani.
Kwanini...???Hawa taliban wangekuwa ni watu weusi tungetukanwa hadi basi
Biden anasema malengo yao yamefanikiwa na kilichoshindwa ni jeshil la wa afghan na serikali yao.Jumuiya ya kimataifa tena wakati wababe wasiyoshinda vita aka wamarekani wameomba poo?! Huyo makamu wa raisi bora angesoma alama za nyakati atulize wenge jamaa wamuingize kwenye serikali.
Hao wakuda hawachelewi kumkata kichwa akizingua. Kama Marekani imeshindwa sembuse yeye?!
Pamoja na yote, America wameondoka kwa makubaliano si kwa kutimuliwa.Hawatadumu. Washageuzwa sana. Miamba imewatimua washenzi sana. Yaani kama mbwa koko tu.
Ashraf Ghani ndio hamna kitu. Wakati wenzake kina Abdillah na mawaziri wako kwenye mazungumzo yeye alikusanya fedha na kuondokaHuyo jamaaa hana kitu mwoga halafu ni agent wa cia bora hata rais ashraf ghani kidogo
View attachment 1896917
Watalilia tumboni kwa kuogopa kuunguza picha.Taliban watamtafuna.
China na Russia wapo nyuma ya Taliban...
Mhhhhhhhhhhhhhh, Mkuuu, umetisha.Anawajua wazee wa makubazi Huyu?
Hilo neno makubazi ligeuze mbele nyuma utajua maana yake.
ππππππππHuyo jamaaa hana kitu mwoga halafu ni agent wa cia bora hata rais ashraf ghani kidogo
View attachment 1896917
Naona bado wewe hujui siasa za marekani mpaka utafuniwe na kumezewa.Hawatadumu. Washageuzwa sana. Miamba imewatimua washenzi sana. Yaani kama mbwa koko tu.