uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,679
- 4,283
Unataka wamfungie ndani ya lijumba,siku ya ufufuko atatokaje?View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Wachange halafu washindwe kufankamia whiskey!Ujenzi wa apo mzuri hauzidi mil 150 standard kabisa so hata wabunge wa ccm mnashindwa fanya ilo mpaka kusubili serikali au familia, Mnatetea legacy yake wakati Mambo madogo hamfanyi, changeni laki 7 kila mmoja hapo bungeni mtakua mmepata ml 210 pendekeza mchoro wakabidhi serikali pitia waziri mkuu ,wakafanye Mambo ,
Wale wakusema REST IN HELL, maana yao ndiyo hiyo au??View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Ndo shida yao tu ,kwani katika mil 11 kila mbunge akitoa laki saba Kuna shida gani? Kwanza aliwasaidia Sana fika hapo mjengoni sio lazima kila kitu serikali bado bunge laweza fanya Jambo ,ukizingatia ni Rais wa kwanza fia madarakani ,wanashindwa kujiongeza KWA vitu vidogoWachange halafu washindwe kufankamia whiskey!
His ghost may be tormenting him. Remember he is an ICU survivor.Hivi kuzuru kaburi na wakati amezikwa juzi tu inasaidia kitu gani? Huwa sielewi. Hakuwepo kwenye mazishi huyu? Duh! Kiki au?
Wakichanga au hata kutoa mawazo ya kuchanga unistue ili nami nitoe mchango wangu!Ndo shida yao tu ,kwani katika mil 11 kila mbunge akitoa laki saba Kuna shida gani? Kwanza aliwasaidia Sana fika hapo mjengoni sio lazima kila kitu serikali bado bunge laweza fanya Jambo ,ukizingatia ni Rais wa kwanza fia madarakani ,wanashindwa kujiongeza KWA vitu vidogo
Mapema hii wameanza kuabudu kaburi. Duh!Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango ametembeleaa kaburi la aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John Magufuli.
Dkt Mpango alizuru kaburi hilo akiwa njiani kuelekea Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma ili kufunga kampeni za Uchaguzi za CCM jimboni Muhambwe.
Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe utakaofanyika Mei 26, 2021 unafuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wake Mheshimiwa Nditye
Asingeenda ungeona mandhari ilivyo kwa sasa!? Ujumbe unatumwa, ili wakufurahi wa furahi kwa miradi yao haramu ya kutubagua watanzania! Hata hivyo, watashindwa kuvunja umoja, amani, na upendo wa watanzania.Tena kama anatumia kodi zetu kufanya hizo ziara za kaburini ni ujinga. Si alikuwepo msibani? Sasa hizi naona ni kama sarakasi tu.
Kwanini wamefupisha herufi P ?yaani John p.joseph magufuli?wangeandika in full tuView attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Sasa hayo mabati waliyaezeka ili kaburi la Mwamba lisipigwe na mavua na jua nini?View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Zitumike pesa alizoibaa kujenga hapoView attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
Bwashehe wewe huendi kuhiji ChatoNi jambo jema!
Tukiachana na serikali hata familia imeshindwa kweli? Sidhani kama ingegharimu hata mil.10.View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
We umeshindwa kushughulisha u bongo wako?Hivi kuzuru kaburi na wakati amezikwa juzi tu inasaidia kitu gani? Huwa sielewi. Hakuwepo kwenye mazishi huyu? Duh! Kiki au?