Unachekelea nini sasa. Kwani umeambiwa kaacha au kafukuzwa kazi? We subiri tu zamu yako ifike kama umedhulumu wananchi.Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.
Sahivi wako bize kukopi alichokua anafanya......hizohizo mbinu wanazoziponda baadae wao wenyewe wanaanza kuzitumiaMnachonifurahisha akianza ziara zake mnajikausha kimya. Akitulia kujipqnga tena mnaibuka ooh katulizwa..ooh sijui kafanyeje. Soon atakuja na mrejesho tupo nae huku.
Mbona mnatumia tungo tata a. k. a codesYule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.
Jamii forum ni platform kama X, sio chombo rasmi cha habari, ndio maana wana moderators na sio editorsKuna watu wanaocomment hadi unajiuliza, kama huyu ndio yupo Jf na anajua kutumia smartphone.. Vipi wale walio na zero exposure huko madongo kuinama
Maxence asipojipanga kwenye quality control, Jf itaendelea kuporomoka kiubora maana palipo na wapumbavu wenye kelele, werevu wengi huwapuuza kwa kukaa kimya
Hakuna kazi ngumu duniani kama kutatua migogoro kwenye eneo ambalo lina sheria kinzani.....kuna tofauti kati ya kutatua migogoro na kutatua dalili za migogoro. Faraja inayopatikana ni ya muda.Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.
Tulia dawa ikuingie Bashite yuko hoi bin taaban Grand Melia hawezi hata kuchamba achilia mbali kwenda ofisini.
Maneno ya wakosaji na wasio somaYule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.
Wasalimie MkuyuniYule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.
Jamii forum ni platform kama X, sio chombo rasmi cha habari, ndio maana wana moderators na sio editors
Kwa hiyo kwako wewe kuabudu mizimu ya kwenu ni ushirikina, na kuabudu vya wazungu na waarabu au wahindu kwako ninini?Kwamba Lissu naye ni mshirikina, mwabudu Mizimu ya kwao huko?
Ndiyo ujue wananchi wa Nchi hii ya Tanzania, wengi tunaongozwa na chuki na ushabiki, mpaka tunachokitaka inakua hatukijui.Pamoja na yote kafanya kazi kubwa aisee
Watu wamepata haki zao walizodai na kudhulumiwa Kwa muda mrefu!
Watu Huwa wanabadirika naamini ht ye kabadirika
Rekebisha...Makonda hadi sasa kafanya kazi ya kutukuka kabisa Arusha.
Natumaini ataendelea kutatua migogoro ya ardhi kwenye maeneo ya Monduli kama Mbunge Lowasa alivyomuomba wakati anaripoti Arusha. Pia migogoro ya Ngorongoro.
Kuna nini eti hapa mkuu??Rekebisha...
P
Bado tu hakijaeleweka huko.Yule Mkuu wa mkoa mwenye makeke mengi katulizwa tulii baada ya kuwasumbua wala nchi.
Makosa yake ya nyuma na lile tambiko la Lissu limemkamata kweli kweli.
Ni suala la muda tu ukweli na uwazi utawekwa hadharani.
Ngongo kwasasa Makuyuni.