We utakuwa na usingizi sasaKanijia 2
Asante JimenaMi anytime naweza kulala, nawasihi mtakaokuwa macho mhakikishe chat inaendelea hapa bila kuvunja misingi wala sheria za Jamii Forum, pia msisahau kwenda kwenye ule uzi wetu kule jukwaa la malalamiko na kuweka nukta, msikoment ni nukta tu inatosha.
Tupeane Likes, tushirikiane pasiwe na ubaguzi, sisi wote ni sawa bila matabaka
Hapana mkuu, PM siendi mambo yote yawe hadharani tujibu PM yangu sasa, usibane...
Hata mimi leo nimeifanya hiyo.
Yaani hamuwezi kuamini, simu yangu imeisha chaji, ila nailetea ukauzu si kwa mapenzi haya juu yenu[emoji2] [emoji2] [emoji111]
Kapuku wote ni ndugu. Hawa wakongwe wajipange sawasawa.Mi anytime naweza kulala, nawasihi mtakaokuwa macho mhakikishe chat inaendelea hapa bila kuvunja misingi wala sheria za Jamii Forum, pia msisahau kwenda kwenye ule uzi wetu kule jukwaa la malalamiko na kuweka nukta, msikoment ni nukta tu inatosha.
Tupeane Likes, tushirikiane pasiwe na ubaguzi, sisi wote ni sawa bila matabaka
Usihofu tunalendeleza libeneke kama kawaMi anytime naweza kulala, nawasihi mtakaokuwa macho mhakikishe chat inaendelea hapa bila kuvunja misingi wala sheria za Jamii Forum, pia msisahau kwenda kwenye ule uzi wetu kule jukwaa la malalamiko na kuweka nukta, msikoment ni nukta tu inatosha.
Tupeane Likes, tushirikiane pasiwe na ubaguzi, sisi wote ni sawa bila matabaka
Pouwa ulale unono!Wapendwa mimi naona uzalendo umenishinda NINALALA,kesho pia ni siku
Good night,nawapenda wote!
Hahaha,hamna kuficha kitu mambo yote tuyaone hapa,asituletee tabia za majirani zetu.Hapana mkuu, PM siendi mambo yote yawe hadharani tu
Hoyeeeeeeeeeeeeeeee!MAKAPUKU oyeeeeeeee......!!!
OyeeeeeeeeeMAKAPUKU oyeeeeeeee......!!!
Umeona eeh!! Mbona naye ni mmoja wao kumbe hukumjua?Hahaha,hamna kuficha kitu mambo yote tuyaone hapa,asituletee tabia za majirani zetu.
We mbona unanibagua sasa? [emoji39]Mi anytime naweza kulala, nawasihi mtakaokuwa macho mhakikishe chat inaendelea hapa bila kuvunja misingi wala sheria za Jamii Forum, pia msisahau kwenda kwenye ule uzi wetu kule jukwaa la malalamiko na kuweka nukta, msikoment ni nukta tu inatosha.
Tupeane Likes, tushirikiane pasiwe na ubaguzi, sisi wote ni sawa bila matabaka
ivi kulala unono ndo kulala kwa style ganiPouwa ulale unono!
Kubaguana huku sasa, njoo then nitakuja huku!! Siwezi kurusha jiwe hewani kwanza!!Hapana mkuu, PM siendi mambo yote yawe hadharani tu
Nimekubagua kivipi?We mbona unanibagua sasa? [emoji39]
Usijali mkuuBila kunisahau mie.