ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Tunaweza hata kumfungia kamba za viatu anayeweza kutoa cross pass ya Teuzi π πMzungu na mswahili ni watu wawili tofauti kabisa yaani kama usiku na mchana. Yaani eti sisi njaa tu inamfanya mtu awe mlamba viatu ili tu aweze kufikiriwa kwenye teuzi...!! Watanzania tuko watu wa hovyo sana.
katika mambo haya hakuna habari ya sijui ati nani anajua nini,Yule Mwenyekiti wa nanihino wa kule Kagera ndio anajua mambo huwa yanaendaje π³
Kwakweli π πkatika mambo haya hakuna habari ya sijui ati nani anajua nini,
ni kuheshimiana tu na kuheshimu mambo ya wengine pia
Bado nafasi ya Urais ina hadhi yake hata kama taasisi ni imara namna gani.Amerika kwa sababu wanajiamini Taasisi zao zipo very Strong πͺ kwahiyo hata kibabu chochote kikija hakiwezi kuharibu chochote kwenye namna ya kuendesha Nchi !
ni muhimu sana kuishi na watu vizuri na kuheshimu ndoa za wenyewe..
isije ikawa umetamani cha mtu na mtu mwenyewe akaamua kumalizana na wewe kwa namna ya kirahamia, unakuja hapa unaanza kusingizia umetekwa na polisi, hiyo ni useless kabisa bana,
kua na heshima bana alaaa
suala ni moja tu, heshma.Full stopSendeka alishakuja huku akilia lia lakini.
Kwa sasa fanya kama umejitoa ufahamu.
Ndiyo maana hatuendi mbeleUtaonekana ni msaliti π³π€¦π½ββοΈ