Makombora ya Marekani yatumika kuipiga Crimea, Urusi yamwita balozi wa Marekani, yasema italipa kisasi!

Makombora ya Marekani yatumika kuipiga Crimea, Urusi yamwita balozi wa Marekani, yasema italipa kisasi!

FB_IMG_17192477707663948.jpg
 
Medvedev kawaka huko:

"The US bastards are supplying banderovtsy with cluster munitions and help them to take aim at targets. The Kiev bastards are choosing a beach filled with civilians as their target and press the button."
Russia ajitahidi apigane vita vyake na ashinde, vinginevyo atageuziwa kibao. Sioni sababu ya kulalamika vita alianzisha mwenyewe.
 
Acha kunilisha maneno, Sina popote niliposema limeua watu wengi, ila najua jana Kuna shambulio la bomu, na Russia wameihusisha US na shambulio hilo.
Kama masuala ya kimataifa yako juu ya uwezo wenu, yaacheni ili tushughulikie tu haya yetu ya nyumbani.
Kwa ufupi shambulio unalolisema hili hapa:
"On Sunday at 12:15 pm local time, Ukraine attacked the Russian city of Sevastopol with five ATACMS missiles equipped with cluster bomblets. Russian air defenses intercepted four missiles, but the explosion of the fifth cluster warhead led to the death of four civilians with 153 more injured, according to local authroirties."
Sasa hapo Putin anaingiaje?
 
ujue huu ndio ubaya wa proxy war, watatafuta namna ya kumpa kipigo US kwa kutumia proxy kama yeye anavyofanya!

hii dunia bila nchi ya kishetani kama US ingekua sehemu salama sana, jamaa anapenda sana ubabe utadhani tupo enzi za babeli au dola la warumi
Ktk hii vita anayepanda unable ni Russia
 
Alikamatwa juzi akiwa anatorokea Kenya! Sema hujasikiliza vizuri bibic!😊😊
 
Leo marekanai imetest mitambo kwa kirusha bomu moja kwa moja mpaka kwenye ardhi ya urusi na imeua watu kibao.

Sasa mda si mrefu putin atakamwa. Urusi imebaki kubweka tu kuwa itatumia silaha za nuclear as if marekani hawana.

Usicheze na marekani
Hahahaha weww ni juja.
 
Dunia ilianza kustaarabika mataifa yakawa wanashindana biashara, lakini wakajitokeza vichaa wachache wasiotaka kuachia madaraka wao wanafikiria vita tu.
Putin ni kiongozi wa kizamani sana.Unawaza kuunguza dunia huku una ndugu wametapakaa dunia nzima ubabe wa minguvu umepitwa na wakati siku hizi ubabe ni nguvu za kiuchumi
 
Kama masuala ya kimataifa yako juu ya uwezo wenu, yaacheni ili tushughulikie tu haya yetu ya nyumbani.
Kwa ufupi shambulio unalolisema hili hapa:
"On Sunday at 12:15 pm local time, Ukraine attacked the Russian city of Sevastopol with five ATACMS missiles equipped with cluster bomblets. Russian air defenses intercepted four missiles, but the explosion of the fifth cluster warhead led to the death of four civilians with 153 more injured, according to local authroirties."
Sasa hapo Putin anaingiaje?
Mkuu umelewa Nini? Kuna popote kwenye hiyo post yangu neno Putin?
 
Sijui ni kivipi Russia watalipa kisasi kwa marekani kama walivyosema mara baada ya makombora ya marekani kutumiwa na Ukraine kushambulia Crimea ambayo tayari iko chini ya himaya ya Urusi tokea 2014. Habari zaidi…


Wizara ya Mambo ya Nje ya Urusi ilimwita balozi wa Marekani Jumatatu kupinga kile inachosema ni utumiaji wa makombora ya hali ya juu yaliyotengenezwa na Marekani katika shambulio la Ukraine dhidi ya Crimea inayokaliwa na Urusi ambayo inaripotiwa kuwaua watu wanne na kujeruhi zaidi ya 150.

