Makarani wa sensa hawatalipwa malipo yaliyobaki kama hawatafikisha kaya 100 kila mmoja

Makarani wa sensa hawatalipwa malipo yaliyobaki kama hawatafikisha kaya 100 kila mmoja

Kwahio na Kama nchi ambao tutakuwa hatujapata value for money kwa Kaya Zote kutokuhesabiwa nani atawajibishwa ?

Anna Makinda atarudisha Gharama iliyotumika ? Au Sensa itabidi irudiwe ?

Yaani hii statement inaleta sintofahamu..., yaani wanaona kutokuwalipa watu ndio suluhisho sio kuhakikisha kila kaya imehesabiwa..., au wanataka makarani waanze ku-cook data ?
 
  • Kama ni kweli, nadhani Sensa ya Majaribio nayo ilichakachuliwa au haikuandaliwa vizuri ikapelekea maandalizi yasiyo halisia.
  • Idadi ya makarani ni ndogo sana! Makarani kama laki 2 hivi wawafikie watu karibia 60 m kwa dodoso lile. Inatia shaka, hasa mashambani

Kumbe watu wanajulikana wapo milioni 60? Sasa tena sensa ni ya nini hii?
 
Ndio maana nimeona Kuna makarani wanatumia pencel badala ya pen
Lengo wanijazie wenyewe au ndio utaratibu?
Inaruhusiwa ikiwa kama tablet imegoma, watawasilisha hilo dodoso
 
Utapikaje, utapata wapi ba za nida utakazopika?? Na ukidiunle entry lazima kishikwambi kitakataa[emoji13][emoji13]. Kupika data sio mchezo haswa ukiwa jobless mwenye elimu ambayo hukufanya practicles za kutosha, Elimu dunia hii, Elimu ya kukaririshwa, holder wa degree hawez hata kujieleza[emoji57][emoji57][emoji57]hawana uwezo wa kupika data hawa

Sio wote wana namba za NIDA, mimi mwenyewe mkuu wa kaya lakini sina kitambulisho cha NIDA lakini tulihesabiwa! Pale kwenye NIDA anapika tu, anaweka dash!
 
Kwa nini sensa zilizopita hazikuwa na sarakasi au kelele nyingi kama hii??
 
Mtakwimu mkuu wa serikali NBS, Dr. Albina Chuwa amewatahadharisha makarani kuwa hawatalipwa kiasi cha malipo kilichobaki endapo hawatafikisha kaya 100 kila mmoja, wakati akieleza mwenendo wa zoezi hilo tangu kuanza kwake mpaka hivi sasa. Amesema lengo ni kuhakikisha watu wote wanahesabiwa.

Dr. Chuwa amesema kama kuna karani amehesabu eneo lenye kaya pungufu, kuanzia 50-60 anatakiwa kwenda katika eneo jingine. "Karani asijikute kwamba eneo lake la kuhesabu watu lina kaya 50-60, akakaa akarelax, hapana, tulisema kwamba kama eneo lina kaya 50 au pungufu yu 50, lazima atakwenda kwenye eneo lingine, atakwenda kwenye eneo lingine, atakwenda katika eneo lingine, katika ileile kata, au kata nyingine kwa ajili ya kuharakisha kumaliza kazi hii mapema".

Zoezi hili la sensa litaendelea kwa siku 7 nchini, na sensa ya majengo itafanyika kwa siku 3.

View attachment 2336056

View attachment 2336058
Washawapiga kisaikolojia.

Yeye kama Mtakwimu mkuu analionaje hilo kwaaeneo ya vijijini hukoo ambapo nyumba moja kwenda nyingine ni kilometa tatu kwa uchache
 
Mtakwimu mkuu wa serikali NBS, Dr. Albina Chuwa amewatahadharisha makarani kuwa hawatalipwa kiasi cha malipo kilichobaki endapo hawatafikisha kaya 100 kila mmoja, wakati akieleza mwenendo wa zoezi hilo tangu kuanza kwake mpaka hivi sasa. Amesema lengo ni kuhakikisha watu wote wanahesabiwa.

Dr. Chuwa amesema kama kuna karani amehesabu eneo lenye kaya pungufu, kuanzia 50-60 anatakiwa kwenda katika eneo jingine. "Karani asijikute kwamba eneo lake la kuhesabu watu lina kaya 50-60, akakaa akarelax, hapana, tulisema kwamba kama eneo lina kaya 50 au pungufu yu 50, lazima atakwenda kwenye eneo lingine, atakwenda kwenye eneo lingine, atakwenda katika eneo lingine, katika ileile kata, au kata nyingine kwa ajili ya kuharakisha kumaliza kazi hii mapema".

