Ni kweli kabisa. Ushirikiano muhimu sana. Unajua kuna baadhi ya memba wanajiona wao ndio wao.Ama kweli umoja ni nguvu sijawahi ona uzi humu jamii forum kuanzia page ya kwanza mpaka ya mwisho watu wanakula likes tu ,Nshazoea kuona likes zinatolewa kwa kujuana tu ,Wakongwe na nyodo zao ,wanasahau pia wanazeeka ,hivyo kizazi kipya lazima kiwapiku
Changamoto zipo ila tutakabiliana nazoNashukuru sana kwa ushauri. Changamoto najua zitakuwepo tu
Shukran mkuuNa kwako pia
Sio kuogopa Bali huwa siamini katika kushindwa, ndo maana mawazo kama hayo huwa siyapi nafasiHaha,mkuu mbona unaogopa
Ndo manake. Tutazikabili tuChangamoto zipo ila tutakabiliana nazo
Kuna watu wanaohusika, hizo ni siri kutoka baraza kuu.Ni nani anayehusika kukagua mamluki?
[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115] pointSiulizi tena
Vizuri mkuu,hapa hamna kurudi nyumaSio kuogopa Bali huwa siamini katika kushindwa, ndo maana mawazo kama hayo huwa siyapi nafasi
Duuh Jimena wewe mkali, hujalala tuu, mi nishaanza kusinziaSio kuogopa Bali huwa siamini katika kushindwa, ndo maana mawazo kama hayo huwa siyapi nafasi
Safi kabisaMi ndio maana huwa nina majibu ya karaha kwa wajuaji
Hahahahaaaa...... Mkuu nimeshaiona ofa yako.Offer offer offer,
Pata offer kabambe leo
Just give to receive
Pata like baada ya ku like
Pata followers baada ya ku follow
[emoji2] [emoji111]
Aisee uncle tumekuja ku takeover, hatutaki mchezo kabisa maana tumechoka kuonewa.Ama kweli umoja ni nguvu sijawahi ona uzi humu jamii forum kuanzia page ya kwanza mpaka ya mwisho watu wanakula likes tu ,Nshazoea kuona likes zinatolewa kwa kujuana tu ,Wakongwe na nyodo zao ,wanasahau pia wanazeeka ,hivyo kizazi kipya lazima kiwapiku
Inatia moyo pale tunapo thamini michango ya wenzetu bila kujali wamejiunga lini Jf ,wana likes ngapi sijui nini ,Jf ni kisiwa cha elimu,sehemu ya burudani tosha nk ,hivyo tuheshimiane banaNi kweli kabisa. Ushirikiano muhimu sana. Unajua kuna baadhi ya memba wanajiona wao ndio wao.
UncleBen nakubali sana michango yako humu JF.
We tufollow ili uwe unapata notificationMakapuku wenzangu mkianzisha thread niiteni tuu, kama kawa nagonga likes mwanzo mwisho
Hongera sana kwa kuwa na macho, maana wanasema mwenye macho haambiwi tazama[emoji2] [emoji111]Hahahahaaaa...... Mkuu nimeshaiona ofa yako.
Teh teh..Kweli makapuku sio wachoyoAsante sana kwa pongezi zako mkuu,
Ni kweli wahanga wa hilo tatizo ni wengi sana, japo mimi kama mimi sijawahi kupata tatizo hilo moja kwa moja ila pia sifurahishwi pale mtu mwingine anapofanyiwa kitendo hicho eti kwasababu tu ye amejiunga JF 2016
Tuna nia nzuri tu, na kwa kushirikina tutahakikisha hiyo tabia inakwisha au kupungua kwa kiasi kikubwa.
Asante kwa kuguswa hope umepokea Likes za kutosha sana baada ya kukatisha anga hizi usiku wa leo[emoji4] [emoji4]
Haya umesikikaJamani muda wa kulala umewadia kwa mm kapuku mzoefu... Bandiko langu naliacha hapa.. Gonga like asb takuja kulupa