Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 154,929
- 459,607
Viongozi wa kijeshi waliochukua madaraka nchini Gabon wamemtangaza Mkuu wa Kitengo cha Walinzi wa Rais, Brice Clotaire Oligui Nguema kuwa Kiongozi wa mpito nchini humo, kwa mujibu wa ripoti za Vyombo vya Habari, Nguema ni Binamu wa Rais aliyeondolewa madarakani Ali Bongo.
@DWKiswahili_ imeripoti kuwa saa chache baada ya Viongozi wa kijeshi kutwaa mamlaka, Rais Ali Bongo alionekana kwenye ukanda wa video akiomba kusaidiwa ambapo amewataka Raia wa Gabon "kupiga kelele" na kueleza kuwa amezuiliwa kinyume cha sheria katika maakazi yake.
Jeshi la Gabon limesema Bongo anatuhumiwa kwa uhaini mkubwa.
@DWKiswahili_ imeripoti kuwa saa chache baada ya Viongozi wa kijeshi kutwaa mamlaka, Rais Ali Bongo alionekana kwenye ukanda wa video akiomba kusaidiwa ambapo amewataka Raia wa Gabon "kupiga kelele" na kueleza kuwa amezuiliwa kinyume cha sheria katika maakazi yake.
Jeshi la Gabon limesema Bongo anatuhumiwa kwa uhaini mkubwa.