Zoezi hili la sensa litaendelea kwa siku 7 nchini, na sensa ya majengo itafanyika kwa siku 3.

View attachment 2336056

View attachment 2336058
Hili zoezi mbona lilikuwa na muda mrefu wa maandalizi, karani kwenda kila nyumba kuuliza hapa tayari au bando inaweza kumletea shida.
 
Nilijua tu. Hao ndio MABOSS wa Tanzania. Kazi zao huwa Ni kuwatishia watu huku wao hawajui chochote kinachoendelea.

Kifuatacho hapo Ni KUPIKA DATA kumfurahisha huyo a mpuuzi kama wanavyopika data za chanjo.
Na aliyefikisha kaya hizo mia ku relax kabisa na pengine kuacha kabisa kuhesabu
 
Mtakwimu mkuu wa serikali NBS, Dr. Albina Chuwa amewatahadharisha makarani kuwa hawatalipwa kiasi cha malipo kilichobaki endapo hawatafikisha kaya 100 kila mmoja, wakati akieleza mwenendo wa zoezi hilo tangu kuanza kwake mpaka hivi sasa. Amesema lengo ni kuhakikisha watu wote wanahesabiwa.

Dr. Chuwa amesema kama kuna karani amehesabu eneo lenye kaya pungufu, kuanzia 50-60 anatakiwa kwenda katika eneo jingine. "Karani asijikute kwamba eneo lake la kuhesabu watu lina kaya 50-60, akakaa akarelax, hapana, tulisema kwamba kama eneo lina kaya 50 au pungufu yu 50, lazima atakwenda kwenye eneo lingine, atakwenda kwenye eneo lingine, atakwenda katika eneo lingine, katika ileile kata, au kata nyingine kwa ajili ya kuharakisha kumaliza kazi hii mapema".

Zoezi hili la sensa litaendelea kwa siku 7 nchini, na sensa ya majengo itafanyika kwa siku 3.

View attachment 2336056

View attachment 2336058
Kwa wito huu tunatafuta kupikwa kwa data feki ilimradi mtu afike idadi 100.
 
Hivi hawakufanya pretesting kuweza kujua kaya moja inachukuwa muda gani na kila msensa mmoja anatakiwa apewe kaya ngapi ili kuweza kumaliza kwa siku saba?
  • Trial ikifanyika kadiri ya taratibu, yawezekana haikwenda vyema sana ikapelekea maandalizi hafifu, au nchakato upatikanaji wa makarani haukuwezesha kupatikana watenda kazi bora n.k.
  • Kwenye utekelezaji halisi changamoto hazikosekani.
  • Kwa maoni yangu, ni vyema kusema kazi isipokamilika vyema makarani hawatolipwa. Piece work based pay hailetaji ubora, hasa kwa mtanzania.
 
Naona bado hao makarani wanaweza kufanya mchezo ilimradi wafikishe hizo kaya 100, hii sensa maandalizi yalifanyika muda mrefu lakini utekelezaji wake unavyokwenda ni kama vile hapakuwepo na maandalizi.
Kuna jambo lo lote kama taifa tulilowahi kufanya likafanyika kwa ufanisi na weledi?

Fomu hizi walitakiwa wapewe wakuu wa nyumba 10 waandikishe watu wanaokaa katika sehemu zao na makarani hawa wangeenda kuzikusanya tu na kuingiza data katika vishikwambi vyao. Lingekuwa zoezi rahisi sana na lisingekula Tsh. bilioni 600+ (usije kushangaa karibia nusu yake zimepigwa!)

Sasa hivi kuna uwezekano mkubwa wa kupata unreliable data.
 
Hili zoezi,wametunyima tu,ilitakiwa makarani tuwe wengi,kazi ifanyike hata siku mbili,sasa kifyatacho ni upikaji wa data,na maneno aliyotoa huyo mama,yatatumika kuwadhulumu baadhi ya makarani,siku ya mwisho.Watendaji,madiwani na viongozi wengine,watawakata pesa makarani.Hadi sasa,sidhani kama hata asilimia 50 imefikiwa.
 
Back
Top Bottom