Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Makato anayokatwa Mwalimu mwenye Digrii kwenye mshahara

Ndyo boss Nimeshangaa kwa sababu Ni mshahara wa Tabibu wa cheti (Clinical assistant aliyekaa kazini Miaka mitatu)..

Na ni Mshahara wa Tabibu ( Clinical officer ) Diploma na pia ni mshahara wa Nurse aliyekaa kazini miaka mitatu au Mshahara wa Afisa muuguzi msaidizi anayeanza kazi..

Na pia ni mshahra wa Kuruta ambaye Yuko mafunzoni RTS aliyeishia Form four na Ni just Constable tu..

Na ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo mwenye Certificate aliyefanya kazi kwa Miaka mitatu na Ni mshahara wa Afisa Ugani wa Kilimo na Mifugo mwenye Diploma anayeanza kazi..

Kiukweli Nimeshangaaa sana bhasi ndyo maana walimu Wanadharaulika sana
Mshahara wa Afisa ugani wa kilimo na mifugo ni 585000, nipo tayari kukosolewa katika hili.
 
Kuna wakati huna option zaidi ya kujibana kwa muda ili upate balance

Kama unaona ni ngumu kusave mwenyew tafuta wafanya kazi wenzio mcheze mchezo wa mshahara kwa mshahara kwa sh lk3 muwe watano kama kwako hali ni mbaya kuwa wa kwanza na ukipokea tu fungua tigo pesa 500k mchakato wa laini 1m mtaji na hakikisha unajibana usitegemee kwa chochote iyo biashara hadi ufikie mtaji wa 2ml au 3ml

NB hakikisha unakuwa na abc za miamala usije ukapigwa bao la mapema na kijana uliemueka
Ahahahaha,, hongera ww unaongea point nimependa!
Nilihitaji tujadili kwa point na sio kulalamika tu.
 
I loved you mentality dude. The same traits we share. Hakuna hela ndogo ni mawazo madogo mtu anayo. Kuna mtu kwa iyo utakuta ana hela na vitega uchumi vingi kuliko mwenye kuchukua net ya 3M. We can bet. The problem is in our mind , within ourselves but we try to throw blame to external factors instead of internal factors.
Mshahara haujawahi kutosha mkuu hata ulipwe mil8 coz jinsi unavyozidi kupata pesa ndio malengo yanaongezeka hata wanaolipwa mil8 bado wanaona ni ndogo kikubwa ni kuishi kipato chako na malengo yaendane na kipato chako utayafurahia maisha na utaipenda kazi uliyonayo
 
Kama ndio hivyo basishahara wa mwalimu ngazi ya degree mganga wa kienyeji anauingiza kwa masaa manne tu inabidi muwaheshimu eaganga kea siku wanalaza mpaka milioni mbili
Laki tatu mganga anaipiga chap sana 😂😂😂

Kupigiwa ramli tu elfu 50 dadeki zenu.... na mnatoa bila kuhoji.

Ni bora niwe mganga wa kienyeji kuliko kuwa mwalimu, ni UJINGA na UPUMBAFU.

Mwezi mzima unapokea Raki tatu, alaaah!!! Kwanini wasiache kazi hata wakalime? Mimi ningeenda kulima.

Mikundu juu kumbe wanalipwa mshahara kama wa Housegirl!! SHUBAMIIT
 
TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.


1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-

2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-

3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-

4. 25%- PAYE.
=192,750/-

5. 3% - NHIF.
=23,130/-

TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-

NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k

Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:

- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.

- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%

- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%

- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%

- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%

REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?

View attachment 3041578
Thank God, nilitoka kwenye mfumo rasmi wa ajira/kujiajiri, hz Kodi ni wizi, unalipa Kodi, DC ananunuliwa Prado mpyaa, DC mwenyewe anayeenda kuwe ka makario yake kwenye Prado, ni kilaza wa bongo muvi, LA Saba alifeli, form four, div 4,six hakufika, akasoma open university cerirficste, ambayo na yenyewe alihonga pesa asaidiwe! Shenz type, Wacha nibaki huku huku unyamwezini
 
Laki tatu mganga anaipiga chap sana 😂😂😂

Kupigiwa ramli tu elfu 50 dadeki zenu.... na mnatoa bila kuhoji.

Ni bora niwe mganga wa kienyeji kuliko kuwa mwalimu, ni UJINGA na UPUMBAFU.

Mwezi mzima unapokea Raki tatu, alaaah!!! Kwanini wasiache kazi hata wakalime? Mimi ningeenda kulima.

Mikundu juu kumbe wanalipwa mshahara kama wa Housegirl!! SHUBAMIIT
Mimi nipo huku bariadi nachukua bachelor ya uganga wa kienyeji
 
TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.


1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-

2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-

3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-

4. 25%- PAYE.
=192,750/-

5. 3% - NHIF.
=23,130/-

TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-

NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k

Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:

- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.

- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%

- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%

- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%

- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%

REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?

View attachment 3041578
Hapo bila tuition, kuuza madesa, na visheti hutoboi
 
TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.


1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-

2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-

3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-

4. 25%- PAYE.
=192,750/-

5. 3% - NHIF.
=23,130/-

TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-

NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k

Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:

- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.

- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%

- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%

- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%

- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%

REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?

View attachment 3041578
Leta Salary slip ya mwezi wa sita.
 
TURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.


1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-

2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-

3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-

4. 25%- PAYE.
=192,750/-

5. 3% - NHIF.
=23,130/-

TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-

NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k

Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:

- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.

- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%

- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%

- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%

- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%

REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?

View attachment 3041578
Basic ni 823,000/= sema makato ndio mengi sana, ila akiwa hana heselb anachukua kama 673,000/=
 
Aisee! Hapo lazima afya ya akili ilete mgogoro.
Ndiyo maana kuna kesi za ajabu ajabu zinazowakuta Waalimu
Na mwakani wanaenda kuwa wasimamizi wa Uchaguzi na kulishwa kiapo cha kutotoa siri ya matokeo ya uchaguzi 2025!
So sad!
Shida mnawasakama walimu sana, mimi ni Mwalimu namzidi mshahara mhasibu wa halmashauri, kwanini Zigo lote mnawatupia walimu?
 
Mshahara haujawahi kutosha mkuu hata ulipwe mil8 coz jinsi unavyozidi kupata pesa ndio malengo yanaongezeka hata wanaolipwa mil8 bado wanaona ni ndogo kikubwa ni kuishi kipato chako na malengo yaendane na kipato chako utayafurahia maisha na utaipenda kazi uliyonayo
Ishu ni kwamba,, unalipwa laki saba ila kiuhalisia unapokea laki tatu.
 
Back
Top Bottom