Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Kijana hicho kipato hapo juu ktk hali ya kawaida mbona kina muwezesha kuishi na kupata mahitaji yale muhimu vizuri tuu
Kwahiyo unahisi ccm wakitoka ndiyo mishahara itapanda
Raha ya mshahara huo uishi kijijini ila Dar lazima uwe na mwili kugombania seat kweny daladala na mwendokasi.
La sivyo hamna kitu utasave zaidi ya kuvaa koti jeupe kama muuza bucha.
Hakuna daktari wa Diploma.Kwani Mkopo ulilazimishwa kukopa?
Pili watu wanaangalia posho zaidi sio hizo salary
Mwisho Daktari wa degree au Diploma?
Ukiingia wewe inatosha mkuuWe naye kaingie uone kama rahisi
Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Ni kweli, tatizo kuu lililopo Tz ni CCM ambayo imesababisha nchi kukosa Mifumo Imara ya kuendesha nchi, badala yake nchi inaendeshwa na Makundi tu ya watu ambao kimsingi elimu yao ni ya wasiwasi.Na sisi tunaolipwa laki tatu kwa mwezi tusemaje?
Tanzania issue siyo madaktari, Watanzania wote tunaishi kama mateka, tatizo ni Ccm.
Hapo kuna mtu kaishia la saba ana chukuwa take home million 14 kwa mwezi kwa kazi ya kugonga meza tu bungeni.
Ila ukipiga mwezi mmoja inatosha kununua tofali 1000Uliyo andika haya sio lazima ni bahati nasibu, unaweza kupitisha miezi miwili usiingize chochoteeee
#YNWA
Acha dharau na maisha wewe, watu tunapokea laki mbili tunaishi na familia vizuri tu wewe unapokea take home ya 850k+ unalia lia acheni kufuru kwa mwenyezi mungu natamani ningekuwa wewe.......Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Chuki chuki chuki. ulitaka Diploma afya walipwe kiasi gani ndio ufrahi by the way basic salary ya kozi za afya diploma ni TGHS B 740k na mwalimu ni 840k if not mistaken ukiwa unawasilisha hoja jaribu kuweka kando chuki uliyonayo dhidi ya watu wengineYes, mshahara hauendani na muda wa kusoma. Hata hivyo, angalau kwa madaktari na manesi serikali imejitahidi si haba. Tatizo linakuja pale ambapo nurse wa diploma anamzidi mwalimu wa degree basic salary. Yaani mtu kaishia form 4, Tena passmark za chini. Kasoma 3 years deploma. Anamzidi mshahara mtu aliyesoma zaidi ya miaka 5. Kuna haja ya kupanga upya mishahara ya watumishi wa umma. Criteria za high risk na muda wa kusoma, si kigezo peke Cha kupanga salary. Yaani walimu wanaowafanya kuwa watumishi, tunawalipa mishahara ya chini, eti kwa kigezo Cha wingi wao! Mahitaji ya uwingi yanasababishwa na wanafunzi kuongezeka Kila mwaka. Hivyo tamisemi waangalie kuwa wanafunzi wengi pia ni high risk kwa mwl. Leo walimu wengi ni wagonjwa wa macho, vidonda vya tumbo, pressure n.k ambavyo vyote hivi wamepatia kazini.
Mm nadhani kuna haja na kila sababuKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Mishahara ya madaktari haina uzito vile inapaswa kutokana na ugumu wa kazi yaoKwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Matola usihalalishe unyonyaji juu ya unyonyaji, huu ni utumwa maisha yapo juu sana ni lazima serikali iangalie mishahara kuakisi ugumu wa maishaNa sisi tunaolipwa laki tatu kwa mwezi tusemaje?
Tanzania issue siyo madaktari, Watanzania wote tunaishi kama mateka, tatizo ni Ccm.
Hapo kuna mtu kaishia la saba ana chukuwa take home million 14 kwa mwezi kwa kazi ya kugonga meza tu bungeni.
Kwa makadirio, mshahara wa daktari Serikalini basic ni 1,480,000
HESLB wanakata 222,000
74000 ya PSSSF
kodi ni 290,580
bima ya afya 44,400
Unabaki na 849,020
Toa kodi ya nyumba, bill ya maji, umeme, usafiri na chakula halafu niambie unabaki na sh ngapi?
Wewe ni mpumbavu
Full stop!
Inategemea hiyo ajira, unalipwa ngapi, sasa Mimi napokea 7M net, kila mwezi, na save 5M, kwa miaka 15 nitakuwa na 900M! Kama ni utumwa Wacha niwe mtumwa tu!Ajira ni utumwa.Ndio maana mnaitwa watumishi
Katika mistari ya hovyo katika hekaya za kiyahudi huu ni miongoni mwao10]Leteni zaka kamili ghalani, ili kiwemo chakula katika nyumba yangu, mkanijaribu kwa njia hiyo, asema BWANA wa majeshi; mjue kama sitawafungulia madirisha ya mbinguni, na kuwamwagieni baraka, hata isiwepo nafasi ya kutosha, au la.
[11]Nami kwa ajili yenu nitamkemea yeye alaye, wala hataharibu mazao ya ardhi yenu; wala mzabibu wenu hautapukutisha matunda yake kabla ya wakati wake katika mashamba, asema BWANA wa majeshi.