Makazi ya Mbowe huko Machame yatufunze kujitegemea siyo kuiba mali za umma kama wafanyavyo wanasiasa wengi nchini

Makazi ya Mbowe huko Machame yatufunze kujitegemea siyo kuiba mali za umma kama wafanyavyo wanasiasa wengi nchini

Chuki zilizomfanya apoteze yote hayo ziliishia wapi?. Kutoka jela leo kesho ukaenda ikulu ni ishara kwamba mfumo unakufahamu vyema na yeye ni sehemu ya viongozi japo sio wa moja kwa moja.
Serikali iliona mbali ingejiharibia sifa ya serikali ya Tanzania katika duru za kimataifa hasa kwa wahisani wao nchi za Magharibi (US na EU)

Ukizingatia serikali ilikuwa haina hoja yenye mashiko kwenye kesi ya ugaidi ya Mbowe

Kutoka jela hadi ikulu ilikuwa ni kujisafisha
 
Tukiacha chuki za kisiasa nyumba kama hizi huko mkoani kwetu ni za kawaida sana....

Mbowe na mzee mengi ni wajomba kabisa...wazee wao wameoleana...na hiyo familia ya kina mbowe ina hela miaka mingi sana...

Kuna kitu kwenye kila familia ya kitajiri kipo na ni siri mara nyingi ila ipo wazi..ni hivi kwenye utajiri mtoto mwenye akili ndio hukabidhiwa mali nyingi...ili aziendeleze...! Mbowe ana ndugu ila yeye ndio alikua na code zote na hakuzichezea!

Angalia...Dewji,Subash na wengineo...ila sasa kama mlilelewa kwa kupendana na wote mmeenda shule wote mtakua matajiri kabisa mfano hai ni familia ya kina ...

SHOO....!

Kaka mkubwa alikua tajiri Mkubwa shinyanga!
Anaefuata ni Harold nae ni tajiri wa kutupwa kanda ya kaskazini...HARSHO

Maskini kabisa ni mdogo wao Hillary mwenye Hill water na viwanda vya vyakula vya kuku

So mkiwezeshana mtatoka wote tatizo ni kwamba wakati mwingine kunakua na mmoja au wawili hawabebeki na hapa ndio lawama inakuja...!

Rejea uzi wangu wa mda kidogo utakufungua macho...usisite kulike ukijifunza kitu..siasa tuiweke kando...!

Kusema kweli hata kule twitter nimeshangaa sana, hivi ni vitu vya kawaida uchagani nawashauri watanzania wazunguke nchi yao. Ukitembea huku uchagani utashangaa sana kuna nyumba hauwezi amini unaweza ukashinda ndani wiki kuna kila kitu. Mimi ni mchaga lakini nilishangaa kuna nyumba zina hadi swimming pool kijijini. Kuna kipindi tulipigiwa simu na fogo twende tukampe kampani ya kuangalia mechi ya EPL kwake. Mimi nipo napambana lazima niangushe mjengo wa maana nyumbani kwanza.
 
Serikali iliona mbali ingejiharibia sifa ya serikali ya Tanzania katika duru za kimataifa hasa kwa wahisani wao nchi za Magharibi (US na EU)

Ukizingatia serikali ilikuwa haina hoja yenye mashiko kwenye kesi ya ugaidi ya Mbowe

Kutoka jela hadi ikulu ilikuwa ni kujisafisha
Mbowe ni sehemu ya mfumo kwa miaka mingi.
 
Mbowe ni usalama wa taifa wa miaka mingi. Mzee wake ni mmoja wa watu wa mfumo tangu miaka hiyo akiwa bado yupo hai.
Kwa hiyo UWT hatakiwi kuwa tajiri!!??
UWT hatakiwi kulipa kodi inayostahili!!??
UWT hatakiwi kuwa na "legal businesses"!!?
UWT hatakiwi kuweka wazi vyanzo vyake vya mapato!!??

Kama Mbowe ni UWT,basi ni moja ya UWT wachache sana walio bora na mfano wa kuigwa.
 
Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.

Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.

Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.

Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.

Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu

Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki.

View attachment 2812303
Sasa mbona JPM alipojenga kwao chato mlimkejeli sana mlimuongelea sana yupo sawa na Mobuto seseko mbona leo mnamsifu mbowe kujenga kwao

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Kuna watoto wa buku mbili wanamchukulia Freeman Mbowe kama mwenzao.

Hapa ni nyumbani kwake kijijini Machame huko kwenye mashamba ya ndizi, Kilimanjaro.

Mwaka 1991 alifunga ndoa ya kifahari sana huku akiwa mdhamini mkuu wa Yanga.

