Marekani ina watu zaidi ya milioni 330. George Soros ni mtu mmoja.
Huyo Soros ana control kitu gani Marekani?
Ni ujuha kuamini katika conspiracy theories.
Hao Blackrock na Vanguard ndo nini? Ndo wanaidhibiti Marekani nzima?
Kama wanaidhibiti Marekani nzima mbona hawajawahi kuwa na Rais Myahudi?
Stori za vijiweni tu kuwapa kila sifa na kila lawama hao Wayahudi.
Kuna kupigana vita kwa ajili ya kulinda usalama wako....Kwa hiyo Israel na intelijensia yote hiyo ya kuweza kumuua gaidi Nasrallah shimoni asijue eti wewe unayechoma mahindi hapo Tabata Relini ndio ujue..🤣🤣🤣
Conspiracy theories nyingi dhidi ya Wayahudi na influence yao ni ujuha tu.Yamekuwa hayo tena ya UJUHA???
Hapana si hatua ya kufikia kushindwa ku resist mashambulizi ya Israel...Hezbollah imedhoofika mno, hawana uwezo huo
Rudia tena kusoma historia Bomu la atomic bomb liligunduliwa na myahudi mmarekani Robert Oppenheimer (1904-1967) . He is often known as the “father of the atomic bomb.” likatumika vita kuu ya pili ya dunia 1945 kumaliza vita mjapani hadi kesho hamsahau huyo mu Israel bomu ka atomic kikichofanya Japan vita kuu ya pili ya dunia hakuna mjapani atqkuja kusahau mileleWorld War 2 1945 ,USA inashinda WW2 Israel ilikuwa wapi?
Umeshachunguza akili zako?
We jamaa nipumzishe...Wapinga zionism ni wayahudi ambao mama zao sio wayahudi ila baba zao wayahudi
Wayahudi kuwa myahudi original lazima mama awe myahudi asilimia 100
Sasa kuna hiyo midume ya kiyahudi ambayo ni miyahudi mia kwa mia kwa Mama zao ikazaa na akina mama wazaramo na wandengereko nk hiyo mitoto waliyozaa huko nje ndio hupinga zionism
Nenda history kasome hao anti zionism na dini yao ni akina nani hasaWe jamaa nipumzishe...
Hizi story mnazitoa wapi?
Hivi, kama kweli hao Wayahudi ni vipanga, yaani wana akili sana….iliwezekana vipi Hitler akawaua kama sisimizi?Wataje sasa hao wanasayansi wa kiyahudi wanao tegemewa na Marekani tuwaone.
Mpaka vita ya pili ya dunia wayahudi walikuwa waishi kama vibaka wanakimbizwa na kuuawa wakati huo Marekani ndo alikuwa masambazaji mkuu wa silaha zilizo saidia kuishinda Ujerumani na kuwakomboa hao wayahudi yalio kuwa wamerundikwa kwenye makambi ya mateso wakisibili kuawa na Hitra.
Huna akili Israel imeundwa na mwaka 1947 wakati Marekani imekuwa taifa kubwa kiteknolojia tangu miaka ya 1880.
Hata hako kataifa kao si kameanzishwa kwa hisani ya Marekani na Uingereza?
Hawawezi pigana China na marekani hata siku mojaUSA hawezi mpiga china, ndiyo itakuwa mwisho wa U-superPower wake.
Oppenheimer alikuwa ni mkurugenzi wa Los Alamos Laboratory.Rudia tena kusoma historia Bomu la atomic bomb liligunduliwa na myahudi mmarekani Robert Oppenheimer (1904-1967) . He is often known as the “father of the atomic bomb.” likatumika vita kuu ya pili ya dunia 1945 kumaliza vita mjapani hadi kesho hamsahau huyo mu Israel bomu ka atomic kikichofanya Japan vita kuu ya pili ya dunia hakuna mjapani atqkuja kusahau milele
Walizinunua kwa Sh ngapi?Nani anawaamini hao watu siku hizi? Pia mambo ya Historia achana nayo.
