Makombora ya Marekani yatumika kuipiga Crimea, Urusi yamwita balozi wa Marekani, yasema italipa kisasi!

Makombora ya Marekani yatumika kuipiga Crimea, Urusi yamwita balozi wa Marekani, yasema italipa kisasi!

Ni kweli la Mmarekani ila lazima Ukraine nao wachapike kwanza
Leo, North Korea walizungumzia hili suala. Kwamba endapo silaha za marekani zitatumika kushambulia ardhi ya Urusi, basi kısası kutoka Moscow kitakuwa kikubwa sana. Na kwasababu Kiduku na Putin walikubaliana kwamba mmoja akishambuliwa ni kama wote wameshambuliwa, subiri tuone nguvu ya makubaliano…


Pak Jong Chon wa Korea Kaskazini, afisa wa ngazi ya juu akizungumza katika vyombo vya habari vya serikali Jumatatu alionya juu ya jibu kali linalowezekana kutoka kwa Moscow ikiwa Marekani itaisukuma Ukraine kuelekea "vita vya wakala" dhidi ya Urusi, na pengine kusababisha "vita vipya vya dunia."

Alirejelea maoni ya Pentagon wiki iliyopita kwamba vikosi vya Ukraine vinaweza kutumia silaha zinazotolewa na Marekani kushambulia vikosi vya Urusi mahali popote kwenye mpaka na kuingia Urusi.


Katika taarifa ya pamoja iliyotolewa siku hiyo hiyo na maafisa wa wizara ya mambo ya nje ya Seoul kutoka Korea Kusini, Marekani na Japan wamelaani vikali uhusiano wa kijeshi kati ya Korea Kaskazini na Urusi.

 
Leo marekanai imetest mitambo kwa kirusha bomu moja kwa moja mpaka kwenye ardhi ya urusi na imeua watu kibao.

Sasa mda si mrefu putin atakamwa. Urusi imebaki kubweka tu kuwa itatumia silaha za nuclear as if marekani hawana.

Usicheze na marekani
images.jpeg-90.jpg
 
Hapo akipiga Ukraine tu itakuwa woga. Maana hayo makombora ni kama mmarekani ameyapiga. Na hapo wanamtest tu Putin kuona reaction yake.

Hayo mabomu yanatumia satellites za marekani na ni lazima wataalamu wa marekani watumike.

Kwahiyo hilo shambulizi ni la mmarekani bila chenga.
Putin nimemuona fala wanaume ni Afghanistan, Iran, Hezbullah, Al Houth hawa US anawajua music wake ndo mana anamuambia shoga yake usisogee Lebanon mimi sina uwezo wa kukusaidia.

Us alipokea kichapo pale Ain Al Asad, kule Iraq kwenye base yake, mpaa leo anaogopa mziki wa Iran.


View: https://youtu.be/3yNvI5vJ0Y0?si=15E4RRvPOSWW_4aw
 
Putin nimemuona fala wanaume ni Afghanistan, Iran, Hezbullah, Al Houth hawa US anawajua music wake ndo mana anamuambia shoga yake usisogee Lebanon mimi sina uwezo wa kukusaidia.

Us alipokea kichapo pale Ain Al Asad, kule Iraq kwenye base yake, mpaa leo anaogopa mziki wa Iran.
Hivi mnajua kinachoendelea kwenye uwanja wa vita? Mnaweza kujudge kwa hilo shambulio ila majeshi ya Russia yanasonga mbele
 
Dunia bila USA isingekuwa dunia salama kwa sisi kuishi. USA ashukuliwe saana.
ujue huu ndio ubaya wa proxy war, watatafuta namna ya kumpa kipigo US kwa kutumia proxy kama yeye anavyofanya!

hii dunia bila nchi ya kishetani kama US ingekua sehemu salama sana, jamaa anapenda sana ubabe utadhani tupo enzi za babeli au dola la warumi
 
Acha ubishi wa kijinga, kuna shambulio kweli limetokea huko Russia.
Kuna matukio 2 yametokea

Lile la Crimea lililoua watoto 2

Na lile la magaidi mjini Makhachkala karibu na kanisa la Orthodox ambapo wahusika walishadhibitiwa na kukamatwa?

