Makinda ashangaa wasomi wanaokula bure makwao

Ni speaker mstaafu anapata 80% ya stahiki za Spika aliyeko,ni Mwenyekiti wa NHIF iliyofilisika na ni kamisaa wa sensa na upuuzi mwingine..

Majitu kama haya yasiwe yanathubutu hata kunyanyua midomo yao.
 
Cha ajabu wasomi uchwara watakuja kumshambulia hapa, kijana ana nguvu zake na ni msomi ila hafanyi chochte analala tu kama demu na kusubiri msosi wa shikamoo..
Wengi wanabet na kucheza michezo ya bahati nasibu ndio ajira pekee waliyonayo kwa sasa hakuna anaependa kukaa bure mtu amesotea elimu zaidi ya miaka 15 usimchukulia poa you must show some respect to them, wamepambana kuitafuta elimu kwa jasho, shida na taabu angalau wameelimika..
 
Hawa watu nafasi wanazopeana wanadhani ni haki yao.

Kwani hata kwenye sensa anadhani yeye alikuwa na lipi la mno la kufanya kuliko wangapi kibao wasiokuwa na ajira anaojaribu kuwazodoa leo?
 
Ana uhakika gani kuwa mfumo wa elimu yetu unawasaidia vijana wajiajiri, hiyo mitaji amewapa? Anadhani kuna mtu anapenda kukaa tu kwa mzazi aendelee kuwa mzigo,,,,, Marehemu Hamza ilibidi angepita na watu kama hawa angewaacha police
 
Pumbav ,that filthy ugly old whore .
 
Ndio akili za kipumbav za mataahira hawa mnaowaita viongozi , majitu yanatoa kejeli za kipumbav na lawama badala ya kutoa solutions
Mtu mweusi ni ibilisi kabisa
 
Cha ajabu wasomi uchwara watakuja kumshambulia hapa, kijana ana nguvu zake na ni msomi ila hafanyi chochte analala tu kama demu na kusubiri msosi wa shikamoo..
Shida kaka ni mifumo na sera
Kwa mfano sera ya kilimo inakuwa sio rafiki japo wanatuaminisha kilimo ni UTI wa mgongo ila sio kweli kilimo ni mateso kwa wakulima wadogo wadogo.

Wangeanza na viwanda vingi wakatutunga sera bora ya kilimo nadhani wangelikwamua vijana wengi sana sana
 
Kuna Mambo ya ajabu, mbona yeye alizeekea bungeni?
Ameishi na anaishi kwa Kodi zetu...amefanya nin nje ya kutafuna Kodi zetu?
 
Kujua chuki inayoweza kujitokeza kwa kauri fulani kabla ya kuitamka ni moja ya viashiria vya hekima!

Nilidhani baada ya kustafu angerudi Makete, kumbe bado anaendelea na ajira, badala ya kuandaa bustani yake ya mapapai
 
Hawa mbwa wanasiasa wangejua mazito vijana na jobless hupitia basi wangefunga midomo yao.

Mtu mpka anafikia hatua ya kula kulala ujuwe ni hopelessly yawezekana kapambana mpka mwisho wa uwezo wake na akili zake, ukijumlisha na familia nyingi za kiafrika kumuendeleza kijana aliyewamalizia pesa kwaajili ya kusoma eti apewe pesa zingine za mtaji, hiyo ni ngumu, anakuwa aaminiki, maana hata kazi kakosa wakati wengine wanapata.

Akae kimya huyo bibi hajui watu wanapitia mangapi huku mitaani.

Cha msingi waache lawama na wajue watawasaidia vip majobless na sio kulaum, kulaum ni kuwachanganya zaidi kiakili ili baadae wajitoe muhanga na kuanza kujihusisha na makundi hatar kama panyaroad na ujambazi.

Hawa viongozi wetu ni takataka kabisa, baada ya kushindwa kusolve tatizo la ajira sasa wameona waanze kuwalaumu vijana, ili waonekane ndio mzigo na uzembe wao kutofanya kazi,

Kazi zipi hizo wafanye? Tulime, tukalimie mashamba ya nan? Mbolea na pembejeo zipo za bure? PUMBAVU KABISA HUYO
 
Hawa jamaa ndio wanaokaa na Hela zetu katika mifuko ya hifadhi ya jamii hata pale tunapositishiwa mkababa na mwajiri, Kisha wanatulazimisha tutafute kazi ingine
 
National Anthem mwanawane tunasufwa huku na bibi yetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…