Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto alalamikia Jaji Mkuu wa Kenya Kuvaa Hereni

Makamu wa Rais wa Kenya, William Ruto alalamikia Jaji Mkuu wa Kenya Kuvaa Hereni

Hiyo ni theory yenu tu muliyonayo kichwani wakiristo, Lipo andiko ndani ya kitabu chenu biblia kwamba Mungu wenu ''hana sifa ya kugeuka geuka'', kwamba leo awe Mungu kesho aje awe binadamu na afanye vitendo vya kibinadamu kama unavyosema, kuteseka sijuw kumwaga damu nk halafu arudi tena kuwa Mungu.,

Swali: Wakati Yesu amekuja kibinadamu ili awaokoe Mungu alikuwa nani wakati huo yeye ni binadamu? mana yesu ndo ashakuwa binadamu, hapa silazima utumie muda sana ni akili ya kawaida unapata majibu tosha kwa kuna udhaifu mkubwa sana kwenye hiyo muitayo dini ya kikiristu.

Halafu umesema ''ajaribiwe'' (temptation) Ivi aliyejaribiwa na kuwa binadamu ni nani na aliyemjaribu ni nani?? wataje wote 2, nijuwe aliyemjaribu na aliyejaribiwa halafu uniambie katika hawo Mungu wenu hasa ni yupi? otherwise wakiristo munataka kutuaminisha kwamba miungu wenu ni wawili, haya ni maneno huwa munalishwa kanisani lakini hakuna andiko ndani ya biblia kwamba mungu atakuwa na sifa ya kugeuka geuka.
nimesema hapa hata si kitambo... cheki vile unazidi kuongea ueleo wako wa dini yetu ndo unazidi kuonyesha vile limited knowledge of understanding of the bible. ..everything is in the bible, hayo yote unasema haiko...yote iko kwa bibilia...hakuna cha theory wala nini.... ambaye ana imani anaelewa vizuri sana... hata ni aibu ukijaribi kujadiliana na mzembe kama wewe.... yaani sijui ni madrassa gani iliku brainwash na hii half baked story...
the more najaribu kukueleza the more unachanganyikiwa.... wewe ulishapotea, aliekuroga kafa, haujakuja hapa kuelewa wala ku change mind...vile ulivyo danganywa ndo unataka ubaki hivyo hivyo maana akilini mwako unajua ukifungua macho na uelewe hio itakua ni kama ku betray dini yenu.... trying to explain to you is clearly a waste of time... huu ni wakati wa ramadhan funga na amani na upendo na jirani zako...na unyenyekevu...ama mlifundishwa kutukana dini nyengine wakati wa ramadhan ndo itafanya uongezewe ma bikra mara dufu????? kweli hii dini yenu ni ya kweli, sasa nimeelewa kwanini akina alshabaab na al-Qaida na isis huongeza mashambulizi didhi ya "non-belivers" wakati wa ramadhan.. inakaa ndo unapewa mabikra wazuri zaidi.... so kama this is your way of getting the pretty ones... then tunakuelewa tu.. good luck, endelea na campain yako ya kujipotosha
 
Mwanamme kuvaa Herini ni tamaduni za kikafiri tokea dini zao zimekosa maandiko namna ya uvaaji wa herini ndio sasa inakuja hiyo shida hajulikani mwanamke wala mwaname, mwanamke anvaa jeanz na tshirt, mwaname herini ni udhaifu wa dini ya kikiristo lazima hili liwekwe wazi.
Mutunga ni Muislamu baba.
 
nimesema hapa hata si kitambo... cheki vile unazidi kuongea ueleo wako wa dini yetu ndo unazidi kuonyesha vile limited knowledge of understanding of the bible. ..everything is in the bible, hayo yote unasema haiko...yote iko kwa bibilia...hakuna cha theory wala nini.... ambaye ana imani anaelewa vizuri sana... hata ni aibu ukijaribi kujadiliana na mzembe kama wewe.... yaani sijui ni madrassa gani iliku brainwash na hii half baked story...
the more najaribu kukueleza the more unachanganyikiwa.... wewe ulishapotea, aliekuroga kafa, haujakuja hapa kuelewa wala ku change mind...vile ulivyo danganywa ndo unataka ubaki hivyo hivyo maana akilini mwako unajua ukifungua macho na uelewe hio itakua ni kama ku betray dini yenu.... trying to explain to you is clearly a waste of time... huu ni wakati wa ramadhan funga na amani na upendo na jirani zako...na unyenyekevu...ama mlifundishwa kutukana dini nyengine wakati wa ramadhan ndo itafanya uongezewe ma bikra mara dufu????? kweli hii dini yenu ni ya kweli, sasa nimeelewa kwanini akina alshabaab na al-Qaida na isis huongeza mashambulizi didhi ya "non-belivers" wakati wa ramadhan.. inakaa ndo unapewa mabikra wazuri zaidi.... so kama this is your way of getting the pretty ones... then tunakuelewa tu.. good luck, endelea na campain yako ya kujipotosha