Kwa hiyo hayo matukio 2 ndio kusema Putin mwisho wake umefika anakaribia kukamatwa sio?
 
Hivi mnajua kinachoendelea kwenye uwanja wa vita? Mnaweza kujudge kwa hilo shambulio ila majeshi ya Russia yanasonga mbele
Mimi niko na Putin lakini na muona anasita sana kuchukua action, dawa ya US na Israel ni kuwapelekea moto tu ndio lugha wanayo ifahamu.

We huoni US na Israel wanavyo muogopa Iran, sababu Iran akisema nitafanya atafanya kweli.

Huoni Israel anavyo muogopa Hezbullah hataki kuingia full war anaona bora tuendele hivi hivi nampiga kidogo na yeye ananipiga kidogo 😄
 
Kuna matukio 2 yametokea

Lile la Crimea lililoua watoto 2 ndio mnasema wengi wamekufa

Na lile la magaidi mjini Makhachkala karibu na kanisa Orthodox ambapo wahusika walishadhibitiwa na kukamatwa?

Kwa hiyo hayo matukio 2 ndio kusema Putin mwisho wake umefika sio?

Acha kunilisha maneno, Sina popote niliposema limeua watu wengi, ila najua jana Kuna shambulio la bomu, na Russia wameihusisha US na shambulio hilo.
 
Ninasema siku zote kwamba Russia ni joka la kibisa tu hana lolote hawezi kulipiza kisasi kwa kuipiga Marekani wala mshirika wake yeyote, yeye ataishia kuipiga Ukraine tu maana ndio saizi yake.

Kipindi kile anavamia Ukraine alitishia kwamba ole wake atakayemsaidia Ukraine lakini Ukraine inasaidiwa hadi sasa na hana la kufanya.

Marekani wanaitambua ardhi yao kama takatifu na nchi yoyote itakayo thubutu kuishambulia ardhi yao hata kwa kutumia manati tu utakuwa imejifuta katika ramani ya dunia na Russia inalifahamu hilo vizuri sana na haiwezi kufanya kosa hilo hata kidogo.

Wako huru kwenda kuvinjari Cuba kwa nidhamu na kisha kurejea nyumbani kwa amani bila kufanya fujo yoyote karibu na ardhi ya Marekani na hiyo ni ruksa tu.
 
Leo marekanai imetest mitambo kwa kirusha bomu moja kwa moja mpaka kwenye ardhi ya urusi na imeua watu kibao.

Sasa mda si mrefu putin atakamwa. Urusi imebaki kubweka tu kuwa itatumia silaha za nuclear as if marekani hawana.

Usicheze na marekani
Hats siku 1...
 
Mimi niko na Putin lakini na muona anasita sana kuchukua action, dawa ya US na Israel ni kuwapelekea moto tu ndio lugha wanayo ifahamu.

We huoni US na Israel wanavyo muogopa Iran, sababu Iran akisema nitafanya atafanya kweli.

Huoni Israel anavyo muogopa Hezbullah hataki kuingia full war anaona bora tuendele hivi hivi nampiga kidogo na yeye ananipiga kidogo 😄
Putin ana hesabu nzuri sana yuko sahihi Marekani na Russia hawawezi kuingia vitani battlefront.

Wakati wao wametumia ATACMS unajua kwenye uwanja wa mapambano tayari Russia amesambaratisha logistic hub ya Ukraine ambayo ilikuwa inatumiwa kusuplly missiles kutoka West
 
Leo marekanai imetest mitambo kwa kirusha bomu moja kwa moja mpaka kwenye ardhi ya urusi na imeua watu kibao.

Sasa mda si mrefu putin atakamwa. Urusi imebaki kubweka tu kuwa itatumia silaha za nuclear as if marekani hawana.

Usicheze na marekani
Unamanisha Murtaza Mangungu au?
 
Leo marekanai imetest mitambo kwa kirusha bomu moja kwa moja mpaka kwenye ardhi ya urusi na imeua watu kibao.

Sasa mda si mrefu putin atakamwa. Urusi imebaki kubweka tu kuwa itatumia silaha za nuclear as if marekani hawana.

Usicheze na marekani
Ardhi gan ya Urusi,??
 
Back
Top Bottom