Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Serikali iliona mbali ingejiharibia sifa ya serikali ya Tanzania katika duru za kimataifa hasa kwa wahisani wao nchi za Magharibi (US na EU)Chuki zilizomfanya apoteze yote hayo ziliishia wapi?. Kutoka jela leo kesho ukaenda ikulu ni ishara kwamba mfumo unakufahamu vyema na yeye ni sehemu ya viongozi japo sio wa moja kwa moja.
Kusema kweli hata kule twitter nimeshangaa sana, hivi ni vitu vya kawaida uchagani nawashauri watanzania wazunguke nchi yao. Ukitembea huku uchagani utashangaa sana kuna nyumba hauwezi amini unaweza ukashinda ndani wiki kuna kila kitu. Mimi ni mchaga lakini nilishangaa kuna nyumba zina hadi swimming pool kijijini. Kuna kipindi tulipigiwa simu na fogo twende tukampe kampani ya kuangalia mechi ya EPL kwake. Mimi nipo napambana lazima niangushe mjengo wa maana nyumbani kwanza.Tukiacha chuki za kisiasa nyumba kama hizi huko mkoani kwetu ni za kawaida sana....
Mbowe na mzee mengi ni wajomba kabisa...wazee wao wameoleana...na hiyo familia ya kina mbowe ina hela miaka mingi sana...
Kuna kitu kwenye kila familia ya kitajiri kipo na ni siri mara nyingi ila ipo wazi..ni hivi kwenye utajiri mtoto mwenye akili ndio hukabidhiwa mali nyingi...ili aziendeleze...! Mbowe ana ndugu ila yeye ndio alikua na code zote na hakuzichezea!
Angalia...Dewji,Subash na wengineo...ila sasa kama mlilelewa kwa kupendana na wote mmeenda shule wote mtakua matajiri kabisa mfano hai ni familia ya kina ...
SHOO....!
Kaka mkubwa alikua tajiri Mkubwa shinyanga!
Anaefuata ni Harold nae ni tajiri wa kutupwa kanda ya kaskazini...HARSHO
Maskini kabisa ni mdogo wao Hillary mwenye Hill water na viwanda vya vyakula vya kuku
So mkiwezeshana mtatoka wote tatizo ni kwamba wakati mwingine kunakua na mmoja au wawili hawabebeki na hapa ndio lawama inakuja...!
Rejea uzi wangu wa mda kidogo utakufungua macho...usisite kulike ukijifunza kitu..siasa tuiweke kando...!
Matajiri, Watoto wa Mjini, Wababe na Wafanyabiashara wa Kilimanjaro na Arusha
Nimegundua Watu wa Aina niliyoitaja hapo Juu,Hawajulikani kabisa Hapa Dar es Salaam,sijajua sababu ila nadhani matajiri wa hapa Dar wanapata media Coverage nyingi na pia wanapata connection nyingi mno na Kuwa Mega kama sio Super Rich Kabisa au Maarufu kuliko wa mikoani. Kwa kuwa wanaaminika na...www.jamiiforums.com
Mbowe ni sehemu ya mfumo kwa miaka mingi.Serikali iliona mbali ingejiharibia sifa ya serikali ya Tanzania katika duru za kimataifa hasa kwa wahisani wao nchi za Magharibi (US na EU)
Ukizingatia serikali ilikuwa haina hoja yenye mashiko kwenye kesi ya ugaidi ya Mbowe
Kutoka jela hadi ikulu ilikuwa ni kujisafisha
Kwa hiyo UWT hatakiwi kuwa tajiri!!??Mbowe ni usalama wa taifa wa miaka mingi. Mzee wake ni mmoja wa watu wa mfumo tangu miaka hiyo akiwa bado yupo hai.
Sasa mbona JPM alipojenga kwao chato mlimkejeli sana mlimuongelea sana yupo sawa na Mobuto seseko mbona leo mnamsifu mbowe kujenga kwaoNyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.
Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.
Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.
Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.
Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu
Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki.
View attachment 2812303
Kuna watoto wa buku mbili wanamchukulia Freeman Mbowe kama mwenzao.
Hapa ni nyumbani kwake kijijini Machame huko kwenye mashamba ya ndizi, Kilimanjaro.
Mwaka 1991 alifunga ndoa ya kifahari sana huku akiwa mdhamini mkuu wa Yanga.
Freeman Mbowe is a living legend.
View attachment 2812264
Na hapa ni Bukoba vijijini kijiji cha kikukwe...Hapa ni machame sio ulayaView attachment 2812634View attachment 2812635
Msisahau kutembelea bukoba vijijini pia...Kusema kweli hata kule twitter nimeshangaa sana, hivi ni vitu vya kawaida uchagani nawashauri watanzania wazunguke nchi yao. Ukitembea huku uchagani utashangaa sana kuna nyumba hauwezi amini unaweza ukashinda ndani wiki kuna kila kitu. Mimi ni mchaga lakini nilishangaa kuna nyumba zina hadi swimming pool kijijini. Kuna kipindi tulipigiwa simu na fogo twende tukampe kampani ya kuangalia mechi ya EPL kwake. Mimi nipo napambana lazima niangushe mjengo wa maana nyumbani kwanza.
Bro hiv kwanini watz hawakubali ukweli. Mkubali mtu akifanikiwa acha ngonjera. Kwani Baba yake mbowe alikuwa na watoto wangapi na ni wangapi wamefanikisha ndoto zao. Simpo tuache roho za kichawi maisha ni marahic sana ukikubali ukweli na kuukabili.Mbowe kazaliwa kakuta baba ni milionea. Mzee Aikaeli Mbowe alikuwa tajiri mkubwa kabla ya uhuru na ni mnufaika wa matunda ya uhuru. Ile keki ya taifa inayotajwa yeye Mzee Aikaeli alijimegea kipande cha kutosha. Isitoshe Mbowe alikuwa mjanja kupata baba mkwe tajiri ambaye akamrithisha biashara ya chama. Kwenye msiba wa Mzee Aikaeli ilikuwa kama sherehe. Mimi nilikuwa mdogo nakumbuka nilikunywa soda 7 pale msibani ndani ya masaa machache. Ukiachana na biashara zingine kwa zile ruzuku na maokoto ya Covid19 lazima angejenga hekali kali.
