Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Ulikumbuka kuvaa dawa ya penzi? Inasemekana pamoja na macorona ya mabeberu kulikua pia na magonjwa ya ajabu ajabu yaliyoletwa na mabeberu....Mwambieni meko ukweli kilichomuua Ni Corona aache ubishi avae barakoa huko asije akafa tena, anyway Yule dada wa kisarawe Ni mtamu, juzi Kati nimemuonja
unalipa kodi gani wewe falasi wacha roho za kimasikini.Tena kama anatumia kodi zetu kufanya hizo ziara za kaburini ni ujinga. Si alikuwepo msibani? Sasa hizi naona ni kama sarakasi tu.
[emoji849]Shujaa kalala kwenye kibanda maiti/kibanda umiza.....
Mlevi akipita hapo anaweza dhani ndani kuna movie za kihindi, kiingilio jero.
[emoji848][emoji848]
tatizo ni kwamba utakufa tu hata uamue kuwaje.Binadamu tuache viburi duniani tunapita tu tuache kutumia vyeo vyetu kunyanyasa wengine huku tukijiita majina ya kujisifu,eti "mimi jiwe" jiwe linakufaga!
Watani wenyewe wanajuana...😂Mhhhh Sio kosa lake, kosa la waliomlea vibaya bila maadili, mtu mwenye maadili hawezi kuongea hivyo, pole yake
Kwani Maalim Seif alikuwa nani kwenye serikali ya muungano mpaka VP akienda Pemba alazimike kuzuru kaburi lake?Ni jambo jema!
Akienda Pemba akazuru pia kaburi la maalim Seif!
kigogo anakwambia alikunya pale nawewe unamsikiliza,hayatakii mema malinda yakoHata kuweka haya mabati wamempendelea. Siku nikienda Chato, mbali ya kukojolea kaburi nitayaiba mabati.
Haya mabati hayana taswira nzuri yabomolewe na kuwekwe mandhari stahiki
Wabongo tuache majungu hiyo ni temporary structure tu wakati plans za kujenga long term structure ziko underwayView attachment 1784374
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Mpango ametembeleaa kaburi la aliyekuwa Rais wa Tanzania Hayati Dkt John Magufuli.
Dkt Mpango alizuru kaburi hilo akiwa njiani kuelekea Wilayani Kibondo Mkoani Kigoma ili kufunga kampeni za Uchaguzi za CCM jimboni Muhambwe.
Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Muhambwe utakaofanyika Mei 26, 2021 unafuatia kifo cha aliyekuwa Mbunge wake Mheshimiwa Nditye.
Shujaa gani mavi matupu.Teh teh teh na Mimi nilipanga nikashushe mzigo kwenye mzoga wa Shujaa wa Africa.
Legacy ya mwendazake imepepea kama manyoya kwenye kimbunga Jobo.
Huyu Mpango kachemka sana kama lengo lake ni kupata umaarufu kwa kuzuru kaburi hili. Sana sana anajitia kimavi.
yah you see[emoji23][emoji23]Ni kweli kama lilivyokufa jiwe.
UNACHOYO, MAONO MAFUPI NA AKILI MBOVU.View attachment 1784273hii sio heshima kabisa, Rais kabuli lake limezungushiwa mabati kama kibda cha kupaki gari, inamaana serikali haina hela kujenga vizuri hapo? familia nayo imeridhika?
who knows!!!Sawa tunamtakia tu marungu mema huko kaburini
Ila ndio ujue baada ya hapo hutakojoa tena.Hata kuweka haya mabati wamempendelea. Siku nikienda Chato, mbali ya kukojolea kaburi nitayaiba mabati.
Unapambana na marehemu, pambana na maishaHata kuweka haya mabati wamempendelea. Siku nikienda Chato, mbali ya kukojolea kaburi nitayaiba mabati.