Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Wabunge wa upande wa pili (CHADEMA, ACT na CUF) ni vema mkajiunga CCM ili kwa pamoja tujenge nchi

Makamu wa Rais Dkt. Mpango: Wabunge wa upande wa pili (CHADEMA, ACT na CUF) ni vema mkajiunga CCM ili kwa pamoja tujenge nchi

Tunataka ukweli na sio habari mpya. Maana hata Qoran na Bible hazina habari mpya, lakini ni vitabu tunavyoviamini. Nataka Lisu leo apige mule mule. Hata Mandela enzi za makuburu wa Afrika kusini, walikuwa wanasema anachafua nchi kwa yale aliyokuwa anayesema.
Tuko kwenye maombolezo!
 
Lissu atasema ukweli kuhusu Mwendazake wakati PLO Lumumba atapiga propaganda ambayo ilikuwa inamwingiza "chaka" Mwendazake bila yeye kujitambua kwa maslahi ya Kenya.

Bahati mbaya Mwendazake alikubali sifa zaidi kuliko ukweli. Na wafuasi wake mkawa "wazalendo wa sifa za mtu" kuliko wazalendo wa nchi kwa kukumbatia ukweli unaoweka huru watu.
Nilidhani huyo Msaliti Lissu ndiye anayefanya propaganda kwa kufanya kampeni kwa kuichafua nchi...halafu Hii kejeli ya kumuita marehemu mwendazake ni mbaya sana ...inaweza ikakurudia wewe na wenzako was Aina yako
 
Atakuwa bado hajapona vizuri ule ugonjwa wake wa kupumua kwa 100% bila shaka.

Haiwezekani mtu mzima wa kiwango cha PhD, hajui umuhimu wa upinzani Bungeni na pia katika nchi za Jumuiya ya Madola.
Mama Samia kaleta mzaha, huyu Corona bado Iko kichwani. Mwaka WA teuzi na kuapisha huu.
 
Nimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.

Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.

Ni aibu kubwa kwa taifa letu

Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
walioichafua nchi ni wale waliompiga risasi TL akiwa mbunge mchana kweupe mjn Dom bila kukamatwa, kawalaumu hao!.
 
Nilidhani huyo Msaliti Lissu ndiye anayefanya propaganda kwa kufanya kampeni kwa kuichafua nchi...halafu Hii kejeli ya kumuita marehemu mwendazake ni mbaya sana ...inaweza ikakurudia wewe na wenzako was Aina yako
Mwendazake ni Kiswahili fasaha bwashee hutumika zaidi nchini Kenya!
 
Sio ccm,sema watanzania hawakai vyama vingi,kwa sababu tayari democrasia ilikuwepo kabla ya vyama vingi,ndio maana hata kwenye tume ya maoni ya mhe jaji Francis nyalali 1991/92, asilimia 80 walikataa vyama vingi,lkn kwa busara ya ccm wakasema acha tuvunje ile kanuni ya wengi wape,ccm ikaruhusu mfumo wa vyama vingi huku watanzania walio wengi walikataa,
Tufanye uchaguzi mpya wa huru na haki ili tujiridhishe iwapo hiyo asilimia 20 ya 1991/92 bado ipo au ilishapungua
 
Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema wabunge wa upande wa pili akimaanisha Chadema ACT wazalendo na CUF ni vema wakajiunga na CCM ili kwa pamoja tuijenge mama Tanzania.

Dkt. Mpango amewashauri wabunge hao kwamba kama kuna ugumu wa wao kuhamia CCM basi wawe hata wanajenga hoja zenye kuleta maslahi ya kimaendeleo kwa mama Tanzania na siyo vinginevyo.

Chanzo: TBC.

Maendeleo hayana vyama!
Nilifikiri kwamba Mpango ni material kumbe nae ni liability.
Yaani kipaumbele cha makamu wa rais ni kuua upinzani?
Naanza sasa kuichukia serikali ya mama Samia maana haina tofauti na ile ya Magu mtoa rushwa kwa uongozi ili kuua mawazo mbadala aweze kukaa salama mahali pa kuabudiwa.
 
Nimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.

Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.

Ni aibu kubwa kwa taifa letu

Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
Eti kuiteteaa Tanzania
Mataga mna nn lakini,[emoji2957]
 
Nilifikiri kwamba Mpango ni material kumbe nae ni liability.
Yaani kipaumbele cha makamu wa rais ni kuua upinzani?
Naanza sasa kuichukia serikali ya mama Samia maana haina tofauti na ile ya Magu mtoa rushwa kwa uongozi ili kuua mawazo mbadala aweze kukaa salama mahali pa kuabudiwa.
Upinzani ulijiua wenyewe baada ya kuanza kutetea mafisadi
 
Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema wabunge wa upande wa pili akimaanisha Chadema ACT wazalendo na CUF ni vema wakajiunga na CCM ili kwa pamoja tuijenge mama Tanzania.

Dkt. Mpango amewashauri wabunge hao kwamba kama kuna ugumu wa wao kuhamia CCM basi wawe hata wanajenga hoja zenye kuleta maslahi ya kimaendeleo kwa mama Tanzania na siyo vinginevyo.

Chanzo: TBC.

Maendeleo hayana vyama!
Ataendelea kutoa hela kuwanunua au hawa wataunga juhudi bure? Kuna dhambi huwezi kuzificha, Mpango na mipango yake kashindwa kuficha siri ya ununuzi wa Wabunge na Madiwani wa upinzani?
 
Nimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.

Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.

Ni aibu kubwa kwa taifa letu

Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
Lissu anatumika na mabeberu
 
Tuendelee kumkumbusha Dr. Mipango kuwa adui wa Tanzania ni wale wale; Ujinga, Maradhi na umasikini wala si Upinzani. Aache kujitoa ufahamu.
 
Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema wabunge wa upande wa pili akimaanisha Chadema ACT wazalendo na CUF ni vema wakajiunga na CCM ili kwa pamoja tuijenge mama Tanzania.

Dkt. Mpango amewashauri wabunge hao kwamba kama kuna ugumu wa wao kuhamia CCM basi wawe hata wanajenga hoja zenye kuleta maslahi ya kimaendeleo kwa mama Tanzania na siyo vinginevyo.

Chanzo: TBC.

Maendeleo hayana vyama!
Hoja ya kimaendeleo haitegemei Chama bali uwezo wa kuyachambua mambo kwa kina kwa maslahi ya Taifa letu mama Tanzania. Makamu wa Rais, usitupotoshe mapema hii.
Kila tunapozugumza tuanze na Taifa badala ya vyama vyetu.
 
Nimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.

Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.

Ni aibu kubwa kwa taifa letu

Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
Lumumba alimpinga Meko kuhusu covid 19..Nani alikuambia Lumumba ni muimba mapambio Kama nyie
 
Nilidhani huyo Msaliti Lissu ndiye anayefanya propaganda kwa kufanya kampeni kwa kuichafua nchi...halafu Hii kejeli ya kumuita marehemu mwendazake ni mbaya sana ...inaweza ikakurudia wewe na wenzako was Aina yako
Kifo ni haki ya kila kiumbe chenye uhai, ukiwemo wewe na mimi. Kumwita Lissu msaliti ni kupungua uelewa wa maana halisi ya neno usaliti. Ni sababu ya ulaghai wa MATAGA wakihanikisha ufinyu wa uelewa na ujazo wa ujinga vichwani mwao. Uwasamehe
 
Back
Top Bottom