- Kama ni kweli, nadhani Sensa ya Majaribio nayo ilichakachuliwa au haikuandaliwa vizuri ikapelekea maandalizi yasiyo halisia.
- Idadi ya makarani ni ndogo sana! Makarani kama laki 2 hivi wawafikie watu karibia 60 m kwa dodoso lile. Inatia shaka, hasa mashambani
Hayo ni makisio yangu tu jamaa; kila mtu ana makisio yake. Na Sensa za zama hizi ni zaidi ya idadi ya watuKumbe watu wanajulikana wapo milioni 60? Sasa tena sensa ni ya nini hii?
Inaruhusiwa ikiwa kama tablet imegoma, watawasilisha hilo dodosoNdio maana nimeona Kuna makarani wanatumia pencel badala ya pen
Lengo wanijazie wenyewe au ndio utaratibu?
Utapikaje, utapata wapi ba za nida utakazopika?? Na ukidiunle entry lazima kishikwambi kitakataa[emoji13][emoji13]. Kupika data sio mchezo haswa ukiwa jobless mwenye elimu ambayo hukufanya practicles za kutosha, Elimu dunia hii, Elimu ya kukaririshwa, holder wa degree hawez hata kujieleza[emoji57][emoji57][emoji57]hawana uwezo wa kupika data hawa
Ghafla Watanzania tuko million 1,209Akikaa vibaya atapigwa na Contra-entry vilevile 🤣
Akili ni nini!?Inaonekana wewe Ni Mwalimu.
Walimu wa siku hizi HAMNA AKILI KABISA
Wanatumia penseli kwenye nini?Ndio maana nimeona Kuna makarani wanatumia pencel badala ya pen
Lengo wanijazie wenyewe au ndio utaratibu?
Washawapiga kisaikolojia.Mtakwimu mkuu wa serikali NBS, Dr. Albina Chuwa amewatahadharisha makarani kuwa hawatalipwa kiasi cha malipo kilichobaki endapo hawatafikisha kaya 100 kila mmoja, wakati akieleza mwenendo wa zoezi hilo tangu kuanza kwake mpaka hivi sasa. Amesema lengo ni kuhakikisha watu wote wanahesabiwa.
Dr. Chuwa amesema kama kuna karani amehesabu eneo lenye kaya pungufu, kuanzia 50-60 anatakiwa kwenda katika eneo jingine. "Karani asijikute kwamba eneo lake la kuhesabu watu lina kaya 50-60, akakaa akarelax, hapana, tulisema kwamba kama eneo lina kaya 50 au pungufu yu 50, lazima atakwenda kwenye eneo lingine, atakwenda kwenye eneo lingine, atakwenda katika eneo lingine, katika ileile kata, au kata nyingine kwa ajili ya kuharakisha kumaliza kazi hii mapema".
Zoezi hili la sensa litaendelea kwa siku 7 nchini, na sensa ya majengo itafanyika kwa siku 3.
View attachment 2336056
View attachment 2336058
Hivi ulitegemea data zisipikwe?hata kama walipwe vizuri lazima data zipikwe tuKAMA NDIYO HIVYO, TUTEGEMEE DATA ZA KUPIKA
Kuandika jina kwenye fomu Moja hiviWanatumia penseli kwenye nini?
Hili zoezi mbona lilikuwa na muda mrefu wa maandalizi, karani kwenda kila nyumba kuuliza hapa tayari au bando inaweza kumletea shida.Mtakwimu mkuu wa serikali NBS, Dr. Albina Chuwa amewatahadharisha makarani kuwa hawatalipwa kiasi cha malipo kilichobaki endapo hawatafikisha kaya 100 kila mmoja, wakati akieleza mwenendo wa zoezi hilo tangu kuanza kwake mpaka hivi sasa. Amesema lengo ni kuhakikisha watu wote wanahesabiwa.
Dr. Chuwa amesema kama kuna karani amehesabu eneo lenye kaya pungufu, kuanzia 50-60 anatakiwa kwenda katika eneo jingine. "Karani asijikute kwamba eneo lake la kuhesabu watu lina kaya 50-60, akakaa akarelax, hapana, tulisema kwamba kama eneo lina kaya 50 au pungufu yu 50, lazima atakwenda kwenye eneo lingine, atakwenda kwenye eneo lingine, atakwenda katika eneo lingine, katika ileile kata, au kata nyingine kwa ajili ya kuharakisha kumaliza kazi hii mapema".
Zoezi hili la sensa litaendelea kwa siku 7 nchini, na sensa ya majengo itafanyika kwa siku 3.
View attachment 2336056
View attachment 2336058
Na aliyefikisha kaya hizo mia ku relax kabisa na pengine kuacha kabisa kuhesabuNilijua tu. Hao ndio MABOSS wa Tanzania. Kazi zao huwa Ni kuwatishia watu huku wao hawajui chochote kinachoendelea.
Kifuatacho hapo Ni KUPIKA DATA kumfurahisha huyo a mpuuzi kama wanavyopika data za chanjo.
Kwa wito huu tunatafuta kupikwa kwa data feki ilimradi mtu afike idadi 100.Mtakwimu mkuu wa serikali NBS, Dr. Albina Chuwa amewatahadharisha makarani kuwa hawatalipwa kiasi cha malipo kilichobaki endapo hawatafikisha kaya 100 kila mmoja, wakati akieleza mwenendo wa zoezi hilo tangu kuanza kwake mpaka hivi sasa. Amesema lengo ni kuhakikisha watu wote wanahesabiwa.
Dr. Chuwa amesema kama kuna karani amehesabu eneo lenye kaya pungufu, kuanzia 50-60 anatakiwa kwenda katika eneo jingine. "Karani asijikute kwamba eneo lake la kuhesabu watu lina kaya 50-60, akakaa akarelax, hapana, tulisema kwamba kama eneo lina kaya 50 au pungufu yu 50, lazima atakwenda kwenye eneo lingine, atakwenda kwenye eneo lingine, atakwenda katika eneo lingine, katika ileile kata, au kata nyingine kwa ajili ya kuharakisha kumaliza kazi hii mapema".
Zoezi hili la sensa litaendelea kwa siku 7 nchini, na sensa ya majengo itafanyika kwa siku 3.
View attachment 2336056
View attachment 2336058
Hivi hawakufanya pretesting kuweza kujua kaya moja inachukuwa muda gani na kila msensa mmoja anatakiwa apewe kaya ngapi ili kuweza kumaliza kwa siku saba?
Kuna jambo lo lote kama taifa tulilowahi kufanya likafanyika kwa ufanisi na weledi?Naona bado hao makarani wanaweza kufanya mchezo ilimradi wafikishe hizo kaya 100, hii sensa maandalizi yalifanyika muda mrefu lakini utekelezaji wake unavyokwenda ni kama vile hapakuwepo na maandalizi.