Freeman Mbowe is a living legend.

View attachment 2812264

Watu wanashindwa kuelewa Mbowe alikuwa mdhamini wa Yanga miaka hiyo wakati GSM labda alikuwa shule[emoji1787]
IMG_1795.jpg
 
Kusema kweli hata kule twitter nimeshangaa sana, hivi ni vitu vya kawaida uchagani nawashauri watanzania wazunguke nchi yao. Ukitembea huku uchagani utashangaa sana kuna nyumba hauwezi amini unaweza ukashinda ndani wiki kuna kila kitu. Mimi ni mchaga lakini nilishangaa kuna nyumba zina hadi swimming pool kijijini. Kuna kipindi tulipigiwa simu na fogo twende tukampe kampani ya kuangalia mechi ya EPL kwake. Mimi nipo napambana lazima niangushe mjengo wa maana nyumbani kwanza.
Msisahau kutembelea bukoba vijijini pia...

Takwimu za serikali zisiwapumbaze kuhusu mikoa kadhaa

Hapa ni Bukoba vijijini huko ndani ndani
Screenshot_20231113-155331.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mbowe kazaliwa kakuta baba ni milionea. Mzee Aikaeli Mbowe alikuwa tajiri mkubwa kabla ya uhuru na ni mnufaika wa matunda ya uhuru. Ile keki ya taifa inayotajwa yeye Mzee Aikaeli alijimegea kipande cha kutosha. Isitoshe Mbowe alikuwa mjanja kupata baba mkwe tajiri ambaye akamrithisha biashara ya chama. Kwenye msiba wa Mzee Aikaeli ilikuwa kama sherehe. Mimi nilikuwa mdogo nakumbuka nilikunywa soda 7 pale msibani ndani ya masaa machache. Ukiachana na biashara zingine kwa zile ruzuku na maokoto ya Covid19 lazima angejenga hekali kali.
Bro hiv kwanini watz hawakubali ukweli. Mkubali mtu akifanikiwa acha ngonjera. Kwani Baba yake mbowe alikuwa na watoto wangapi na ni wangapi wamefanikisha ndoto zao. Simpo tuache roho za kichawi maisha ni marahic sana ukikubali ukweli na kuukabili.
 
Tukiacha chuki za kisiasa nyumba kama hizi huko mkoani kwetu ni za kawaida sana....

Mbowe na mzee mengi ni wajomba kabisa...wazee wao wameoleana...na hiyo familia ya kina mbowe ina hela miaka mingi sana...

Kuna kitu kwenye kila familia ya kitajiri kipo na ni siri mara nyingi ila ipo wazi..ni hivi kwenye utajiri mtoto mwenye akili ndio hukabidhiwa mali nyingi...ili aziendeleze...! Mbowe ana ndugu ila yeye ndio alikua na code zote na hakuzichezea!

Angalia...Dewji,Subash na wengineo...ila sasa kama mlilelewa kwa kupendana na wote mmeenda shule wote mtakua matajiri kabisa mfano hai ni familia ya kina ...

SHOO....!

Kaka mkubwa alikua tajiri Mkubwa shinyanga!
Anaefuata ni Harold nae ni tajiri wa kutupwa kanda ya kaskazini...HARSHO

Maskini kabisa ni mdogo wao Hillary mwenye Hill water na viwanda vya vyakula vya kuku

So mkiwezeshana mtatoka wote tatizo ni kwamba wakati mwingine kunakua na mmoja au wawili hawabebeki na hapa ndio lawama inakuja...!

Rejea uzi wangu wa mda kidogo utakufungua macho...usisite kulike ukijifunza kitu..siasa tuiweke kando...!

Broda hii kitu naisema kila siku humu. Kwenye familia kuna mmoja ni taa ya wote ni nature na kwenye Taifa hivyo hivyo kuna kabila moja ni taa ya makabila yote. Ukilidhibiti umedhibiti maendeleo ya nchi hivyo nchini inakuja kushikiliwa na wageni. Wazungu hiz code wamezigundua miaka mingi ndio wanazitumia. Wamarekan wana msemo wao unasema. U can play with america but don't play with the people from Texas.
 
Uko serious kabisa unataka kulinganisha vijiji vya Kilimanjaro na Bukoba?
Hiv barabara ya machame ishajengwa?

Mbowe si ndo mbunge wa huko?

At vijiji...so tunatishana sio...

Kama unataka battle mimi nakuja na wilaya moja tu ya muleba..



Moja ya barabara huko machame.

