KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
Mbona unaongea kana kwamba hii nchi ni ya waislamu pekee yao....au kana kwamba ni sheria kuwa kila mtu afanye.......bado inabakia kuwa ni uamuzi wa mtu binafsiUislam Dini ya Hakhi hauruhusu hili
Njia pekee ya upatikanaji wa mimba ni kwa njia ya kukutanisha manii ya Mwanamume katika yai la mwanamke kwa njia ya kujamiiana ikihusisha dhakali ya Mume na Uke wa Mke
Ukafiri kabisa huu, Dr. Janabi anatujaribu kwa Mtihani huu
Both cases IVF is performed.IVF ni procedure ya kupandikiza mimba na Surrogacy ni mtu mwingine anabeba mimba kwa niaba ya kwa kupitia IVF. Mkeo anaweza fanyiwa IVF kwa kutumia mbegu zako hasa zikiwa hazina speed ya kufikia eneo la tukio kwa wakati.
•Surrogacy - A process in which a woman carries and delivers a child for a couple or individual. •Surrogate mothers are impregnated through the use of in vitro fertilization (IVF) •A legal contract is required for intended parents and their carrier before medical treatment begins.
Kwani IVF haikutanishi manic na mayai?Uislam Dini ya Hakhi hauruhusu hili
Njia pekee ya upatikanaji wa mimba ni kwa njia ya kukutanisha manii ya Mwanamume katika yai la mwanamke kwa njia ya kujamiiana ikihusisha dhakali ya Mume na Uke wa Mke
Ukafiri kabisa huu, Dr. Janabi anatujaribu kwa Mtihani huu
Duh kumbe ni cheap hivo .sehemu nyingi ni zaidi ya 15mNina mtu aliefanyiwa hii procedure mloganzila sasa mimba ina miezi 5 vipi au mloganzira ni tofauti? Zilimtoka kama 2mill+
Kwani kuna tofauti gani katı ya surrogacy na IVF?
Surrogacy ndo IVF FYI.
ukubwa wa kupandikiza mimba, au kwko ni dogo shekhe wangu?LINA UKUBWA GANI HILI JAMBO?
Kwa hiyo na ndugu yako katika imaan Profesa Mohamed Janabi aliyetoa hilo tangazo; na yeye unamuweka kwenye kundi hilo hilo!Kuna mahala uislam unaruhusu ulawiti? So hata wale ni Makafiri tu na walichokifanya ni Ukafiri
mtoto wa kupandikizwa amezaliwa mwaka 1978 ni miaka mingapi tayari hii sisi tunafanya leo? halafuukubwa wa kupandikiza mimba, au kwko ni dogo shekhe wangu?
sasa si ni huko mambele mkuu, huku kwetu hatujawai kuwa na hcho ktu kwa hyo lazima tuone ni kikubwa.mtoto wa kupandikizwa amezaliwa mwaka 1978 ni miaka mingapi tayari hii sisi tunafanya leo? halafu
IS IT A NEED OR WANT?sasa si ni huko mambele mkuu, huku kwetu hatujawai kuwa na hcho ktu kwa hyo lazima tuone ni kikubwa.
Wataenda tuUislam Dini ya Hakhi hauruhusu hili
Njia pekee ya upatikanaji wa mimba ni kwa njia ya kukutanisha manii ya Mwanamume katika yai la mwanamke kwa njia ya kujamiiana ikihusisha dhakali ya Mume na Uke wa Mke
Ukafiri kabisa huu, Dr. Janabi anatujaribu kwa Mtihani huu
Hatuwez kusubiri maskini wote wajipate ndo tufanye mambo makubwa mkuu, maskini hawatakaa waishe chn ya jua.IS IT A NEED OR WANT?
KUNA VITU VINGI SANA BADO HAVIJAKAA VIZURI,HAWA WA KUTAFUTA WATOTO NI WALE WENYE NAFASI,MASKII WENGI BADO WANAJITAFUTA HATA KUNUNUA DOSE KAMILI YA ANTIBIOTIC
SIJUI KAMA UNAJUA GHARAMA ZA HIYO KITU IVFHatuwez kusubiri maskini wote wajipate ndo tufanye mambo makubwa mkuu, maskini hawatakaa waishe chn ya jua.
Una uhakika ?Nina mtu aliefanyiwa hii procedure mloganzila sasa mimba ina miezi 5 vipi au mloganzira ni tofauti? Zilimtoka kama 2mill+
Duh kumbe ni cheap hivo .sehemu nyingi ni zaidi ya 15m
tunashukuru serikali ya awamu ya sita kwa kuleta hyo huduma hapa nchini, maana wananchi walikuwa wanasafiri maelfu ya km kufuata huduma hyo.
waangalie tu kwenye gharama za hyo huduma, maana mara nyingi gharama huwa ni kipengele.
mkuu mbona unaingia kwenye mtego kirahisi hvo?Mmmmh
Mbona zipo hata za jijini ilipo hiyo!!!
mbona unasogeza magoli, gharama watamudu watakaomudu kwan kuna kulazimishwa?SIJUI KAMA UNAJUA GHARAMA ZA HIYO KITU IVF
Uko sahihimbona unasogeza magoli, gharama watamudu watakaomudu kwan kuna kulazimishwa?