Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
mkuu andaa matofali mawili na nyndo ya kupasulia mawe.Matofali yaweke kifuani tayari tayari.Nakuja kukupima kama wewe komandoo au laa!
Unadhani wao hawajui wanachokifanya au hawajui umuhimu wa ubongo?
Ndo tatizo la kusepa mafunzo ya mgambo, na JKT!
Any way ngoja turahisishe kazi.Wewe andaa tofali moja tu la kuchoma, nyoa kipara, halafu mkabidhi rafiki yako akutwange nalo kichwani hadi liwe unga.Tutakukabidhi cheo cha ukomandoo hapo papo.Ila usaini kwenye form maalum kwanza kwamba zoezi hilo unalifanya kwa hiari yako na utakuwa tayari kwa matokeo yake.Nyie ni watu wa viwango vya chini sana tena mnaozuzuka na mazingaombwe ya kitoto toto.
check jamaa anavoweza kuruka,,Bravo Boys.
ukitaka kujua kama makomandoo au mabaunsa ni rahisi sana.
Procedures.
1.Mtafute rafiki yako kisha mkabithi fimbo kubwa, matofali ya kuchoma na cement n.k.
2. mpe kazi ya kukutandika na fimbo mwili mzima hadi ikatike katike yote.Kama bado hujaelewa
3. Mwambie akupige na tofali la kuchoma kichwani hadi lisagike lote.Kama bado hujaelewa,
4. mkabidhi matofali mawili na nyundo ya mawe.Mwambie ayaweke kifuani kwako kisha ayapasue kwa nyundo. Bila saka utakuwa umeelewa baada ya hapo.Tehe! tehe!
Tanzania commandos
View attachment 131786
/QUOTE]
hapa ndio walikuwa wanafanya nini? kama una picha zingine tupia
Huyo jamaa hakuchanika nyeti hapo..!
mkuu andaa matofali mawili na nyndo ya kupasulia mawe.Matofali yaweke kifuani tayari tayari.Nakuja kukupima kama wewe komandoo au laa!
Hawamshindi huyu jamaa
Mkuu kwani wewe unaelewa nini dhima ya yale maonyesho?
Unadhani unajua lakini wewe ni mbumbumbu ktk mambo ya ulinzi na jeshi.
Makomandoo no wanajeshi waliopata na kufuzu mafunzo maalum na ya ziada ya kivita. miongoni mwa mafunzo mayo ni jinsi ya kupata intelijensia kuhusu adui,mbinu za kumdhoofisha, jinsi ya kujihami kwa silaha na bola silaha nk. Na watu hao ktk vita vya kisasa vya kisayansi na teknojia, ndio hutumika ktk kufanya 'electronic target marking' kwenye maeneo nyeti ya adui, yanayopaswa kushambuliwa na 'guided missiles' mizinga ya Masada marefu ama ndege za kivita.
Hao ndio makomando wa jwtz!
JWTZ (Jeshi la Wakurya Tangu Zamani).
Mfano uko wewe na yeye mmetaitiwa na adui njia atakayotumia kujiokoa utabaki unatoa majicho tu japo unamuona comando kipensi,
Kama tunawaona wapo fiti tuwatafutie mechi japo ya kirafiki.
Hivi wale uzeeni watafika kweli? na kama watafika watakuwaje? maana kupigwa tofali la kichwa kisa ubishoo!! kwan wakipigwa risasi haitapita? maana vitani hakuna matofali ila ni risasi!
Ujio Wake ni Wa Kutusoma Kijeshi. Nawaheshimu na Nawakubali Sana Watutsi hawa Wawili Yoweri Museveni na Paul Kagame!
Walishacheza na M23 kawaulize M23 mechi waliionaje?