Makamu wa Rais wa zamani, Cheney (Republican) kumpigia kura Kamala Harris

Makamu wa Rais wa zamani, Cheney (Republican) kumpigia kura Kamala Harris

Mzungu na mswahili ni watu wawili tofauti kabisa yaani kama usiku na mchana. Yaani eti sisi njaa tu inamfanya mtu awe mlamba viatu ili tu aweze kufikiriwa kwenye teuzi...!! Watanzania tuko watu wa hovyo sana.
Tunaweza hata kumfungia kamba za viatu anayeweza kutoa cross pass ya Teuzi 😅👍
 
Amerika kwa sababu wanajiamini Taasisi zao zipo very Strong 💪 kwahiyo hata kibabu chochote kikija hakiwezi kuharibu chochote kwenye namna ya kuendesha Nchi !
Bado nafasi ya Urais ina hadhi yake hata kama taasisi ni imara namna gani.

Rais ni image ya nchi.
 
ni muhimu sana kuishi na watu vizuri na kuheshimu ndoa za wenyewe..

isije ikawa umetamani cha mtu na mtu mwenyewe akaamua kumalizana na wewe kwa namna ya kirahamia, unakuja hapa unaanza kusingizia umetekwa na polisi, hiyo ni useless kabisa bana,

kua na heshima bana alaaa :NoGodNo:

Sendeka alishakuja huku akilia lia lakini.

Kwa sasa fanya kama umejitoa ufahamu.
 
Back
Top Bottom