Naomba usikimbie please
1697861952104~2.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Mi nawashaur watu wanaojenga kijijin hasa Kilimanjaro. Hilo ni eneo la kitalii. Nyingi ya hizo nyumba hazitumiki muda mrefu hivyo kwa kuepusha nyumba kukaa bila mtu. Ziingizeni Airbnb. Mtakuja kunishukuru. Mi nyumba zangu za kijijin nimeziingiza humo na muda wote wa mwaka ipo full. Hii kitu nilikikuta Nigeria kwa wa Ibo. Hawa jamaa ndio waafrica waliojenga kijijin kweli. Ukifika ni kama uswis. So ombi langu kwa watu wa Kilimanjaro ni kuwa mkoa wetu hauna madini usema yataisha kesho so shughuli za uchumi zitasimama. Ule mlima mpaka Yesu arud ataukuta ni Zaid ya dhahabu Mungu katupa ufanyeni ni kitega uchumi maana wanadamu wanakuja kutoka pande zote za Dunia kuja kuupanda wanalipa.
 
Nyumbani kwa Mbowe ni reflection ya utajiri na ukwasi usiotegemea fadhila za dola wala uteuzi. Huyu mwamba ameishi maisha yake, amepigania haki usiku na mchana na siku zote za vita hakuna siku tumewahi kumsikia akilia kufilisika au kukosa ukwasi wa kumfanya ajisalimishe kwa watawala.

Tofauti ya Mbowe na viongozi wengi wa chama tawala, Mbowe anasimamia biashara zake mwenyewe, analipa kodi zote muhimu na anajiendesha kwa kuzingatia sheria za nchi.

Wakati huo viongozi wa chama tawala wengi wanachofanya nikuiba na kula ; hawana muda wa nafasi ya kuziendeleza mali zao. Kila siku wanabaki kuwa watumwa wa mtawala wasikamatwe kwa wizi, ubadhirifu na ukwepaji wa kodi.

Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.

Mzee Mbowe na familia yake wanatufundisha umuhimu wa kujitegemea. Uteuzi iwe Sehemu tu ratiba ya maisha ila siyo maisha. Usipojifunza kusimama mwenyewe watakuoshiriki kukusimamisha lazima wakupe adhabu ya kulipa fadhila na kuwaabudu

Makazi ya Mbowe, utajiri wake na roho yake ikawe dira ya kutafuta utajiri na madaraka ya haki.

View attachment 2812303
Wivu wa nyumba yako utanila:Maskini wengi comments zao hapa ni za wivu Wengi wanaona wivu, hawajui Mbowe hizi fedha anazo kabla wao hawajazaliwa: Hapo ni Kijijini Machame, wacha Dar, Arusha na Mwanza kote ana makazi :
 
Kwa hiyo UWT hatakiwi kuwa tajiri!!??
UWT hatakiwi kulipa kodi inayostahili!!??
UWT hatakiwi kuwa na "legal businesses"!!?
UWT hatakiwi kuweka wazi vyanzo vyake vya mapato!!??

Kama Mbowe ni UWT,basi ni moja ya UWT wachache sana walio bora na mfano wa kuigwa.
Mkuu umekuza sana mambo, sioni uhusiano wowote kati ya UWT na Mbowe. Watu wangapi wa usalama wa taifa ambao hawajapitia UWT wala skauti?.
 
Vijana mnapotafakari kesho yenu, tangulizeni kwanza fikra na nguvu katika kutafuta utajiri wa haki ndipo mgombee nafasi za kuongoza watu kwa haki.

Nchi kubwa kama Marekani, hiyo ndio falsafa yao. Nazisikilizaga hatuba za Mwalimu Nyerere; anasema rais Kennedy wa Marekani aliwahi kusema: unapogombea urais, jiulize, utaifanyia nini Marekani, na sio Marekani itakufanyia nini! Hii ni tofauti na nchi (nyingi) zinazoendelea.
 
Hiv barabara ya machame ishajengwa?

Mbowe si ndo mbunge wa huko?

At vijiji...so tunatishana sio...

Kama unataka battle mimi nakuja na wilaya moja tu ya muleba..



Moja ya barabara huko machame.

Naomba usikimbie pleaseView attachment 2812726

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Jamani sipendi kuona waatu mnabishana kwenye keyboard mimi ni mchaga nachowaasa watanzania watembelee nchi yao. Kuna mengi ya kujifunza, haina haja ya kubishana kuhusu wapi ni pazuri au pabaya. Ninachowasihi Watanzania wenzangu msikazane na mitazamo mgandpo tembeeni mjifunze. Haina haja ya kwenda Marekani wala ulaya. Huku huku nyumbani kuna mengi ya kujifunza.
 
Back
Top Bottom