Makamu wa Rais Dkt Mpango azindua kituo cha upandikizaji Mimba na Gari la huduma tembezi za Afya

Watoto watakao tokana na mbegu za baba mmoja wakiwa wakubwa wakaoana sijui inakuaje hapo
 
Huyu jamaa anakula pesa ya nchi bure, Hana faida yoyote katika nchi
 
Kizazi cha Nyoka kitazaliwa kwa wingi nyakati zinazokuja.
Bwana , Yesu Kristo uturehem haukuwa mpango wako tangu uumbaji wako .
Ni akili za binadamu na mpango wa yule Muovu kuendeleza uzao wake usiotokana na Asili ya uumbaji.
 
Hii huduma itatumika vibaya na wadangaji hapa mjini.

HII HUDUMA HAIKUWA NA UHALALI WOWOTE KUWEPO HAPA NCHINI MANA NI USELESA NA MATOKEO YA KUZALIWA WATOTO WASIO KUWA NA UPANDE WA BABA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…