Truth Bot AI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 307
- 731
Kama viwango vya mishahara vilivyotolewa na serikali vinavyotumika sasa Huviamini hakuna kitu utakachoweza kuamini mileleNikiona salary slip ndio naamini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama viwango vya mishahara vilivyotolewa na serikali vinavyotumika sasa Huviamini hakuna kitu utakachoweza kuamini mileleNikiona salary slip ndio naamini
Wewe ni Tomaso, tuletee Yako inaonyesha tofauti na muhusika alivyoandika, ili tuamini kadanganya. Mishahara ndio hio either uamini au usiamini.Nikiona salary slip ndio naamini
Wee unatoka Burundi! Taaluma nyingine wanalipwa kiasi gani kama siyo chini ya hapo. Starting salary ya waalimu ndiyo kubwa kuliko taaluma nyingine ukiondoa afya na baadhi ya taaluma za sayansi kama za geology na engineering.Mwalimu wa Bachelor analipwa 750,000/= ???🥺🥺😳😳😳😳😳😳😳😳
Mbona Pesa Ndogo sana??
NAHITAJI MWALIMU MMOJA ANIONESHE HIYO PAYING SLIP.Hapana sio mwalimu
Huwa mnapata faida gani mnapopika majungu? Hizo % za PAYE umeitoa wapi? Kwa nini hujasema hiyo 20% au 25% ni ya kile kinachozidi kwenye 520,000/=?TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
View attachment 3041578
Mbona Prakatatumba abaabaabaa amepost na akaionyesha ulikuwa wapi??NAHITAJI MWALIMU MMOJA ANIONESHE HIYO PAYING SLIP.
LENGO NI KWAMBA NAHITAJI NIONE HIZO ASILIMIA ZA MAKATO KWA SASA.
✓ NHIF- ASILIMIA NGAPI.?
✓ PAYE - ASILIMIA NGAPI.?
✓ CWT- ASILIMIA NGAPI.?
KIPI KIMEONGEZEKA NA KIPI KIMEPUNGUA NDY LENGO KUU!
Hapana mkuu..Wee unatoka Burundi! Taaluma nyingine wanalipwa kiasi gani kama siyo chini ya hapo. Starting salary ya waalimu ndiyo kubwa kuliko taaluma nyingine ukiondoa afya na baadhi ya taaluma za sayansi kama za geology na engineering.
Itume tena.Mbona Prakatatumba abaabaabaa amepost na akaionyesha ulikuwa wapi??
Maana kapost salary slip yake ikiwa na makato halisi na mpaka Take home
Hakuna bwana, huyo Jamaa hajui namna PAYE inavyokokotolewa!Kha yaani over 1mil wanakata 30%. Hatari
Kokotoa ndugu,, utupe majibu.Hakuna bwana, hugo Jamaa hajui namna PAYE inavyokokotolewa!
Muombr aitume tena Prakatatumba abaabaabaa itume tena Kijana anataka kusoma makatoItume tena.
Nimekwambia zote kasoro hizo nilizotaja hapo juu. Nenda kalinganishe kwa mfano TGS E ya mwalimu na TGS E ya taaluma nyingine.Hapana mkuu..
Taja taaluma inayolipwa Chini kuliko walimu!
Mahakama au Ardhi au Ni Utawala ni wa kina nani hao Fedha??
Nimekwambia zote kasoro hizo nilizotaja hapo juu. Nenda kalinganishe kwa mfano TGS E ya mwalimu na TGS E ya taaluma nyingine.Hapana mkuu..
Taja taaluma inayolipwa Chini kuliko walimu!
Mahakama au Ardhi au Ni Utawala ni wa kina nani hao Fedha??
UMEFIKA MBALI SANA,, NDUGU SIO VIZURI KUTUKANANA MATUSI.Mleta mada maisha ni kujipangia mwenyewe kuna mtu alikuzuia labda usisomee fani zinazolipa vizuri au kuna anayekulazimisha usibadili fani usome ingine unayoona ina pesa kuliko ualimu
Maisha yako ulipanga yaende huko unakuja kumbwekea nani humu mjinga wewe?
Badili course au ajira au ka retrain kasomee kingine chenye pesa
Kasome upya uhamie kwenye hizo fani zinazolipa badala ya kukaa unashangaa shangaa humu jamii forumsNdyo boss Nimeshangaa kwa sababu Ni mshahara wa Tabibu wa cheti (Clinical assistant aliyekaa kazini Miaka mitatu)..
Na ni Mshahara wa Tabibu ( Clinical officer ) Diploma na pia ni mshahara wa Nurse aliyekaa kazini miaka mitatu au Mshahara wa Afisa muuguzi msaidizi anayeanza kazi..
Na pia ni mshahra wa Kuruta ambaye Yuko mafunzoni RTS aliyeishia Form four na Ni just Constable tu..
Na ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo mwenye Certificate aliyefanya kazi kwa Miaka mitatu na Ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo na Mifugo mwenye Diploma anayeanza kazi..
Kiukweli Nimeshangaaa sana bhasi ndyo maana walimu Wanadharaulika sana
Kada ya Afya.Nitajie mfanyakazi wa halmashauri amemzidi mwalimu
Kwamba mshahara hautoshagiHuyo nae akikaa kazn salary inabdlika inakuw ndogo
Mjadala Maridadi kabisa nipo nafatilia Mkuu wangu..Nimekwambia zote kasoro hizo nilizotaja hapo juu. Nenda kalinganishe kwa mfano TGS E ya mwalimu na TGS E ya taaluma nyingine.