Mchina wa mwaka 1970 na leo ni vitu viwili tofauti.
Yaweza kweli kuwa Mwanzo Israel alikuwa MLINZI wa USA miaka hiyo ila Wayahudi wamepiga kazi na kufanya Biashara sana na hadi wamekuwa Matajiri wakubwa na KUZINUNUA Nchi za WEST.
Uko ulimwengu gani weweMimi nawaambis, kama Israili wsnajiamini wajaribu kumpiga risasi Hezbollah hsta mmoja tu, eatsuoma mziki wake
Nimeuliza swali: Hitler aliwakaanga kama kumbikumbi hao Wayahudi. Kwa nini hawakutumia akili zao nyingi kumgeuzia kibao na kumkaanga yeye kabla ya yeye kuwakaanga wao?Walizinunua kwa Sh ngapi?
Hivi what's so special about jews na hao Israeli?
Akitokea kiongozi myahudi UK mtapaza sauti UK inaongozwa na wayahudi, na inaendeshwa na Israel..
Akitokea kiongozi muhindi mnakaa kimya hamsikiki kusema UK inaongozwa na kutawaliwa na India.
Obama mbona hamkusema US inatawaliwa na Kenya?
Hao jews wana agenda gani na u special upi kuliko race zingine? Kuna siri gani kuhusu wao?
Sitaki kuamini watu wana mawazo duni kiasi hiki..
Mwamba anawafundisha wenye kazi yaoWachakae kivipi?, unadhani wao hawana info za kutosha hadi kufikia maamzi hayo ya kupiga mguu kwa mguu?.
Toka kwenye vijiwe vya kanisaViwanda vyote vya silaha Marekani ni vya waisrael wawekezaji
Zitapasuliwa tu.Israel anachotaka hapo ni raia wake warudi kwenye makazi yao.
Kitu ambacho ni kigumu sana... Kwani Gaza walilipua tunnels ngapi na kuziba? Ni nyingi, je wamewamaliza Hamas?
Tunnels za Hamas kwa Hezbollah zinaingia mara 10, jamaa wana tunnels karibu Lebanon yote...
Ulikua dunia ipi mkuuMimi nawaambis, kama Israili wsnajiamini wajaribu kumpiga risasi Hezbollah hsta mmoja tu, eatsuoma mziki wake
Israel inatumika na magharibi kuivuruga mashariki ya Kati, fikiria israel isingekuwepo mashariki ya Kati pangekuwaje?..tamaa ya magharibi ni kuhakikisha mashariki ya Kati hapatulii,wakiwa wamoja wale magharibi hawana chao, wakati wa isis lengo ilikua kuhakikisha mashariki ya Kati hapatulii kwa miaka 50Israel ni babu Yao,mainjia na wajasiriamali wakubwa wanavinasaba nao!
Argument zako hazina mashiko mfano akiyegundua gari kwani yeye ndie akikuwa mtengeneza matairi,na Fundi welding kuchomekea chassis na Fundi wa kushona viti vya kukaa abiria? Issue ni main idea hao wengine wote ni supporting staff tu kichwa cha atomic bomb kilikuwa cha kiyahudi huyo mkurugenzi sio hao supporting staff wanaoelekekezwa nati funga pale nkOppenheimer alikuwa ni mkurugenzi wa Los Alamos Laboratory.
Hapo ndo research na development ya atomic bomb ilipofanyika.
Walikuwepo akina Enrico Fermi, Percival Keith, Ernest Lawrence, na wengineo.
Oppenheimer hakuliunda hilo bomu yeye peke yake mwanzo mwisho.
Ila kwa vile ndo alikuwa mkurugenzi wa maabara ya lilipotengenezwa, ndo maana anapewa pewa yeye sifa.
Ukweli ni kwamba walikuwepo wahandisi na wanasayansi wengine ambao hawakuwa Wayahudi.