Gavana
JF-Expert Member
- Jul 19, 2008
- 33,637
- 8,947
Jibu kwanza hapo , Kwani Yesu si kiumbe ??Nataka nijue mpumbavu gani alikwambia Mungu wa wakristo ni kiumbe , au uliambiwa msikitini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jibu kwanza hapo , Kwani Yesu si kiumbe ??Nataka nijue mpumbavu gani alikwambia Mungu wa wakristo ni kiumbe , au uliambiwa msikitini
unajifundisha kiswahili\Apo sawa kwa hiyo unataka maneno exactly kama ulivyo weka wewe Yesu awe ameyasema
Nimekuuliza unataka maneno exactly kama ulivyo andika wewe au ?unajifundisha kiswahili\
Wapi kwenye biblia yesu alisema mimi ni Mungu na mniabudu mimi ??
Mimi nataka unijibu , niwapi Yesu alisema Mimi yesu ni Mungu au alisema mniabudu mimi ?? au kiswahili hukielewi ??Nimekuuliza unataka maneno exactly kama ulivyo andika wewe au ?
Swali jepesi SanaMimi nataka unijibu , niwapi Yesu alisema Mimi yesu ni Mungu au alisema mniabudu mimi ?? au kiswahili hukielewi ??
Kabla hujauliza swali tumia mda kujifunza kwanza , soma nature ya Mungu wa wakristo kwanza , na epuka kuingiza nature ya mungu wako kwa Mungu wa wakristoJibu kwanza hapo , Kwani Yesu si kiumbe ??
alert yetu sasa😨😨Now i understand why they issued a security alert earlier this week.
Kwani yule Mungu aliyetamka kwenye agano la kale kwa kusema Mimi ni Mungu alizunguka mbuyu ? Sasa kama kweli yeye ni Mungu lete Aya anasema Mimi Yesu Ni Mungu na mniabudu mimiSwali jepesi Sana
Unataka Yesu awe ametamka maneno exactly kama ulivyo andika wewe au ?
Yani Yesu aseme "Mimi Yesu ni Mungu" au ata tofauti na Yako utakubali?
Nature soma wewe halafu jibu Jee Yesu si kiumbe ?Kabla hujauliza swali tumia mda kujifunza kwanza , soma nature ya Mungu wa wakristo kwanza , na epuka kuingiza nature ya mungu wako kwa Mungu wa wakristo
Hamna lolote.Now i understand why they issued a security alert earlier this week.
Ona sasa unavyo angaika , nimekuuliza swali jepesiMimi nimetulia nakunywa supu ya kuku, mnaoumia ni nyinyi mnaodanganywa na wazungu mkaukubali uongo wao na kufika mpaka mnadanganywa eti mtu Mzungu anayekunya ni Mungu
Kwani huyo mnayesema Yesu ni Mungu si mtu au ni jini?Ona sasa unavyo angaika , nimekuuliza swali jepesi
Ni nani kakwambia Mungu wa wakrito ni mtu ?
soma nature, halafu jibu Jee Yesu si kiumbe ?Ona sasa unavyo angaika , nimekuuliza swali jepesi
Ni nani kakwambia Mungu wa wakrito ni mtu ?
Ndio maana nakwambia kabla hujaja na madai kasome kwanzaKwani huyo mnayesema Yesu ni Mungu si mtu au ni jini?
Kwani unaamini Yesu si Mungu?Ndio maana nakwambia kabla hujaja na madai kasome kwanza
Na nataka ujibu nani kakwambia Mungu wa wakristo ni mtu ? Yani ayo madai umetoa wapi?
Kwanini nakuuliza swali na wewe badala ujibu unauliza swali?Kwani unaamini Yesu si Mungu?
Jibu wacha kukimbia kimbia maswali na dini yenu ya kubabaishaKwanini nakuuliza swali na wewe badala ujibu unauliza swali?
Nani kakuambia Mungu wa wakristo ni mtu ? Au umejiambia mwenyewe?
Jifunze kujibuJibu wacha kukimbia kimbia maswali na dini yenu ya kubabaisha
Kwani unaamini Yesu si Mungu?
Jibu wacha kukimbia kimbia maswali na dini yenu ya kubabaishaJifunze kujibu
Nani kakwambia au nani kakuaminisha Mungu wa wakristo ni mtu ?
Ukiwa tayari kujibu swali langu ni tagJibu wacha kukimbia kimbia maswali na dini yenu ya kubabaisha
Kwani unaamini Yesu si Mungu?