Truth Bot AI
JF-Expert Member
- Jul 16, 2021
- 307
- 731
Taarifa ipi Imejaa Uongo Mkuu niko Tayri kukosolewaTaarifa mnapata wapi? Mbona zimejaa uongo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taarifa ipi Imejaa Uongo Mkuu niko Tayri kukosolewaTaarifa mnapata wapi? Mbona zimejaa uongo?
Mwalimu wa bachelor anachukua Mshahara TGTS ngapiBasic ni 823,000/= sema makato ndio mengi sana, ila akiwa hana heselb anachukua kama 673,000/=
Hizo za mishaharaTaarifa ipi Imejaa Uongo Mkuu niko Tayri kukosolewa
Mpwayungu VillageNdyo boss Nimeshangaa kwa sababu Ni mshahara wa Tabibu wa cheti (Clinical assistant aliyekaa kazini Miaka mitatu)..
Na ni Mshahara wa Tabibu ( Clinical officer ) Diploma na pia ni mshahara wa Nurse aliyekaa kazini miaka mitatu au Mshahara wa Afisa muuguzi msaidizi anayeanza kazi..
Na pia ni mshahra wa Kuruta ambaye Yuko mafunzoni RTS aliyeishia Form four na Ni just Constable tu..
Na ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo mwenye Certificate aliyefanya kazi kwa Miaka mitatu na Ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo na Mifugo mwenye Diploma anayeanza kazi..
Kiukweli Nimeshangaaa sana bhasi ndyo maana walimu Wanadharaulika sana
Zipo clear na ukitaka Nikupe Taarifa niambie unaona ipi imedanganywa na nitakuja Hadharani kusema ni uongoHizo za mishahara
Inamaanisha kwamba mshahara haukidhi mahitaji na ukianglia gharama za maisha zimepandaTURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
View attachment 3041578
Tunatofautiana mkuu, binafsi hiyo 670k kwa mwezi ya mwalimu naona ni pesa kubwa sanaZipo clear na ukitaka Nikupe Taarifa niambie unaona ipi imedanganywa na nitakuja Hadharani kusema ni uongo
Mkuu Hapa umedanganya kutetea Fani yako..Basic ni 823,000/= sema makato ndio mengi sana, ila akiwa hana heselb anachukua kama 673,000/=
Nhif si wanakata 3% ndo hyo zaidi ya 1M+Tupatie mchanganuo,, ndugu.
Waalimu walioajiriwa mwaka jana wenye degree basic yao ni 822k, na take home ni 676kMkuu Hapa umedanganya kutetea Fani yako..
Mwalimu wa Bachelor anachukua TGTS D1.
Kwa mujibu wa Mishahara Mipya Basic Ni Tsh 771k.. na sio 823k...
kama Doccument hapa chini inavyosema..
View attachment 3042138
ULICHOONGEA NI KWELI, NI SAHII KWA AFYA KULIPWA HIVYO NA KUZIDI, DIPLOMA YA NURSING NI KARIBU MILLION 3 KWA MIAKA 3, NI MILLION 9, UKIACHANA NA BACHELOR YA EDUCATION AMBAYO ADA NI LAKI 9 MPAKA MILLION,...Afya wote wanamzidi Kuanzia diploma na kuendelea..
TGHS B ni diploma Na ni 740,000/=
TGHS C ni Advance Diploma ni 1,040,000/=
TGHS D NI Bachelor ya Manurse na Phamarcy ni 1.2Mil
TGHS E Ni bachelor ya Daktari ni 1.5Mil
View attachment 3042129
Wafanyakazi wa mahakama...
TJs 1.1 ambayo Ni certificate na makarani wenye cheti ni 660k
TJS 2.1 makarani wa Diploma ni 981k
TJS 3.1 mawakili na Maafisa wengine wenye Bachelor 1.39 Milion..
mahakimu na Maafisa wengine waandamizi wanaendelea chini..
View attachment 3042132
Mkuu Nakukatalia huyu sio anayeanza hiyo Uliyoandilka hapo ni TGTS D4 ..ULICHOONGEA NI KWELI, NI SAHII KWA AFYA KULIPWA HIVYO NA KUZIDI, DIPLOMA YA NURSING NI KARIBU MILLION 3 KWA MIAKA 3, NI MILLION 9, UKIACHANA NA BACHELOR YA EDUCATION AMBAYO ADA NI LAKI 9 MPAKA MILLION,...
Huu ni mshahara wa mwalimu anayeanza.
Ndio hiko hivyo.Waalimu walioajiriwa mwaka jana wenye degree basic yao ni 822k, na take home ni 676k
Wenye diploma basic 616k take home kwenye 520k
Mkuu Nakukatalia huyu sio anayeanza hiyo Uliyoandilka hapo ni TGTS D4 ..
NA Sio rahisi kwa Serikali Kuanza na D4 kabla Mtu hajapigwa D1..
Kila niliangalia matangazo yote ya kazi Hakuna mwalimu anaanza na D4
Nimekujibu kwa Post namba 100 kwa Ushahidi kuwa pesa ya mwalimu ukilinganisha na mishabara ya Utumishi wengini ni ndogo..View attachment 3042142
Mwalimu mwenye degree anamzidi mhasibu na wafanyakazi woote, sema hakuna marupurupu na pesa za kuiba.
Hii uliyopost ni TGTS D4 na sio TGTS D1View attachment 3042142
Mwalimu mwenye degree anamzidi mhasibu na wafanyakazi woote, sema hakuna marupurupu na pesa za kuiba.
Nimemuwekea salary slip aendelee kubisha.Waalimu walioajiriwa mwaka jana wenye degree basic yao ni 822k, na take home ni 676k
Wenye diploma basic 616k take home kwenye 520k
Hiyo salary slip ionyeshe kama Ni TGTS D4 ...Nimemuwekea salary slip aendelee kubisha.
Nimekwambia na uelewi, kwa kipindi hiki walimu wa science woote wanaanza na D4, wanawazidi wa art ambao wanaanza na D1.Hii uliyopost ni TGTS D4 na sio TGTS D1