Warmongers support warmongers
Kuokotewa porini katavi huko ukiwa umepigwa risasi ya kichwa, ili uliwe na fisi; ndiko mnakoita wapi kuachiwa huru?
Kwani watekaji ni nani?
Prof Kindiki: Kila MTU atabeba Msalaba wake Mimi ni Waziri wa Usalama natenda KAZI Zangu Kwa mujibu wa Katiba
hayo ni masuala binafsi ambayo sidhani kwamba vyombo mahususi vinahusika kwa nanmana yotote ile kutokana na weledi na uadilifu wa waandamizi na watumishi wake makini
hizo nyingine ni dhana potofu tu
ni muhimu sana kuishi na watu vizuri na kuheshimu ndoa za wenyewe..Yakimkuta nduguyo kama yalivyowahi kumbambatiza Sendeka, usiache kutuletea mrejesho
Si upo nao CCM kuna shida?au kama akina zito kabwe, Samson mwigamba na Prof. kitila mkumbo waliofukuzwa chadema kwa fedheha kwasababu tu ya kua na maoni na mitazamo tofauti na waandamizi wengine ndani ya chadema dah!π
tatizo uwepo au ustahimilivu, uhuru na utofauti wa maoni na mtazamo wa wananchama ndani ya chama kimoja?Si upo nao CCM kuna shida?
Nadhani CCM wapo sehemu sahihitatizo uwepo au ustahimilivu, uhuru na utofauti wa maoni na mtazamo wa wananchama ndani ya chama kimoja?
ni muhimu zaid ACT wazalendo ikaimarika zaidi pia kuzidi vyama vingine vikongweNadhani CCM wapo sehemu sahihi
Sawani muhimu zaid ACT wazalendo ikaimarika zaidi pia kuzidi vyama vingine vikongwe
umeskia habari ya boniyai lakini? jaamaa anajiondoa kugombea uboss wa kanda ya pwani?Sawa
Wewe inakuhusu nini?umeskia habari ya boniyai lakini? jaamaa anajiondoa kugombea uboss wa kanda ya pwani?
ni kumbukumbu muhimu sana hii kwa wana chademaWewe inakuhusu nini?
Sawani kumbukumbu muhimu sana hii kwa wana chadema
Bila kuondoa chochote katika dhamira yake ya kutompigia kura Trump; nikushukuru sana wewe, mkuu 'Proved' kwa kumbu kumbu hiyo maridhawa uliyo iibua.Huyu mhalifu Dick Cheney mikono yake imejaa damu za raia wa Iraq
Utaonekana ni msaliti π³π€¦π½ββοΈHuku unafukuzwa kwenye chama
Amerika kwa sababu wanajiamini Taasisi zao zipo very Strong πͺ kwahiyo hata kibabu chochote kikija hakiwezi kuharibu chochote kwenye namna ya kuendesha Nchi !Marekani sasahivi haina watu aisee.
Yaani kibabu Trump ndio cha kukitegemea??
What a shame to America.
Yule Mwenyekiti wa nanihino wa kule Kagera ndio anajua mambo huwa yanaendaje π³ni muhimu sana kuishi na watu vizuri na kuheshimu ndoa za wenyewe..
isije ikawa umetamani cha mtu na mtu mwenyewe akaamua kumalizana na wewe kwa namna ya kirahamia, unakuja hapa unaanza kusingizia umetekwa na polisi, hiyo ni useless kabisa bana,
kua na heshima bana alaaa