johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
- Thread starter
-
- #101
Tuko kwenye maombolezo!Tunataka ukweli na sio habari mpya. Maana hata Qoran na Bible hazina habari mpya, lakini ni vitabu tunavyoviamini. Nataka Lisu leo apige mule mule. Hata Mandela enzi za makuburu wa Afrika kusini, walikuwa wanasema anachafua nchi kwa yale aliyokuwa anayesema.
Hujui? Chadema Kuna Aida Kennan na covid 19 jumla 20.Kwani wapinzani walifanikiwa kupata wabunge?
Mi nachojua bungeni ni CCM tu.
Nilidhani huyo Msaliti Lissu ndiye anayefanya propaganda kwa kufanya kampeni kwa kuichafua nchi...halafu Hii kejeli ya kumuita marehemu mwendazake ni mbaya sana ...inaweza ikakurudia wewe na wenzako was Aina yakoLissu atasema ukweli kuhusu Mwendazake wakati PLO Lumumba atapiga propaganda ambayo ilikuwa inamwingiza "chaka" Mwendazake bila yeye kujitambua kwa maslahi ya Kenya.
Bahati mbaya Mwendazake alikubali sifa zaidi kuliko ukweli. Na wafuasi wake mkawa "wazalendo wa sifa za mtu" kuliko wazalendo wa nchi kwa kukumbatia ukweli unaoweka huru watu.
Mama Samia kaleta mzaha, huyu Corona bado Iko kichwani. Mwaka WA teuzi na kuapisha huu.Atakuwa bado hajapona vizuri ule ugonjwa wake wa kupumua kwa 100% bila shaka.
Haiwezekani mtu mzima wa kiwango cha PhD, hajui umuhimu wa upinzani Bungeni na pia katika nchi za Jumuiya ya Madola.
walioichafua nchi ni wale waliompiga risasi TL akiwa mbunge mchana kweupe mjn Dom bila kukamatwa, kawalaumu hao!.Nimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.
Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.
Ni aibu kubwa kwa taifa letu
Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
Mwendazake ni Kiswahili fasaha bwashee hutumika zaidi nchini Kenya!Nilidhani huyo Msaliti Lissu ndiye anayefanya propaganda kwa kufanya kampeni kwa kuichafua nchi...halafu Hii kejeli ya kumuita marehemu mwendazake ni mbaya sana ...inaweza ikakurudia wewe na wenzako was Aina yako
Chadema 1 na Chademaccm19 au..25
Chadema...... 20
ACT wazalendo...... 4
CUF......... 1
Maendeleo hayana vyama!
Tufanye uchaguzi mpya wa huru na haki ili tujiridhishe iwapo hiyo asilimia 20 ya 1991/92 bado ipo au ilishapunguaSio ccm,sema watanzania hawakai vyama vingi,kwa sababu tayari democrasia ilikuwepo kabla ya vyama vingi,ndio maana hata kwenye tume ya maoni ya mhe jaji Francis nyalali 1991/92, asilimia 80 walikataa vyama vingi,lkn kwa busara ya ccm wakasema acha tuvunje ile kanuni ya wengi wape,ccm ikaruhusu mfumo wa vyama vingi huku watanzania walio wengi walikataa,
Nilifikiri kwamba Mpango ni material kumbe nae ni liability.Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema wabunge wa upande wa pili akimaanisha Chadema ACT wazalendo na CUF ni vema wakajiunga na CCM ili kwa pamoja tuijenge mama Tanzania.
Dkt. Mpango amewashauri wabunge hao kwamba kama kuna ugumu wa wao kuhamia CCM basi wawe hata wanajenga hoja zenye kuleta maslahi ya kimaendeleo kwa mama Tanzania na siyo vinginevyo.
Chanzo: TBC.
Maendeleo hayana vyama!
Eti kuiteteaa TanzaniaNimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.
Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.
Ni aibu kubwa kwa taifa letu
Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
Tuko kwenye maombolezo!
Upinzani ulijiua wenyewe baada ya kuanza kutetea mafisadiNilifikiri kwamba Mpango ni material kumbe nae ni liability.
Yaani kipaumbele cha makamu wa rais ni kuua upinzani?
Naanza sasa kuichukia serikali ya mama Samia maana haina tofauti na ile ya Magu mtoa rushwa kwa uongozi ili kuua mawazo mbadala aweze kukaa salama mahali pa kuabudiwa.
Atashangiliwa na wajinga wenzakeLisu hataki kuwa mnafiki. Anasumamia yale yote aliyoyasema hayati akiwa hai. Ulitaka kwa sababu hayati hatunaye tena amsifu ?
Ataendelea kutoa hela kuwanunua au hawa wataunga juhudi bure? Kuna dhambi huwezi kuzificha, Mpango na mipango yake kashindwa kuficha siri ya ununuzi wa Wabunge na Madiwani wa upinzani?Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema wabunge wa upande wa pili akimaanisha Chadema ACT wazalendo na CUF ni vema wakajiunga na CCM ili kwa pamoja tuijenge mama Tanzania.
Dkt. Mpango amewashauri wabunge hao kwamba kama kuna ugumu wa wao kuhamia CCM basi wawe hata wanajenga hoja zenye kuleta maslahi ya kimaendeleo kwa mama Tanzania na siyo vinginevyo.
Chanzo: TBC.
Maendeleo hayana vyama!
Lissu anatumika na mabeberuNimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.
Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.
Ni aibu kubwa kwa taifa letu
Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
π€£ π€£ π€£ kabisa. Wapinzani wametuchelewesha sana, bila wao tungekuwa tunafanana na Ujerumani kiuchumiπππ wakishamia CCM uchumi wa Tanzania utapaa mpaka mawinguni.
Hoja ya kimaendeleo haitegemei Chama bali uwezo wa kuyachambua mambo kwa kina kwa maslahi ya Taifa letu mama Tanzania. Makamu wa Rais, usitupotoshe mapema hii.Makamu wa Rais Dkt. Mpango amesema wabunge wa upande wa pili akimaanisha Chadema ACT wazalendo na CUF ni vema wakajiunga na CCM ili kwa pamoja tuijenge mama Tanzania.
Dkt. Mpango amewashauri wabunge hao kwamba kama kuna ugumu wa wao kuhamia CCM basi wawe hata wanajenga hoja zenye kuleta maslahi ya kimaendeleo kwa mama Tanzania na siyo vinginevyo.
Chanzo: TBC.
Maendeleo hayana vyama!
Lumumba alimpinga Meko kuhusu covid 19..Nani alikuambia Lumumba ni muimba mapambio Kama nyieNimeona Lissu leo amejipanga kuchafua nchi.
Yani Mkenya PLO Lumumba amejipanga kuitetea Tanzania lakini mzaliwa wa Singida Tundu Lisu anajipanga kuchafua.
Ni aibu kubwa kwa taifa letu
Lisu ni makamu mwenyekiti hewa wa Chadema mnalipa mshahara wa bure.
Kifo ni haki ya kila kiumbe chenye uhai, ukiwemo wewe na mimi. Kumwita Lissu msaliti ni kupungua uelewa wa maana halisi ya neno usaliti. Ni sababu ya ulaghai wa MATAGA wakihanikisha ufinyu wa uelewa na ujazo wa ujinga vichwani mwao. UwasameheNilidhani huyo Msaliti Lissu ndiye anayefanya propaganda kwa kufanya kampeni kwa kuichafua nchi...halafu Hii kejeli ya kumuita marehemu mwendazake ni mbaya sana ...inaweza ikakurudia wewe na wenzako was Aina yako