Mmeshindwa kuendelea kuhofia kuumbuka... Yaani mliwategemea mashahidi sampuli ya Urio??? Aibu sanaPamoja na kufutiwa mashitaka naamini Mbowe na Genge lake la kihalifu watakuwa wameshika adbu.
na wamejifunza kuwa ukichezea Amani ya nchi utashughulikiwa kama mbwa koko.
Ushauri wa bure sasa ni bora akalee wajukuu.
aache tabia ya kuajiri wahalifu, wauza madawa, wavuta bangi, majambazi n.k
Sasa tutamfuatilia hadi chooni.
Anajiona Halima Mdee na anajisikia Halima Mdee.Nimejiuliza tu, baada ya haya Halima Mdee anajionaje?
Anajisikiaje?
Ni mama au DPP?. Na unamshukuru mama kwa lipi wakati watu walikuwa wameandaa ushahidi wao?. Unamshukuru mtu aliyesema umekimbia kwa sababu ya ugaidi?.
Mungu mbariki MboweMungu,Mbariki Mama Samia,Rais msikivu,Rais mwenye upendo,Rais anayependa raia wake.Mungu mpe uzima,afya,umri mrefu,Rais wetu,kipenzi cha wengi.Ni msikivu kama jina Lake,Samia(kwa kwa lugha za mashariki ya kati,msikivu)
Naona leo hutolala!! *****Ofisi ipo kichochoron huko eti makao makuu gan yapo kama store ya mkaa?
Nakuonea huruma yani,povu lote lile afu Mungu si wewe kamsaidia kaachiwa baada ya kugundua Kesi ya maagumashi.Kuna watu leo watapatwa na home za ghafla kwa mawazo
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Baada ya kuchanganyikiwa unaanza kuchanganya madesa???Tuliza akili utaokota makopo.Acha siye tuendelee kufurahi ukweli umeshindwa uwongo.Kwa taarifa nilizonazo za ndani ya Chadema Lisu na Lema hawajafurahia walikuwa wakipiga pesa sana kwa Mbowe kuwa ndani wakichangisha michango na kuila wakijua hatoki
Sasa katoka Lema na Lisu mkabidhini Mbowe pesa zote mlizochangisha ndani na nje kabla hamjaumbuliwa
Kuna taarifa Lisu kusikia Mbowe katoka kaahirisha kurudi Tanzania kuogopa kubanwa
Tindo unakwama wapi? Utalinganisheje upumbafu wa huyo ‘mfalme juha zamaradi’ na utoto?! Utoto Una heshima zake mkuu!Huu utoto umecopy na kupost kwenye kila uzi unaishia kuonyesha utoto wako.
Dpp kafuta Kesi full stop.Yani ninyi ndiyomaana mnapitia magumu na lichamalenu. Na msahau kushika nchi,, mjinga gani atakubali watu from NORTH waliongoze taifa!! Umesahau zitto alichoongea na mama, umesahau huko ubelgiji mama alipokutana na tundu lisu!!! Unataka kutuambia huo siyo msamaha wa huyu mama!!!! Acheni kujimwambafai wakati uwezo wenyewe wa kujitetea hamuna.
Mama God bless you, hautasahaulika kwa wananchi wako. Tunakupenda mama. Mama ni mama tu.
Achana na madanga ya kike yale!Nimejiuliza tu, baada ya haya Halima Mdee anajionaje?
Anajisikiaje?
Mkuu kuna kupatwa, hakutarajia haya matokeo!Ficha Ujinga unapokuwa kwenye majukwaa haya
Limewashuka vibaya mnooAcha kushobokea visivyokuhusu. Ndo tupo hapa saa hii.
Limewashuka shuuu
Mbowe alikuwa anafanya harakati kwa njia haramu bila kujali Amani na utulivu wa nchi.Zandrano Issue siyo Mbowe kubadilika ni wewe kubadilika tumia UBONGO kufikiri maana hivyo ulivyo unatumia uji kufikiri.
Sent from my Infinix PR652B using JamiiForums mobile app
Naona mjane una hasira sana na ashki zimekujaa kumgusa mzee wako Mdee. Nasikia Halima ni bingwa sana wa kuwaliwaza nyie wajane. Wapi nimesema au kutaka aishi kwa fikra zangu?Anajiona Halima Mdee na anajisikia Halima Mdee.
Ulitaka aishi kwa kufata fikra zako? Jifirie wewe achana na kufikiria wasio kuhusu.
Punguani wahed.
Nakukumbusha tu kuwa Sabaya ni mfungwa wa miaka 30Ofisi mbona hamuonyeshi hiyo kama banda kama la kufuga kuku
Mumekula hela za wafadhili wa Ndani na nje ofisi hamjengi
BBC ,nk mkichukua picha chukueni na picha ya hiyo ofisi ulimwengu uone pesa zao zilivyoliwa
Acha upumbavu, kama unafikiri kuwa kwa Mbowe kuwekwa mahabusu Ndiyo njia ya kumnyamazisha, utakuwa na uharo kichwani.
Ikiwa tu, amekataa kuomba msamaha mliomlazimisha Hadi mkaomba poo atawezaje kunyamaza.
Ndiyo kwanza mmemwongezea umaarufu, ama kweli kama ninyi ndio washauri wa ccm basi utafiti wa TWAWEZA utaendelea kuwa hai kwa muda mrefu.
Nitaleta mada kabambe kuhusu hilo ili ijadiliwe hapa JF , ngoja nipate details zaidi maana mpaka sasa kuna minong"ono tuHili linajadilika. Nadhani mada mpya juu yake ni stahili.
Karibu sanaUsidanganye watu....
Hako kaeneo watu maelfu hawawezi kusimama......
Mbele ya hako kaofisi kuna eneo dogo sana
#Siempre JMT[emoji120]