Makamu wa Rais anaeweza kukaa nje ya nchi kwa mwezi mmoja kwa shughuli maalamu?

Nigeria Wakati Wa Rais Buhari Walificha Anachoumwa Lakini Walisema Hali Yake Tete Na Ni Tia Maji Tia Maji
 
Ni lazima ijulikane ni mgonjwa hata kama hatulazimiki kuambiwa aina ya ugonjwa unaomsumbua kwakuwa ni siri ya mgonjwa na daktari wake ama familia.

Ni lazima wananchi wapewe taarifa kwasababu anatibiwa kwa kodi za wananchi wala hatibiwi kwa mshahara wake.
 
JK ilitolewa taarifa rasmi kwamba amesafiri Marekani kwenda kwenye matibabu.

Alichoweka wazi JK ni ugonjwa uliokuwa unamsumbua na alikuwa anaongea kupitia vyombo vya habari vya nje kuujuza umma.
 
Ndio maana baadhi ya wadau wanapendekeza cheo hicho kifutwe
 
Wewe Pimbi kama wewe ni Msomi so uache kutumia ID Feki?

Najifunza kuandika misamiati Mimi ni Tuki? Bwege wewe

Chadema ni mbumbumbu
Akhsate sana kwa kudhihirisha ukilaza wako.
Ni punguani na kilaza pekee anayeweza kujibu hoja kwa matusi.
 
JK ilitolewa taarifa rasmi kwamba amesafiri Marekani kwenda kwenye matibabu.

Alichoweka wazi JK ni ugonjwa uliokuwa unamsumbua na alikuwa anaongea kupitia vyombo vya habari vya nje kuujuza umma.
ndio muelewe jambo la ugonjwa wa kulitolea taarifa ni muhisika mwenyewe akiona inafaa...

JK aligundulika ugonjwa wake 2013 akatoa taarifa 2015,

unadhani kwanini alifanya hivyo kwa mujibu wa taarrifa yake mwenyewe?
 
Ndio raha ya uraia pacha wa Burundi na Tanzania ukuchoka huku unaenda Uzumbura.
 
Hajamuumbua yeyote Bali amethibitisha ni sehemu ya Mbumbumbu wa CCM. Makamu wa Rais unakubali kuwa dodoki la kusafisha uongo wa wenzio huku unasali kanisani na uliapa umeshika biblia?
Kama muhusika kasema uongo ukweli ni upi em tupe bwana msema kweli
 
We ushajaribu kuwa makamu wa rais?
 
Dr kikwete alienda kutibiwa Tezi dume Marekani mbona Taifa lilijulishwa, kwa nini yeye ifichwe. inawezekana kweli alikuwa kwenye kazi maalumu na si ugonjwa.
 
Umeshaambiwa alikuwa nje kwa kazi maalum, wewe unakuja hapa kuuliza kazi gani,,kuna umuhim wowote makam wa rais kuripoti kila anachofanya? Kama unahis hujatendewa hak kafungue kesi mahakamani
 
Kama serikali inajenga utamaduni wa kusema uongo na kufanya usanii unatarajia wananchi wawe wakweli kwenye kodi .sensa .kutoa taarifa za waharifu .kuipenda nchi yao.kutotoa taarifa hasi kwa maadui wa taifa etc
Nakumbuka walisema magufuli ni mzima wa afya 🤣
 
Acha kuigiza ujinga.
 
Why unalazimisha hisia zako ziwe ukweli? Kumbuka huyo ni kiongozi ngazi ya juu kitaifa je kama serikali imebaini kuwa kuna umuhimu wa yeye kupewa short course ili kuimalisha uongozi wake ni lazima utangaziwe?
Rubbish
 
VP ni mali ya umma. Tunaposema ni mali ya umma hatumaanishi ile nafsi yake (Philip Mpango), tunamaanisha ofisi (VP Philip Mpango)
 
Sasa kwani JK alisema kwamba alikuwa kwenye shughuli maalum?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…