Bailly5
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 16,461
- 35,218
Makapuku oyeeeeeeeeeeree[emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350][emoji101] [emoji101] [emoji101] semaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makapuku oyeeeeeeeeeeree[emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350] [emoji350][emoji101] [emoji101] [emoji101] semaa
Hiyo zimefika 2000Aisee mpaka nina likes 1999,naombeni mniongezee moja.
Ha haa yani kapuku forum inakufanya utake kurud misri? Na barid ya huku darAcha tu,sometimes natamani sana kuwa single.
Aisee mpaka sasa nina likes 1999,naombeni mniongezee moja.
Usijali kuhusu hiloNimejiwekea malengo cha kushangaza nimevuka mara mbili.... Ongezeni like jamani kama pongezi kwangu
We have already take it over... Tunasubiri tuhamie sasa na huko kwingineee...This is awesome. Watu wame stick on a single thread. Wakongwe sc 0 vs makapuku fc 3. So far Wakongwe. Hawatuwezi... We won this battle.... Don't you know that. Guys....? Huh? Makapuku... We taking over. Gademu
mikumi mbugani mkuuHahaha.
Umefika wapi nikufuate?
Ameshakuadd tayari.Nimfuate PM si ndio mkuu
Hahahahaaaa... Ushauri wa kikapukuKwani ndoa bei gani,utaoa mwingine,tena utampata hapahapa.
Wanakwambia,unakula bangi kama mboga[emoji3] [emoji3] [emoji3]Mpaka waseme yaishe
Maana vijimaneno vyao vile vinakera sana
................................Moja kati ya post yenye comments nyingi ni "wazee wenzangu wa kuweka mzigo /kubet" ni post ambayo watu wanajadili mechi za kila siku. Ina Miaka mawili na nusu na ina 28k comments (28000/365 x 2.5 ) =wastani wa comments 30 kwa siku. Hii ya makapuku ina siku 3 comments karibu 3k. Unaweza kupata picha jinsi movement hii inavyotikisa.
youngblood [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Aisee mpaka sasa nina likes 1999,naombeni mniongezee moja.
Hoyeeeeeee.......Pamoja sana
Makapuku oyeeeeee
Sema mkuuyoungblood [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Umenifanya nicheke kwa sauti... Umeomba moja ukazidishiwa...Aisee mpaka sasa nina likes 1999,naombeni mniongezee moja.
2000 likes tayariSema mkuu
Ahaaaa haaa.... Haya jitahidi usiunguzee.... MremboWee..... Njaa kitu kingine lakini ndo hivyo unafanya vitu viwili kwa wakati mmoja 😀
We acha tuHa haa yani kapuku forum inakufanya utake kurud misri? Na barid ya huku dar
Makapuku wanakwea ngazi moja baada ya nyingine kuelekea kwenye utukufu waliokuwa wananyimwaMAKAPUKU wanazidi kukwea...