Makelele ya bandari yameishia wapi?

Makelele ya bandari yameishia wapi?

Tumehamishwa Ukraine tumepekwa gaza, Je mnazisikia za Ukraine siku hizi ? Akili kichwani mwako. Na hapa tulikuwa na makelele ya Chadema na waarabu ,ikawa mpaka pa kutia mguu hakuna kila kitu ni bandari.

Je Chadema walikuwa wanatafuta kiki? Na kutaka kuwaburuza waTanzania kuwa nchi inauzwa kwa waarabu ? Hiki Chama ni hatari sana waliwakusanya mapadre na mashee wasiojielewa na kupanga uasi wa kuhakikisha Raisi samia au serikali ya CCM inapinduliwa au kuangushwa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.

ilivyo ilihitajika hiki Chama kufutwa mara moja,leo hii wachochezi wote wamechawanyika baada ya mbinu zao za kuiangusha serikali kupigwa na chini,mkichaa kakimbilia Ulaya,Balaa kafungua chama chake na kengeza yupo yupo tu.
CCM oyee.
Ushindwe na ulegee.
 
Kama huoni mapokezi ya Cardinal airport, Kama huoni ibada zisizo rasmi makanisani na sadaka kubwa kubwa, kama hutuoni tukitembelea cardinal kwenye makazi yake ya uaskofu. Bado nawe hujielewi. Hayo mambo hayawezi kuwa kama yalivyokuwa mwanzo. Kanisa lilishatoa msimamo wake. Bila shaka umeona watawala wanavyo respond. Otherwise wewe unashabikia upuuzi.
DP World anaanza kazi hapo bandarini Novemba mwanzoni mwaka huu. Hao hoa maaskofu walioanzisha fitina ndio wanaokwenda kufaidika wakati hao waarabu wakishaanza kazi hapo bandarini.

Jambo zuri na lenye tija kwa taifa huwa linapigwa sana vita siku zote.
 
Makelele yakasababisha waliojimilikisha nchi waondoe Muswada kwenye Bunge Lao la Ndiyooooo? Basi hayo Makelele Yana Moshi wa kutoa machozi.
Ni Fala tu asiyeona kazi iliyofanywa na CHADEMA na Kanisa Katoliki mpaka watu wamepeleka Kanzu Kwa Kadinali.
Novemba hapo bandarini DP World anaanza kazi. Ni kwa faida ya uchumi wetu mzima.
 
Zungumza yote ila la bandari haliwezi kupoa, ili ni kaburi la ccm
Novemba wiki chache zijazo DP World anaanza kazi pale TPA, wenye kufanya biashara za kutumia huduma ya bandari wanapiga makofi mengi muda huu wakijua kuwa upigaji na uhuni wa mafisadi ndio umefika kikomo.
 
Tumepigwa Tumechakaa Hoi Sana Damu Mwili Mzima
 
Tumehamishwa Ukraine tumepekwa gaza, Je mnazisikia za Ukraine siku hizi ? Akili kichwani mwako. Na hapa tulikuwa na makelele ya Chadema na waarabu ,ikawa mpaka pa kutia mguu hakuna kila kitu ni bandari.

Je Chadema walikuwa wanatafuta kiki? Na kutaka kuwaburuza waTanzania kuwa nchi inauzwa kwa waarabu ? Hiki Chama ni hatari sana waliwakusanya mapadre na mashee wasiojielewa na kupanga uasi wa kuhakikisha Raisi samia au serikali ya CCM inapinduliwa au kuangushwa kabla ya uchaguzi mkuu ujao.

ilivyo ilihitajika hiki Chama kufutwa mara moja,leo hii wachochezi wote wamechawanyika baada ya mbinu zao za kuiangusha serikali kupigwa na chini,mkichaa kakimbilia Ulaya,Balaa kafungua chama chake na kengeza yupo yupo tu.
CCM oyee.
Kamuulize mbarawa
 

Attachments

  • Screenshot_20231019-191359.png
    Screenshot_20231019-191359.png
    75.5 KB · Views: 2
Uelewe hakuna mtu aliye shida na mwarabu ama Imani yake. Ishu mktaba unufaishe kizazi Cha watanzania na sio wachache. Umeona kwenye madini gesi mbuga tunafuikaje
Kote huko si haohao waarabu na waislam? Au siyo?
 
Back
Top Bottom