damtanzania
JF-Expert Member
- Aug 31, 2014
- 752
- 1,464
Yaa nadhani nilihakikiHv janaa damtz alihakikiii kwel upoteaj wa likes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaa nadhani nilihakikiHv janaa damtz alihakikiii kwel upoteaj wa likes
Wameiba moja!Naona 5 tu
Chunguza mkuu utajionea mwenyeweNgoja nichunguze
Osiee!Teh Teh Teh Teh Teh nzakupata osie
TRUE TRUEKuna mtu anaweza kujiuliza makapuku wa Jf ni nani?
Kama una kati ya sifa hizi basi knowingly or unknowingly wewe ni kapuku :
1)Kama uki comment watu wanakurukia kwa kebehi kama wewe wa juzi, poor thinking, Jf imevamiwa, siku hizi hamna great thinkers, eti na huyu gt, n.k basi jua wewe ni kapuku.
2) kama ukianzisha uzi comments hazifiki page mbili wkt mwenzako hata akipost Namkubali sana member fulani zinamiminika comments page 20. Basi usingoje tukutaje, we ni kapuku.
3)Kama ukichangia hupati likes wakati mwenzako ana comment "duh" anakula likes nane. Basi karibu sana kwenye jukwaa wewe ni kapuku mwenzetu.
4) kama post zako hazimalizi saa 24 bila kufutwa au kuunganishwa na nyingine. Basi jina letu ni lile lile kapuku
5)Kama ukiingiza masihara kidogo kwenye post za wakubwa unajikuta umekula ban. Basi ndio ukapuku wenyewe tunaousema.
Na mambo mengine kama hayo
Ikawajeee mkuuYaa nadhani nilihakiki
As long as bado nguvu za kutafuta zipo.... We changamkia post kwa sana hata wakiiba uwezi ona...Chunguza mkuu utajionea mwenyewe
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]As long as bado nguvu za kutafuta zipo.... We changamkia post kwa sana hata wakiiba uwezi ona...
Ila tusife moyoMaana ni balaaa
Poleee mkuuu coz ndo mpiraa ulivyooPole kwetu sote[emoji24]
Mm jamani nina za mitandao yote net ikizingua tu na shiftLeo voda wameninyoosha, ghafla network haipo, nadhani wananionea wivu ninavyokula like
Itakuwa wafanyakazi wao ni wale wakongwe.Leo voda wameninyoosha, ghafla network haipo, nadhani wananionea wivu ninavyokula like
Ni kweli kabisaIla tusife moyo
Wakoo na wivu hd kwa makapukuItakuwa wafanyakazi wao ni wale wakongwe.
Hahahahaaaa... Anatakiwa awatafutie mbinuItakuwa wafanyakazi wao ni wale wakongwe.
Hongera kwako, mimi natumia voda tuu.Mm jamani nina za mitandao yote net ikizingua tu na shift
Mkuu usijali,hapa utakula likes mpaka useme basi!Ewaah!! sasa hapa sawa, ila mnaweza pia kuongeza LIKE nyingine kama nyiongeza tuu
Mkuu naona kama mchaka mchana unakuacha... Ebu twende bana mambo yajipe mbeleniEwaah!! sasa hapa sawa, ila mnaweza pia kuongeza LIKE nyingine kama nyiongeza tuu