Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Huku unafukuzwa kwenye chamani muhimu kuheshimu maamuzi ya wananchi moja moja na watu mashuhuri pia katika kuamua wa kumuunga mkono na kumchagua..
ndivyo demokrasia komavu ilivyo 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku unafukuzwa kwenye chamani muhimu kuheshimu maamuzi ya wananchi moja moja na watu mashuhuri pia katika kuamua wa kumuunga mkono na kumchagua..
ndivyo demokrasia komavu ilivyo 🐒
YapKwani Sativa alipekekwa Oysterbay hotel?
Kutotaka kuwatambua watekaji kwa nguvu ya musuli ndiyo wanayoyakataa waungwana wa aina za kina Dick Cheney.
Vyama havipaswi kuwa mama zetu ndugu zangu.
Tukiwavaa watawala Hawa, bila kujali vyama, mengi, ukiwamo utekaji utakoma.
Kwani ninyi mna maslahi nao?
Kabla ya kujifanya kuwa mtu makini atuambie ziko wapi WMD za Iraq.Hii ndiyo ile maana kamili ya vyama kutokuwa mama wa waungwana:
View attachment 3089391
Uwaambie nini wale chawa kindaki ndaki wa pande za kwetu?
Kwamba hayapo wanayosimamia ila vyama.
Huku unafukuzwa kwenye chama
Balaa tupuHuku kuna wenye ku aspire hata Lissu afukuzwe chama kwa uzalendo wake.
Uchawa ni laana!
Kabla ya kujifanya kuwa mtu makini atuambie ziko wapi WMD za Iraq.
Aseme kwanini alisababisha ulemavu vifo vya mamilioni ya Wairaq na askari wa USA kwa kusema uongo.
kama akina David Silinde na Lijualikali sio 🐒Huku unafukuzwa kwenye chama
Itakuwakama akina David Silinde na Lijualikali sio 🐒
ni muhimu kuheshimu maamuzi ya wananchi moja moja na watu mashuhuri pia katika kuamua wa kumuunga mkono na kumchagua..
ndivyo demokrasia komavu ilivyo 🐒
kama akina David Silinde na Lijualikali sio 🐒
ni wananchi wenyewe tu kuamua kuchagua uadilifu na maendeleo au kuchagua dhana ya hofu, hisia na uzushi wa utekaji 🐒Hatuwezi kuchagua watakao tuondolea kadhia kama hizi za utekanaji?
ni wananchi wenyewe tu kuamua kuchagua uadilifu na maendeleo au kuchagua dhana ya hofu, hisia na uzushi wa utekaji 🐒
Actually,Hao si waliunga juhudi?
Labda ungesema COVID-19?
kwasabubu za kimaadili na ubobevu wangu katika masuala ya kidipomasia, kisiasa, kitaifa na kimataifa. Na kwakuzingatia principles za kitaalamu katika kushughulikia masuala mbalimbali maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi...Tushirikiane kuwatia adabu watekaji bila kujali vyama.
Hudhani hivyo ndugu?
actually,Taabu ni kwenye kububujikwa machozi kwa lolote.
Ninakazia:
Uchawa ni laana.
au kama akina zito kabwe, Samson mwigamba na Prof. kitila mkumbo waliofukuzwa chadema kwa fedheha kwasababu tu ya kua na maoni na mitazamo tofauti na waandamizi wengine ndani ya chadema dah!🐒Itakuwa
actually,
ilikua ni ushirikiana kuwafukuza zito kabwe, Prof.kitila mkumbo na Samson mwigamba kwasababu tu ya kua na utofauti wa kimaoni na kimtazamo na waandamizi wengine Chamani 🐒
kwasabubu za kimaadili na ubobevu wangu katika masuala ya kidipomasia, kisiasa, kitaifa na kimataifa. Na kwakuzingatia principles za kitaalamu katika kushughulikia masuala mbalimbali maeneo mbalimbali nchini na nje ya nchi...
ni vigumu mno kwangu mimi kushughulika na hisia au dhana ambayo si halisi na hivyo ni vigumu mno hata kudraw alternative means za kudeal nayo...
actually,
matokeo ya utafiti unaoendelea yakitoka, nadhani naweza kuona hatua muafaka za kuchukua 🐒
unapotosha gentleman,Kuna waliotekwa wakapelekwa Oysterbay.
Kwani ilikuwa ni hotel? Alisikika rais wa taasisi fulani akihoji.

unapotosha gentleman,
hakuna waliotekwa wakapelekwa oyestabay humu nchini...
usahihi ni kwamba kulikua mshukiwa wa uchochezi na mpotoshaji wa mitandao ya kijamii alieawahi kutiwa nguvuni katika kituo cha polisi katika eneo ulilolitaja na si vinginevyo na alikwisha achiwa huru muda mrefu![]()