Makelele ya bandari yameishia wapi?

Makelele ya bandari yameishia wapi?

Tumehamishwa Ukraine tumepekwa gaza, Je mnazisikia za Ukraine siku hizi ? Akili kichwani mwako. Na hapa tulikuwa na makelele ya Chadema na waarabu ,ikawa mpaka pa kutia mguu hakuna kila kitu ni bandari.

Je Chadema walikuwa wanatafuta kiki? Na kutaka kuwaburuza waTanzania kuwa nchi inauzwa kwa waarabu ? Hiki Chama ni hatari sana waliwakusanya mapadre na mashee wasiojielewa na kupanga uasi wa kuhakikisha Raisi samia au serikali ya CCM inapinduliwa au kuangushwa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.

ilivyo ilihitajika hiki Chama kufutwa mara moja,leo hii wachochezi wote wamechawanyika baada ya mbinu zao za kuiangusha serikali kupigwa na chini,mkichaa kakimbilia Ulaya,Balaa kafungua chama chake na kengeza yupo yupo tu.
CCM oyee.
Siku zote nimekuwa nasema usije kuwahi kumwamini mwanasiasa kwa lolote au chama chochote, wanatembelea trending tu hakuna lolote.
 
TEC wapo kwa maslahi ya Watanzania, Serikali yenu ipo kwa maslahi ya Waislam, hatutaki wapewe Waislam kuendesha chochote. Tazama hata wizara zote zinazoendeshwa na Waislam zilivyoharibika..
Bibi tinakuheshimu sana Ila udini ulionao unakufanya uonekane km umerukwa na wazimu au hauna akili, una ulokole fulani hivi wa Kiislamu wewe Suni au Shia?
 
Tumehamishwa Ukraine tumepekwa gaza, Je mnazisikia za Ukraine siku hizi ? Akili kichwani mwako. Na hapa tulikuwa na makelele ya Chadema na waarabu ,ikawa mpaka pa kutia mguu hakuna kila kitu ni bandari.

Je Chadema walikuwa wanatafuta kiki? Na kutaka kuwaburuza waTanzania kuwa nchi inauzwa kwa waarabu ? Hiki Chama ni hatari sana waliwakusanya mapadre na mashee wasiojielewa na kupanga uasi wa kuhakikisha Raisi samia au serikali ya CCM inapinduliwa au kuangushwa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.

ilivyo ilihitajika hiki Chama kufutwa mara moja,leo hii wachochezi wote wamechawanyika baada ya mbinu zao za kuiangusha serikali kupigwa na chini,mkichaa kakimbilia Ulaya,Balaa kafungua chama chake na kengeza yupo yupo tu.
CCM oyee.
DPW wamekimbia mechi wameona isiwe taabu.

Chezea wabwekaji wewe
 
Mwislam mtazania hana shida sababu washazoea kuishi na wakristo,sasa ukiimpa uyo mwarabu hutaajiriwa bandarin kama wewe siyo Muhammed, au asha n.k. si unaona hata kwenye mabasi yao,au taasisi zao yaan ni tatizo
 
Tumehamishwa Ukraine tumepekwa gaza, Je mnazisikia za Ukraine siku hizi ? Akili kichwani mwako. Na hapa tulikuwa na makelele ya Chadema na waarabu ,ikawa mpaka pa kutia mguu hakuna kila kitu ni bandari.

Je Chadema walikuwa wanatafuta kiki? Na kutaka kuwaburuza waTanzania kuwa nchi inauzwa kwa waarabu ? Hiki Chama ni hatari sana waliwakusanya mapadre na mashee wasiojielewa na kupanga uasi wa kuhakikisha Raisi samia au serikali ya CCM inapinduliwa au kuangushwa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.

ilivyo ilihitajika hiki Chama kufutwa mara moja,leo hii wachochezi wote wamechawanyika baada ya mbinu zao za kuiangusha serikali kupigwa na chini,mkichaa kakimbilia Ulaya,Balaa kafungua chama chake na kengeza yupo yupo tu.
CCM oyee.
Mtu aliyekosea, unamwambia mara moja tu na kumuacha. Kuendelea kusemasema utaonekana wewe ndo huna akili..!! Kwani ESROW wewe bado unaiongelea? Au richmond je!

Hiyo CCM hoyee ndo inalipa 75B kisa ujinga wao
 
Ujinga ni wakuzaliwa nao. Nchi nzima inaongozwa na Muislamu na hii ni mara ya tatu (Mwinyi,Kikwete na Leo Samia), hilo halikumipa taabu bali lilituletea sote neema na upendo. Leo tunaona BANDARI likipewa Mfadhili wa kiislamu Tanzania itaumia.
DP World has a portfolio of 78 operating marine and inland terminals supported by over 50 related businesses in 40 countries across six continents.
The portfolio of DP World in Europe consists of twelve inland terminals, strategically located in key economic centres throughout Germany, Switzerland, Belgium and France. Some of our terminals are fully owned by DP World, while others are operated in partnership such as Swissterminal, and DP World Liège Container Terminals SA. It is precisely because of our intensive collaboration with partners that our network can offer you 24/7 high-frequency trimodal connections as well as a comprehensive range of additional services. Explore what each location has to offer ( )

ANGALIA HAPA DPW INAMILIKI BANDARI ZAIDI YA 80 ULIMWENGUNI, Na nchi nyingi sio nchi za Waislamu, na zipo za ULAYA na UMarekani::
Watu wamejikita katika Utaifa zaidi juu ya vipengele vya Mkataba vilivyo vibovu wewe unaleta issue za DPW kumiliki bandari zaidi ya 80. Sasa je kati ya hizo bandari 80 anazomiliki vipengele vyake vinafanana na vipengele ambavyo vipo kwenye Mkataba wetu ?
 
Back
Top Bottom