Tatizo la ualimu ni kuwa hauna marupurupu mengine na mwalimu anazidiwa na hata dereva au muhudumu katika ofisi nyingine za umma!Hapana mkuu..
Taja taaluma inayolipwa Chini kuliko walimu!
Mahakama au Ardhi au Ni Utawala ni wa kina nani hao Fedha??
Hao wamesoma miaka 4/5 hapo nakubali, nazungumzia wenye miaka 3.Kada ya Afya.
Hapa umenena kweli kabisaTatizo la ualimu ni kuwa hauna marupurupu mengine na anazidiwa na hata dereva au muhudumu katika ofisi nyingine za umma!
TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
Sasa mbona mnahonga ili mpate ajira?View attachment 3041578
Tushachoka na hizi nyuzi zinatuzidishia machungu na hasira tu kazi kuongea tu kufanya vitendo kama wakenya aaaaah tutolee hizo nyuzi za kike hapaTURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
View attachment 3041578
taasisi zote za wizara ya mambo ya ndani nchi.Hapana mkuu..
Taja taaluma inayolipwa Chini kuliko walimu!
Mahakama au Ardhi au Ni Utawala ni wa kina nani hao Fedha??
Apo ndio utalia mara mbili sasaHiyo 500k unayopata save 300k kwa mwaka mmoja au miezi 5 fungua tigo pesa mueke shemeji yako aliofeli form4 au alieacha shule kwa mwezi utaweza kupata back up ya 700k
Maisha ni mapambano
Unaweza kunionyesha nilipodanganya..Mjadala Maridadi kabisa nipo nafatilia Mkuu wangu..
ila ningependa kuchangia kidogo..
Mwalimu hana TGS ana TGTS..
Na kingine Scale za Serikali haziangaliwi Kwa kufuata scale ila taaluma
Kuna vingi nimeona huyu kijana anajiita Truth Bot AI anapost Viko sahihi Vingine naona Ana mzuka sana na Huenda Ni mwalimu na anawachukia Walimu..
Kwa mfano Tulinganishe Afya na Elimu..
Scale ya Elimu kwa Certificate ni TGTS B
Scale ya Afya kwa Certificate ni TGHS A
Scale ya Elimu kwa Bachelor ni TGTS D
Scale ya Afya kwa bachelor inaanzia TGHS D kwa (Nursing, maabara,phamarcy na kozi zingine) na TGHS E kwa Daktari. Na Daktari ambaye ni Specialist ni kuanzia TGHS G
So huwezi kulinganisha scale kabla hujajua Wenye hiyo scale ni level gani ya Elimu..
Mjadala mzuri ila kama hamjapata Jinsi ya kuujadili mtakesha..
Niliona pia Prakatatumba abaabaabaa alitoa ushahidi mzuri sana nimependa kwa kweli..
Na hii ndo Jf ya Zaman hakuna blah blah kama huna taarifa hakuna haki ya Kuongea
Katibu wa Afya wamesoma Miaka Mitatu Mzumbe pale..Hao wamesoma miaka 4/5 hapo nakubali, nazungumzia wenye miaka 3.
Nafikiri Umeninukuu Vibaya Ndugu!Unaweza kunionyesha nilipodanganya..
Na mimi sio mwalimu boss..
Nimetoa Taarifa kwa kuwa napenda taarifa sahihi basi sina mihemko wala sio mwalimu..
Hii ndiyo Hoja niliyokuwa nataka kuizungumzia Big Up sana mkuu..Hapa cha kuwashauri ni kimoja, Kama mnachukia ualimu pambaneni sana mtafute pesa ili watoto wenu wasiwe walimu, utashangaa mtoto wako anasoma ualimu wakati ana ufaulu mzuri tu, au nasema uongo? DR Mambo Jambo Ileje ?
Chuo cha afya ni gharama kwa course kama pharmacy, nursing, clinical officer ni gharama kuanzia 2.5million hapo hakuna chakula wala hostel, kwa level ya diploma wakati education kwa level ya diploma ni laki 6 na chakula humohumo, na hosteli kila kitu unadhani mzazi maskini atakimbilia wapi? ..
Mimi nilisoma pcb div 2, nimeenda chuo nimekuta wapo wenye div 1 na tumesoma nao education, unajua kwanini? Mtu amechaguliwa hubert kairuki, st joseph au Bugando hiyo ada ya kumalizia atapata wapi? Anaamua kuja zake education, nina watu ninaowafahamu wamesoma udaktari na three ya 15 miaka ya 2014, na kuna mshikaji wangu alipata three ya 15, kamaliza udaktari china mwaka jana..nataka kusema nini? Umaskini ndio kimbilio la watu kusoma ualimu.
Kama mzazi sasa jitahidi utafute pesa watoto wako waishi ndoto zao.
@slip Shotocan Joseph midimu Truth Bot AI
Ni kweli mkuu,Hii ndiyo Hoja niliyokuwa nataka kuizungumzia Big Up sana mkuu..
Umeongea ukweli Mtamu mwanzo na Mchungu kumeza..
Kwa mfano Ili usome Bachelor ya Afya tuseme MD lazma uwe na Si chini ya 7.5 Milion kama ada na Bado Pocket money ..
Na ili usome Diploma au Certificate lazma uwe na 2.5 mpala 3milion kama Ada..
Na hiyo ndiyo motivation tunayotaka ili tutafute pesa watoto wetu wasome Course nzuri ..
Kwanini mkuuApo ndio utalia mara mbili sasa
Acha ubishi chief, kuna utofauti wa mshahara wa teacher wa arts na wa science wanaojiriwa wote kwa wakati mmoja wakiwa na degree... Miaka kumi hiyo sio kigezo kuwa uko right mambo yamebadilika...Hiyo sheria ya kuwekewa Increments tatu ambazo hujazifanyia kazi ni sheria ipi mkuu🤣🤣🤣
Yaani unaanza kunidanganya Ikiwa mimi Huu ni mwaka wangu wa 10 serikalimni 🤣🤣🤣
Huu uzeefu wako wa 10 years ndo unakuponza kushindwa kuelewa, unaleta uzoefu sijui uzeefu wakati mambo yanabadilika!Hiyo sheria ya kuwekewa Increments tatu ambazo hujazifanyia kazi ni sheria ipi mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani unaanza kunidanganya Ikiwa mimi Huu ni mwaka wangu wa 10 serikalimni [emoji1787][emoji1787][emoji1787]