Washington "imekuwa mshiriki" kwa vita kwa upande wa Ukraine, wizara ilisema katika taarifa, na kuongeza, "Hatua za kulipiza kisasi hakika zitafuata." Haikufafanua.

Hakukuwa na maoni ya mara moja kutoka kwa maafisa wa U.S. au Ukrain.

Associated Press haikuweza kuthibitisha kwa uhuru madai ya Urusi kuhusu makombora yaliyotumiwa.

Vikosi vya Kyiv vinategemea sana silaha zinazotolewa na nchi za Magharibi tangu uvamizi wa Urusi zaidi ya miaka mitatu iliyopita.

Msaada huo wa kijeshi umekuwa muhimu katika kuisaidia Ukraine kulizuia jeshi la Kremlin, na kuleta mabadiliko machache makubwa kwenye mstari wa mbele wa kilomita 1,000 (maili 620) mashariki na kusini mwa Ukraine kwa miezi mingi.

Katika hatua muhimu ya hivi punde, Pentagon ilisema wiki iliyopita kuwa jeshi la Ukraine linaruhusiwa kutumia makombora ya masafa marefu yaliyotolewa na Marekani kushambulia maeneo ya ndani ya Urusi ikiwa inajilinda. Tangu kuanza kwa vita hivyo, Marekani ilikuwa imedumisha sera ya kutoiruhusu Ukraine kutumia silaha ilizotoa kulenga shabaha katika ardhi ya Urusi kwa hofu ya kuzidisha mzozo huo.

Crimea, ambayo Urusi ilitwaa kutoka Ukraine mwaka 2014 katika hatua ambayo ili ping wa na mataifa karibia yote duniani kwakuwa ni kinyume cha sheria, kwa muda mrefu ilikuwa imetangazwa kuwa ni halali kushambuliwa na Ukraine na washirika wake wa Magharibi.

Mamlaka ya Urusi ilisema kuwa waliouawa katika shambulio la Jumapili ni pamoja na watoto wawili waliogongwa na vifusi vilivyoanguka kutoka kwa makombora ya Ukraine ambayo yalidunguliwa kwenye eneo la pwani huko Sevastopol, mji wa bandari huko Crimea. Ilisema mabomu ya vishada, ambayo wakosoaji wanasema yanadhuru raia zaidi kuliko wapiganaji, pia yalitumiwa.

Urusi ilisema kuwa makombora hayo ni ATACMS yaliyotengenezwa na Marekani, kombora la masafa marefu, lililoongozwa. Ilimuita Balozi wa Marekani Lynne Tracy kwa Wizara ya Mambo ya Nje.

Ulengaji na " ujuzi " kwa mashambulizi hayo ya makombora unafanywa na wataalam wa kijeshi wa Marekani, taarifa ya wizara inadaiwa, ikisema Marekani ina "wajibu sawa na mamlaka ya Ukraine kwenye shambulizi hilo.

Iliendelea kusema kwamba "kuruhusu shambulizi ndani kabisa ya eneo la Urusi hakutaachwa bila kujibiwa."

Wakati huo huo, Wizara ya Ulinzi ya Urusi mnamo Jumatatu iliripoti kushambulia "kitovu kikuu cha vifaa" cha jeshi la Ukrain lililokuwa na makombora na silaha zingine zinazotolewa na nchi za Magharibi.

Ilisema shambulio hilo lilifanywa na ndege za kivita, ndege zisizo na rubani, makombora ya kurushwa ardhini na mizinga. Wizara haikutaja eneo lake.

Hakuna jipya Russia fala kama mafala wengine
 
Hali inazidi kubadilika huko duniani tuzidishe maombi

Putin amekasirika Sana na sasa anatest mitambo aliyopewa na Kiduku Ili alipe Kisasi
 
Back
Top Bottom