Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #21
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji24][emoji24][emoji24][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Mbunge mchangamfu zaidiView attachment 1760721
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji848][emoji848][emoji848][emoji24][emoji24][emoji24][emoji2827][emoji2827][emoji2827]Mbunge mchangamfu zaidiView attachment 1760721
Nilikuwa busy kuangalia alivyo ingia Bungeni
Hata akikutana anataka wajadili jinsi ya kufanya siasa zenye tija kwa nchi.Sijui ni kuzidiwa na utamu? Au ni umafiki? Au ni sababu ya kupata ladha mpya!! Waitwao wabunge leo wa ccm na wale covid-19 walipigia makofi kila alichokisema mama
Kuna wakati hata hayakuhitajika lakini yalipigwa... Meza za bunge leo zimeipatapata na viganja vya waheshimiwa kama havijavilia damu sijui? Tutaona kesho kama kuna watakaoweza hata kushika lalamuView attachment 1760702
Zijapopita siku njema usihuzunike bali ufurahi kwakuwa zilikuwakoHuyu jamaa hanaga furaha kabisa[emoji22]View attachment 1760782
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
Mbunge mchangamfu zaidiView attachment 1760721
Hahahah noma kweli kweliHalafu huyo wakuimba siku nyingine abadilishwe. Kisauti chake kinaumiza balaa.
Yule ndo mbunge alimgusa mama kuhusu elimu kwwmba ni lazima mwanafunzi asome miaka 7?!Waanze Kulipa Kodi Hawa Hawana Jipya
Wameandaa Mbunge Atoe Neno Naye Ni Garasa Tu
Walipiga makofi kote ila ilipofika kwenye Demokrasia yakakaa nzwiiii.Kimyaaa,hata Covid-19 hawakusikika.Sijui ni kuzidiwa na utamu? Au ni umafiki? Au ni sababu ya kupata ladha mpya!! Waitwao wabunge leo wa ccm na wale covid-19 walipigia makofi kila alichokisema mama
Kuna wakati hata hayakuhitajika lakini yalipigwa... Meza za bunge leo zimeipatapata na viganja vya waheshimiwa kama havijavilia damu sijui? Tutaona kesho kama kuna watakaoweza hata kushika lalamuView attachment 1760702