King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Wenye kujielewa wanachomoka, mimi mwenyewe sioni kama nitakaa humu, though nimeanza kujitafuta kwenye biashara nikiwa humu, mambo yakijipa nawaachia wengine gurudumu.
Aiseee plan nzuri mkuu ,laki 3 hauwezi kutoboa labda uwe mwizi ambapo DC/RC hawa wapenda sifa lazima atakufunga kuonyesha anafanya kazi.