ki2c
JF-Expert Member
- Jan 17, 2016
- 7,719
- 14,506
Makarani ni wachache sana,haki ya Mungu,hawatafikisha hata asilimia 70 ya idadi yote,japo hela imetumika na inatumika nyingi.Kwa idadi ndogo ya makarani,naunga mkono suala la makaratasi kugawiwa na kukusanywa lingefanyika,sasa unawaza walishindwa kuwaza hivyo?
- Kama ni kweli, nadhani Sensa ya Majaribio nayo ilichakachuliwa au haikuandaliwa vizuri ikapelekea maandalizi yasiyo halisia.
- Idadi ya makarani ni ndogo sana! Makarani kama laki 2 hivi wawafikie watu karibia 60 m kwa dodoso lile. Inatia shaka, hasa mashambani
Ujingaujinga tu,hii nchi inaliwaliwa hovyo,watu tuna zaidi ya miaka mitano,hatuna ajira,zikija fursa wanagawana tu,na wakigawana hawafanyi kwa ufanisi,inauma sana.