Joseph midimu
Senior Member
- Mar 8, 2024
- 141
- 210
- Thread starter
- #41
Kivipi ndugu,, sio raha.?Kazi kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kivipi ndugu,, sio raha.?Kazi kweli kweli
Ku save inahitaji moyo sana...asikwambie mtuHiyo 500k unayopata save 300k kwa mwaka mmoja au miezi 5 fungua tigo pesa mueke shemeji yako aliofeli form4 au alieacha shule kwa mwezi utaweza kupata back up ya 700k
Maisha ni mapambano
🤗🤗🌱🤗🤗Watu wanafiki...wengine wanalipwa chini ya hapo lkn wanajifanya kushangaa
Angalia hayo makato mkuuKivipi ni unyanyasaji,, ndugu tamuuu.?
Hao mashoga wala usiwaamini. Kalikuja kamoja nikawa nakafanyia interview kamegraduare LAW. nikakauliza mshahara wake wa chini kabisa tsh ngapi. Kakaniambia mil 3.Mnaweza kuwa na mishahara mikubwa ila kujifanya hamjui kuwa Tanzania kuna watu wanalipwa 700,000/= imenishangaza sana.
Hii inatwa pia TGS DMwalimu wa Bachelor analipwa 750,000/= ???🥺🥺😳😳😳😳😳😳😳😳
Mbona Pesa Ndogo sana??
Huyo nae akikaa kazn salary inabdlika inakuw ndogoNdyo boss Nimeshangaa kwa sababu Ni mshahara wa Tabibu wa cheti (Clinical assistant aliyekaa kazini Miaka mitatu)..
Na ni Mshahara wa Tabibu ( Clinical officer ) Diploma na pia ni mshahara wa Nurse aliyekaa kazini miaka mitatu au Mshahara wa Afisa muuguzi msaidizi anayeanza kazi..
Na pia ni mshahra wa Kuruta ambaye Yuko mafunzoni RTS aliyeishia Form four na Ni just Constable tu..
Na ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo mwenye Certificate aliyefanya kazi kwa Miaka mitatu na Ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo na Mifugo mwenye Diploma anayeanza kazi..
Kiukweli Nimeshangaaa sana bhasi ndyo maana walimu Wanadharaulika sana
Lazima uumie,, utashindwa hataKu save inahitaji moyo sana...asikwambie mtu
I loved you mentality dude. The same traits we share. Hakuna hela ndogo ni mawazo madogo mtu anayo. Kuna mtu kwa iyo utakuta ana hela na vitega uchumi vingi kuliko mwenye kuchukua net ya 3M. We can bet. The problem is in our mind , within ourselves but we try to throw blame to external factors instead of internal factors.Hiyo 500k unayopata save 300k kwa mwaka mmoja au miezi 5 fungua tigo pesa mueke shemeji yako aliofeli form4 au alieacha shule kwa mwezi utaweza kupata back up ya 700k
Maisha ni mapambano
Wanajeshi hawalipwi mishahara ila poshoLeten na mshahara wa mwanajeshi mchanganuo wake
Nisaidie kushangaa,au wenzetu hawaishi Tz.Mnaweza kuwa na mishahara mikubwa ila kujifanya hamjui kuwa Tanzania kuna watu wanalipwa 700,000/= imenishangaza sana.
Atakatwa asilimia 30%,, ya mshahara wake kila mwezi yaani 2,404,800/-Mtu akiwa anataka kulipwa million 8,016,000 hapo atakatwa shingapi wakuu
🤗🤗🌱🤗🤗,, ndy wanasepa nayo kama utani.Yaani 2,4mil yote wanasepa nayo 😲😲😲
🤗🤗🌱🤗🤗,, nimefurahi.Wachangiaji hatuko serious ila topic ni nzuri
usisahau na revola atakuwa mpenzi wakoLazima uumie,, utashindwa hata
✓ KUNUNUA NGUO.
✓ KULA CHAKULA KIZURI.
✓UTAISHI MAISHA YA AJABU.
Utaonekana wa tofauti mpaka basi yaani.
🤗🤗🌱🤗🤗,, ni makubwa.?Angalia hayo makato mkuu
Hongera yakeDu aisee mbona hatari sana hapo, inabidi kuacha kazi na kufanya biashara Sasa au kulima hakuna namna, ela zote zinarudi kwao
Kuna wakati huna option zaidi ya kujibana kwa muda ili upate balanceKu save inahitaji moyo sana...asikwambie mtu