Los santos
JF-Expert Member
- Jan 14, 2021
- 1,167
- 2,591
Lakini hapo nimemaanisha kwenye private sector na siyo serikalini so bado atakatwa 30%? Naona kama wanakata pakubwa sana Yani ulipwe million 8 wao wakate 30%?Asilimia thelathini,, unakatwa apo!
30% - ya mshahara wako!
Nimepitia hio Pdf aisee, ngoja niendelee kumuheshimu Line manager wangu, huku nikiendelea kupiga kazi Kwa ari juhudi na nguvu zangu zote nikiendelea kujenga vitega uchumi pembeni. Maana nimegundua wafanyakazi wengi wa Serikali japo Wana security ya kazi lakini wanaishi maisha magumu.Hiyo ndiyo mishahara ya walimu
Private sector wanajua kucheza na hizo number. Na wanagawa mshahara wao katika Mafungu kama Transport, house allowance na pia sehemu nilipo Mimi bima haikatwi kwenye mshahara, lkn pia transport na house allowance & meal allowance tare 15 na unaandika barua kuziomba nahazikatwi kodi na mara nyingi Huwa wanaweka asilimia ya 50 ya mshahara wako au 60 katika transport,house allowance & meal allowance. Halafu asilimia 40 au 50 iliyobaki ndio wanaweka kama Gross nandio yakatwa Kodi. Lakini ni taasisi za private zinazojielewa.Lakini hapo nimemaanisha kwenye private sector na siyo serikalini so bado atakatwa 30%? Naona kama wanakata pakubwa sana Yani ulipwe million 8 wao wakate 30%?
Na hapo hakuna mkopo wa heslb Wala takataka zingine
Security ya LAKI TATU?Mwalimu ana security na uhakika wa maisha hiyo mganga ana nini
Very ideal and pragmatic. Unrealistic, most of all impractical.I loved you mentality dude. The same traits we share. Hakuna hela ndogo ni mawazo madogo mtu anayo. Kuna mtu kwa iyo utakuta ana hela na vitega uchumi vingi kuliko mwenye kuchukua net ya 3M. We can bet. The problem is in our mind , within ourselves but we try to throw blame to external factors instead of internal factors.
Hee! Kwamba 300k kwa mwaka mmoja upate 3.6M, ndio uweke tigo pesa upate 700K kwa mwezi??Hiyo 500k unayopata save 300k kwa mwaka mmoja au miezi 5 fungua tigo pesa mueke shemeji yako aliofeli form4 au alieacha shule kwa mwezi utaweza kupata back up ya 700k
Maisha ni mapambano
Si walijua kule uhakika...Watoto wa kimaskini wengi walisoma ualimu licha ya kufaulu vizuri.
😂😂😂😂😂Si walijua kule uhakika...
Ila kiufupu mwalimu ni jobless aliye changamka
Kweli kabisaWatu wanafiki...wengine wanalipwa chini ya hapo lkn wanajifanya kushangaa
Kumbe rahisi hivoHiyo 500k unayopata save 300k kwa mwaka mmoja au miezi 5 fungua tigo pesa mueke shemeji yako aliofeli form4 au alieacha shule kwa mwezi utaweza kupata back up ya 700k
Maisha ni mapambano
Umeongea kwa uchungu sanaThank God, nilitoka kwenye mfumo rasmi wa ajira/kujiajiri, hz Kodi ni wizi, unalipa Kodi, DC ananunuliwa Prado mpyaa, DC mwenyewe anayeenda kuwe ka makario yake kwenye Prado, ni kilaza wa bongo muvi, LA Saba alifeli, form four, div 4,six hakufika, akasoma open university cerirficste, ambayo na yenyewe alihonga pesa asaidiwe! Shenz type, Wacha nibaki huku huku unyamwezini
Sijakupata vizuri mkuu, ila nilichomaanisha aweze kubangaiza asave 300k out of 500k ndani ya miez5 au mwaka akipata kwa kuanzia 1.5m aanze na tgo pesa inaweza mpa back up ya 700k kwa mwez akipata eneo zuri na kijana mchapa kaziHee! Kwamba 300k kwa mwaka mmoja upate 3.6M, ndio uweke tigo pesa upate 700K kwa mwezi??
Akili za Lumumba bwana!
Mkuu nakumbuka ulisoma mechanical engeneer, hongeraNimepitia hio Pdf aisee, ngoja niendelee kumuheshimu Line manager wangu, huku nikiendelea kupiga kazi Kwa ari juhudi na nguvu zangu zote nikiendelea kujenga vitega uchumi pembeni. Maana nimegundua wafanyakazi wengi wa Serikali japo Wana security ya kazi lakini wanaishi maisha magumu.
Noma SanaTURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
View attachment 3041578
Yote kheriTURUDI DARASA LA QWANZA KIDOGO.
1. 15%- HESLB LOAN
=115,650/-
2. 2%- CWT contribution.
=15,420/-
3. 5%- SECURITY FUND.
= 38,550/-
4. 25%- PAYE.
=192,750/-
5. 3% - NHIF.
=23,130/-
TOTAL:- 385,500/-
LEFT WITH:- 385,500/-
NA HAPO BADO-
✓ Kodi.
✓ Bando.
✓ Babe.
✓ Food.
✓ N.k
Makato ya PAYE (Pay As You Earn) kwa mwalimu mwenye degree yanategemea kiwango cha mshahara wake. Tanzania ina viwango mbalimbali vya kodi ya mapato kulingana na mapato ya mwezi. Viwango vya kodi ni kama ifuatavyo:
- Kiasi cha mshahara kisichozidi TZS 270,000: Hakuna kodi.
- TZS 270,001 - TZS 520,000: 8%
- TZS 520,001 - TZS 760,000: 20%
- TZS 760,001 - TZS 1,000,000: 25%
- Zaidi ya TZS 1,000,000: 30%
REJEA MFANO WA SLIP YA MALIPO APO CHINI: PIA TOA MCHANGO WA MAONI YAKO VP HII KAZI INALIPA AU LAAH.?
View attachment 3041578
Hela nyingi Sana hiyo...Kutoboa mwezi na 370000 siyo mchezo
Mganga mwamposa anaingiza pesa ya kuwalipa walimu wa halmashauri nzima ndani ya mkesha mmoja tuKama ndio hivyo basishahara wa mwalimu ngazi ya degree mganga wa kienyeji anauingiza kwa masaa manne tu inabidi muwaheshimu waganga na mizimu yao kwa siku wanalaza mpaka milioni mbili