Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Ndyo boss Nimeshangaa kwa sababu Ni mshahara wa Tabibu wa cheti (Clinical assistant aliyekaa kazini Miaka mitatu)..

Na ni Mshahara wa Tabibu ( Clinical officer ) Diploma na pia ni mshahara wa Nurse aliyekaa kazini miaka mitatu au Mshahara wa Afisa muuguzi msaidizi anayeanza kazi..

Na pia ni mshahra wa Kuruta ambaye Yuko mafunzoni RTS aliyeishia Form four na Ni just Constable tu..

Na ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo mwenye Certificate aliyefanya kazi kwa Miaka mitatu na Ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo na Mifugo mwenye Diploma anayeanza kazi..

Kiukweli Nimeshangaaa sana bhasi ndyo maana walimu Wanadharaulika sana
Mpwayungu Village
 
TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.


1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-

2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-

3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-

4. 25%- PAYE.
=192,750/-

5. 3% - NHIF.
=23,130/-

TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-

NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k

Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:

- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.

- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%

- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%

- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%

- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%

REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?

View attachment 3041578
Inamaanisha kwamba mshahara haukidhi mahitaji na ukianglia gharama za maisha zimepanda
 
Basic ni 823,000/= sema makato ndio mengi sana, ila akiwa hana heselb anachukua kama 673,000/=
Mkuu Hapa umedanganya kutetea Fani yako..
Mwalimu wa Bachelor anachukua TGTS D1.
Kwa mujibu wa Mishahara Mipya Basic Ni Tsh 771k.. na sio 823k...

kama Doccument hapa chini inavyosema..
Screenshot_20240714_140141_Adobe Acrobat.jpg
 
Mkuu Hapa umedanganya kutetea Fani yako..
Mwalimu wa Bachelor anachukua TGTS D1.
Kwa mujibu wa Mishahara Mipya Basic Ni Tsh 771k.. na sio 823k...

kama Doccument hapa chini inavyosema..
View attachment 3042138
Waalimu walioajiriwa mwaka jana wenye degree basic yao ni 822k, na take home ni 676k
Wenye diploma basic 616k take home kwenye 520k
 
Afya wote wanamzidi Kuanzia diploma na kuendelea..

TGHS B ni diploma Na ni 740,000/=
TGHS C ni Advance Diploma ni 1,040,000/=
TGHS D NI Bachelor ya Manurse na Phamarcy ni 1.2Mil
TGHS E Ni bachelor ya Daktari ni 1.5Mil
View attachment 3042129

Wafanyakazi wa mahakama...
TJs 1.1 ambayo Ni certificate na makarani wenye cheti ni 660k
TJS 2.1 makarani wa Diploma ni 981k
TJS 3.1 mawakili na Maafisa wengine wenye Bachelor 1.39 Milion..
mahakimu na Maafisa wengine waandamizi wanaendelea chini..
View attachment 3042132
ULICHOONGEA NI KWELI, NI SAHII KWA AFYA KULIPWA HIVYO NA KUZIDI, DIPLOMA YA NURSING NI KARIBU MILLION 3 KWA MIAKA 3, NI MILLION 9, UKIACHANA NA BACHELOR YA EDUCATION AMBAYO ADA NI LAKI 9 MPAKA MILLION,...
Huu ni mshahara wa mwalimu anayeanza anapewa 822,000/= anaanzia D4
 
ULICHOONGEA NI KWELI, NI SAHII KWA AFYA KULIPWA HIVYO NA KUZIDI, DIPLOMA YA NURSING NI KARIBU MILLION 3 KWA MIAKA 3, NI MILLION 9, UKIACHANA NA BACHELOR YA EDUCATION AMBAYO ADA NI LAKI 9 MPAKA MILLION,...
Huu ni mshahara wa mwalimu anayeanza.
Mkuu Nakukatalia huyu sio anayeanza hiyo Uliyoandilka hapo ni TGTS D4 ..
NA Sio rahisi kwa Serikali Kuanza na D4 kabla Mtu hajapigwa D1..

Kila niliangalia matangazo yote ya kazi Hakuna mwalimu anaanza na D4

Mwalimu Daraja la IIIC (Bachelor huanza na D1)
Unaelewa Namba hiyo mbele ya D inamaanisha nini??

Its increments sasa utapataje increments kabla ya kuanza kutumikia plane scale??
Screenshot_20240714_140914_Adobe Acrobat.jpg
 
Mkuu Nakukatalia huyu sio anayeanza hiyo Uliyoandilka hapo ni TGTS D4 ..
NA Sio rahisi kwa Serikali Kuanza na D4 kabla Mtu hajapigwa D1..

Kila niliangalia matangazo yote ya kazi Hakuna mwalimu anaanza na D4
Screenshot_20240714-140900.png

Mwalimu mwenye degree anamzidi mhasibu na wafanyakazi woote, sema hakuna marupurupu na pesa za kuiba.
 
Back
Top Bottom