Logikos
JF-Expert Member
- Feb 26, 2014
- 15,460
- 24,233
Kwahio na Kama nchi ambao tutakuwa hatujapata value for money kwa Kaya Zote kutokuhesabiwa nani atawajibishwa ?
Anna Makinda atarudisha Gharama iliyotumika ? Au Sensa itabidi irudiwe ?
Yaani hii statement inaleta sintofahamu..., yaani wanaona kutokuwalipa watu ndio suluhisho sio kuhakikisha kila kaya imehesabiwa..., au wanataka makarani waanze ku-cook data ?
Anna Makinda atarudisha Gharama iliyotumika ? Au Sensa itabidi irudiwe ?
Yaani hii statement inaleta sintofahamu..., yaani wanaona kutokuwalipa watu ndio suluhisho sio kuhakikisha kila kaya imehesabiwa..., au wanataka makarani waanze ku-cook data ?