Ukiristu hauwezi kuwa ni dini na ndio mana sasa munasema mwanamme kuvaa herein ni utamaduni, ili na wewe upate nafasi na wewe kesho uanze kuvaa herini, skirt na blauz.
nimesema hapa hata si kitambo... cheki vile unazidi kuongea ueleo wako wa dini yetu ndo unazidi kuonyesha vile limited knowledge of understanding of the bible. ..everything is in the bible, hayo yote unasema haiko...yote iko kwa bibilia...hakuna cha theory wala nini.... ambaye ana imani anaelewa vizuri sana... hata ni aibu ukijaribi kujadiliana na mzembe kama wewe.... yaani sijui ni madrassa gani iliku brainwash na hii half baked story...
the more najaribu kukueleza the more unachanganyikiwa.... wewe ulishapotea, aliekuroga kafa, haujakuja hapa kuelewa wala ku change mind...vile ulivyo danganywa ndo unataka ubaki hivyo hivyo maana akilini mwako unajua ukifungua macho na uelewe hio itakua ni kama ku betray dini yenu.... trying to explain to you is clearly a waste of time... huu ni wakati wa ramadhan funga na amani na upendo na jirani zako...na unyenyekevu...ama mlifundishwa kutukana dini nyengine wakati wa ramadhan ndo itafanya uongezewe ma bikra mara dufu????? kweli hii dini yenu ni ya kweli, sasa nimeelewa kwanini akina alshabaab na al-Qaida na isis huongeza mashambulizi didhi ya "non-belivers" wakati wa ramadhan.. inakaa ndo unapewa mabikra wazuri zaidi.... so kama this is your way of getting the pretty ones... then tunakuelewa tu.. good luck, endelea na campain yako ya kujipotosha

Nashkuru kwamba sasa umeshindwa kupangua hoja nilizoweka na unaleta maneno ya kawaida na kebehi. Ndo mana siku zote tunasema wakiristo hawana hoja kuitetea dini yao. unatukana bure tu, lakini umeshindwa kueleza (temptation) aliyemjaribu yesu kumleta duniani akiwa binadamu ni nani. Ili yesu awe nani na huyo aliyemleta awe ni nani.

Kila mara unakuja hapa umepwaya kila nukta 1 unayoandika na aya unazotoa unashindwa kuzisimamia, mara unasema yesu alizaliwa, mara unasema ametoka mbinguni, mara yesu alikuwa nabii na alitumwa na Mungu, mara unasema hakuna andiko ndani ya bibilia yesu anasema "mimi ni Mungu niabuduni", mara yesu amejaribiwa kuwa binadamu nk ili awafundishe dini lakini wakati huo huo aliyemjaribu humtaji, mara yesu na baba lakini huelezi yesu ni nani na huyo baba ni nani, maandiko yako yote yana utata kuanzia neno la kwanza hadi la mwisho. kitabu chenu chote ni udhaifu mtupu na ndio mana wewe husali kanisani wala popote kwa sababu dini yenu ukafanya ibada usifanye ibada haizidishi kitu wala hakipunguziki kitu.

Unaposema mimi naongelea dini yenu that means hiyo dini ni ya kikundi cha watu tu ivi, ulimwengu haupaswi kuijuwa na kuifahamu, bado maneno yako kila siku yanadhihirisha udhaifu wa hiyo dini yenu.

Ndio mana unasema kuvaa hereni kwa mwanamme ni utamaduni, ili na wewe kuanzia kesho upate nafasi uvae hereni, skirt na blauz na viatu vya vyenye kisigino.
 
Waislamu raha sana. Dini yao ndo ya kweli na ole wako uiseme vibaya lazima uchinjwe na wakishindwa wanatoa fatwa ya kukuua popote utakapoonekana. Dini ya kweli hiyo. Uzuri siku hizi Daesh, Vijana wa Somalia na Elimu ya Magharibi Haramu wanaiwakilisha vizuri sana.

Kudos
 
Shika dini yako achana na dini za watu wengine maana hutahukumiwa kwa dhambi za jirani yako! Watu wote wameletwa na Mungu kwa malengo anayoyajua yeye. Shika ulichonacho
Hatuwezi kuacha watu wanapotea tukawatizama tu tutaulizwa mbele ya Allah pia ibada zetu hazitokua na siku ya mwisho
 
I see waKristo tu ndiyo huvaa hereni! Diamond, harmonize na wasanii wote ambao wengi wao Ni waislam hawavai hereni sio. FYI huyu judge ni atheist.

Diamond katoboa na pua kabisa, alafu unasema dini ya Kikafiri umerogwa?
 
Love for ruto is same across all political divide .....i think Ruto not being president is the one thing all kenyans will agree on
1475095780241.png
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji108]


1475096678719.png
 
Kwa kiongozi kama huyu kwa kuvaa heleni si kitendo kizuri.

Unafahamu tamaduni ya kabila lake inasemaje juu ya hereni?

Ni heri ya jaji huyo kuliko jaji wenu aliegeuka kuwa msemaji wa Lipumba pumba
 
Back
Top Bottom