Msisahau kutembelea bukoba vijijini pia...
Takwimu za serikali zisiwapumbaze kuhusu mikoa kadhaa
Hapa ni Bukoba vijijini huko ndani ndaniView attachment 2812702
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Broda hii kitu naisema kila siku humu. Kwenye familia kuna mmoja ni taa ya wote ni nature na kwenye Taifa hivyo hivyo kuna kabila moja ni taa ya makabila yote. Ukilidhibiti umedhibiti maendeleo ya nchi hivyo nchini inakuja kushikiliwa na wageni. Wazungu hiz code wamezigundua miaka mingi ndio wanazitumia. Wamarekan wana msemo wao unasema. U can play with america but don't play with the people from Texas.Tukiacha chuki za kisiasa nyumba kama hizi huko mkoani kwetu ni za kawaida sana....
Mbowe na mzee mengi ni wajomba kabisa...wazee wao wameoleana...na hiyo familia ya kina mbowe ina hela miaka mingi sana...
Kuna kitu kwenye kila familia ya kitajiri kipo na ni siri mara nyingi ila ipo wazi..ni hivi kwenye utajiri mtoto mwenye akili ndio hukabidhiwa mali nyingi...ili aziendeleze...! Mbowe ana ndugu ila yeye ndio alikua na code zote na hakuzichezea!
Angalia...Dewji,Subash na wengineo...ila sasa kama mlilelewa kwa kupendana na wote mmeenda shule wote mtakua matajiri kabisa mfano hai ni familia ya kina ...
SHOO....!
Kaka mkubwa alikua tajiri Mkubwa shinyanga!
Anaefuata ni Harold nae ni tajiri wa kutupwa kanda ya kaskazini...HARSHO
Maskini kabisa ni mdogo wao Hillary mwenye Hill water na viwanda vya vyakula vya kuku
So mkiwezeshana mtatoka wote tatizo ni kwamba wakati mwingine kunakua na mmoja au wawili hawabebeki na hapa ndio lawama inakuja...!
Rejea uzi wangu wa mda kidogo utakufungua macho...usisite kulike ukijifunza kitu..siasa tuiweke kando...!
Matajiri, Watoto wa Mjini, Wababe na Wafanyabiashara wa Kilimanjaro na Arusha
Nimegundua Watu wa Aina niliyoitaja hapo Juu,Hawajulikani kabisa Hapa Dar es Salaam,sijajua sababu ila nadhani matajiri wa hapa Dar wanapata media Coverage nyingi na pia wanapata connection nyingi mno na Kuwa Mega kama sio Super Rich Kabisa au Maarufu kuliko wa mikoani. Kwa kuwa wanaaminika na...www.jamiiforums.com
Mbona ya kawaida sana hii kuanza kupambanisha mkuuNa hapa ni Bukoba vijijini kijiji cha kikukwe...
Mambo ya kawaida haya...
NB. KAGERA NI MKOA WA PILI KWA PER CAPITA NDOGO KADRI YA serikali ya mama samia...
View attachment 2812694View attachment 2812696View attachment 2812697
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kule kwetu wanasema akuchukiaye hakosi cha kusema! Sijui huo usemi unaweza ukawa sahihi hapo!Ruzuku ya chadema inaishia machame
Hiv barabara ya machame ishajengwa?Uko serious kabisa unataka kulinganisha vijiji vya Kilimanjaro na Bukoba?
Sifa ya masikini ni chuki ukute una share choo na mama yakoRuzuku ya chadema inaishia machame
Wivu wa nyumba yako utanila:Maskini wengi comments zao hapa ni za wivu Wengi wanaona wivu, hawajui Mbowe hizi fedha anazo kabla wao hawajazaliwa: Hapo ni Kijijini Machame, wacha Dar, Arusha na Mwanza kote ana makazi :Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.
Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.
Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.
Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.
Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu
Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki.
View attachment 2812303
Mkuu umekuza sana mambo, sioni uhusiano wowote kati ya UWT na Mbowe. Watu wangapi wa usalama wa taifa ambao hawajapitia UWT wala skauti?.Kwa hiyo UWT hatakiwi kuwa tajiri!!??
UWT hatakiwi kulipa kodi inayostahili!!??
UWT hatakiwi kuwa na "legal businesses"!!?
UWT hatakiwi kuweka wazi vyanzo vyake vya mapato!!??
Kama Mbowe ni UWT,basi ni moja ya UWT wachache sana walio bora na mfano wa kuigwa.
Jamani sipendi kuona waatu mnabishana kwenye keyboard mimi ni mchaga nachowaasa watanzania watembelee nchi yao. Kuna mengi ya kujifunza, haina haja ya kubishana kuhusu wapi ni pazuri au pabaya. Ninachowasihi Watanzania wenzangu msikazane na mitazamo mgandpo tembeeni mjifunze. Haina haja ya kwenda Marekani wala ulaya. Huku huku nyumbani kuna mengi ya kujifunza.Hiv barabara ya machame ishajengwa?
Mbowe si ndo mbunge wa huko?
At vijiji...so tunatishana sio...
Kama unataka battle mimi nakuja na wilaya moja tu ya muleba..
Moja ya barabara huko machame.
Naomba usikimbie pleaseView attachment 2812726
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app