Joseph midimu
Senior Member
- Mar 8, 2024
- 141
- 210
- Thread starter
- #81
Sahivi,, ni 770,000/- ishu yake ni makato mengi.Mwalimu wa Bachelor analipwa 750,000/= ???🥺🥺😳😳😳😳😳😳😳😳
Mbona Pesa Ndogo sana??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahivi,, ni 770,000/- ishu yake ni makato mengi.Mwalimu wa Bachelor analipwa 750,000/= ???🥺🥺😳😳😳😳😳😳😳😳
Mbona Pesa Ndogo sana??
ShukraniAsilimia thelathini,, unakatwa apo!
30% - ya mshahara wako!
Ni shingapi,, PAYE yako ndugu.?Hii 700k hata PAYE ninayo katwa haija fikia
ShukraniAtakatwa asilimia 30%,, ya mshahara wake kila mwezi yaani 2,404,800/-
Tupatie mchanganuo,, ndugu.Mimi bima tu ni zaidi ya milioni wanakata
Ndiyo maana kazi hiyo imepoteza hadhiTURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
View attachment 3041578
Wafanyakazi wote halmashauri wanalipwa hivyoKImsingi hatuwasakami lakini tunajiuliza kwa kiwango hicho cha mshahara hao graduates wanaishije?
mbona unatudharau hivyo sisi wa chuo Huria tutake radhi mkuu.Thank God, nilitoka kwenye mfumo rasmi wa ajira/kujiajiri, hz Kodi ni wizi, unalipa Kodi, DC ananunuliwa Prado mpyaa, DC mwenyewe anayeenda kuwe ka makario yake kwenye Prado, ni kilaza wa bongo muvi, LA Saba alifeli, form four, div 4,six hakufika, akasoma open university cerirficste, ambayo na yenyewe alihonga pesa asaidiwe! Shenz type, Wacha nibaki huku huku unyamwezini
Lakini Hiyo ni Sawa na TGHS B..Hii inatwa pia TGS D
Huu ni mshahara wa afisa yeyote wa Halmashauri ambae alisoma degree ya miaka mi3.
#YNWA
Yeah ni Kweli nimecountercheck Afisa ugani wa kilimo anachukua TGs D Ni sawa na hiyoMshahara wa Afisa ugani wa kilimo na mifugo ni 585000, nipo tayari kukosolewa katika hili.
Ooh sawa Na Diploma wa Afya..Sahivi,, ni 770,000/- ishu yake ni makato mengi.
Sio Wote Mzee mishahara ya Afya ni tofauti sana..Wafanyakazi wote halmashauri wanalipwa hivyo
Uko sahihi sama inatakiwa Serkali iwaangalie sanaNdiyo maana kazi hiyo imepoteza hadhi
- Mwalimu anakosa ari ya kazi
- Anaishi kama digidigi kukwepa madeni
- Anavaa mavazi ya kuokoteza kwenye mitumba
Kumbe mtu wa diploma ya afya anatofautiana shilingi 10k kwenye salary na mwalimu wa degree?TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
View attachment 3041578
Taarifa mnapata wapi? Mbona zimejaa uongo?Yeah ni Kweli nimecountercheck Afisa ugani wa kilimo anachukua TGs D Ni sawa na hiyo
Tuko pamojaYeah ni Kweli nimecountercheck Afisa ugani wa kilimo anachukua TGs D Ni sawa na hiyo
Kazi za Afya ni ngumu na hatari bado huo mshahara hauendaniKumbe mtu wa diploma ya afya anatofautiana shilingi 10k kwenye salary na mwalimu wa degree?
Afya wote wanamzidi Kuanzia diploma na kuendelea..Nitajie mfanyakazi wa halmashauri amemzidi mwalimu