Maskini, hana furaha kabisa.Mbunge mchangamfu zaidiView attachment 1760721
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maskini, hana furaha kabisa.Mbunge mchangamfu zaidiView attachment 1760721
Atakuwa ni huyu mamaSijui ni kuzidiwa na utamu? Au ni umafiki? Au ni sababu ya kupata ladha mpya!! Waitwao wabunge leo wa ccm na wale covid-19 walipigia makofi kila alichokisema mama
Kuna wakati hata hayakuhitajika lakini yalipigwa... Meza za bunge leo zimeipatapata na viganja vya waheshimiwa kama havijavilia damu sijui? Tutaona kesho kama kuna watakaoweza hata kushika lalamuView attachment 1760702
Na kusema vijana hawana nguvu za kugegeda.... [emoji23] [emoji23]Wanachojua ni kupiga makofi tu
Msome hapa Malisa, G alibyomjibu Zungu kuhusu eti tukatwe kodi ya uzalendo kwenye simu zetu..... UPUMBAVU ni nini? Upumbavu ni huu. Mbunge analipwa mshahara wa 3.8M kwa mwezi, anapata posho 8M kila mwezi, jumla 11.8M. Akiwa kwenye kikao analipwa posho ya kikao 240K kwa siku na posho ya kujikimu 120K, jumla 360K. Bunge la bajeti litakaa kwa miezi mitatu, akihudhuria vikao vyote atapata 32M, wastani wa 10M kwa mwezi. Kwahiyo hii miezi mitatu ya bunge la bajeti Mbunge ana uhakika wa kukunja 22M kila mwezi.Waanze Kulipa Kodi Hawa Hawana Jipya
Wameandaa Mbunge Atoe Neno Naye Ni Garasa Tu
Kule kuandaliwa kote ndio hotuba hiyo tu?
Hahahahahahaa you made my day jamani🤣🤣🤣Tai nyekundu walikatazwa, ilibakia kidogo waambiwe hata chupi wasivae kabisa ili wawe free kupiga makofi
aikua nzito hata kidgKule kuandaliwa kote ndio hotuba hiyo tu?
Nilikuwa busy kuangalia alivyo ingia Bungeni
Ninamshauri arud udsm.Huyu jamaa hanaga furaha kabisa [emoji22]
View attachment 1760782
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app
[emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji3064][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tai nyekundu walikatazwa, ilibakia kidogo waambiwe hata chupi wasivae kabisa ili wawe free kupiga makofi
Dalili za msongo wa mawazo. Maumivu ya kiendelea heri kurudi jalalani.Huyu jamaa hanaga furaha kabisa [emoji22]
View attachment 1760782
Sent from my SM-C9000 using JamiiForums mobile app