🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haha ha kumbe ndo hivyo.
Basi si wangeiandika TU kwamba ukitupiga Mara ya kwanza tunakuonya ya pili tunakushughulikia.
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
☑️☑️☑️☑️☑️Wapoland unawapaisha TU mkuu. Wana nguvu lakini hata historia inaonesha Ni watu dhaifu.
Wanajitengenezea silaha na vingine vingi lakini kuijibu Urusi dhidi ya Hili huo uwongo
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Ni maneno ya ajabu lakini waTz wanashauri namna gani ya kumaliza huu mgogoro baada ya BBC kuweka maneno ya Zelensky kuhusu Putin.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hii imekuwa clarified leo. Taarifa siyo za kweli. Hayo makombora siyo ya Urusi. Ni Ukraine wametuma hayo makombora kutaka kushambulia makombora ya Urusi. Bahati mbaya makombora hayo ya Ukraine yakaangukia Poland. Hizi ni new updatesRussia imerusha kombora na kutua PolandView attachment 2418013
Two people died Tuesday afternoon after a projectile struck an area where grain was drying in Przewodów, a Polish village near the border with Ukraine, domestic media reported.
Polish Prime Minister Mateusz Morawiecki has called an emergency meeting of the country’s top national security and defence officials, according to government spokesman Piotr Mueller.
Mueller did not immediately confirm the information on the missile strike but said the meeting was held due to a “crisis situation”.
A senior US intelligence official confirmed to AP that Russian missiles crossed into Poland….
Continue Reading
News Source: Russian missiles cross into Poland, killing two near Ukraine border
unaweza jikuta unacheka pasipostahili.
Ni kwa sababu anajua kuwa akikubali ni maana air defence system yao imeshindwa kung'amua hiyo misile hadi ipige nyumbani, ni kashfaAliyekana ni Biden
Hii imekuwa clarified leo. Taarifa siyo za kweli. Hayo makombora siyo ya Urusi. Ni Ukraine wametuma hayo makombora kutaka kushambulia makombora ya Urusi. Bahati mbaya makombora hayo ya Ukraine yakaangukia Poland. Hizi ni new updates
Vita ni vita yeye ndo anajua kwanini anafanya hayo.Pengine anamlazikisha aachane na vita kitu ambacho joti HATAKI.kherson ipo mashariki kashindwa lenga alipo mshukiwa wake kaenda kulenga karib na Poland , huu sio ukichaa ? inaonesha alipo Zele Pana defence kali sana
Mkuu shida ni ushahidi lazima wawenao.Wasipofuata kipengele chao watakua wameiogopa Russia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji635][emoji635][emoji635][emoji635]
Maneno ya 1954Kwa lipi?najua warusi wa buza ,mko kwenye hali mbaya sana kwani mtaalam wa karate kawaangusha sana!! naona sasa ameanza kutafuta ugomvi mzito wakati huo mdogo umemshinda!!umemsikia waziri wa ulinzi wa Russia alichosema baada ya ya hilo kombora kutua POLAND?!!
Taarifa ya wapi hiyo mkuumbona Urusi wamekiri tyr
Taarifa zina ripoti makombira mawili yaliyolengwa Ukraine/Cruise missiles yameangukia Ardhi ya Poland na Kuua raia wawili wa Poland ambao walikua hawajashika hata manati.
Naona Blood Monger/war Monger bado ana hamu na damu za watu baada ya tukio hilo baraza la usalama la Poland wakiongozwa na waziri Mkuu Ndg Duda wamekutana kwa Dharura kujadili sintofahamu hiyo huku pia viongozi mbalimbali wa vyombo vya usalama wakizuru eneo la tukio.
Inaweza kuwa War Monger aka mzee wa special operation anataka kuanzisha operation nyingine Poland.
Tukumbuke Poland ni member wa Nato na Rusia kufanya hivyo ameviolate article No 5 ya NATO.
Wale Pro Russia wa Tanzania mtueleze tena kama Putin alisaini mkataba wowote na Poland kama mlivyokuja na hoja nyepesi za Ukraine.
Ndg yenu anazeeka vibaya.
Huyu War Monger wenu amebaki anatapatapa tu damu za watoto wachanga, wajawazito,Wazee wasio na hatia za Waukraine hazitamwacha salama.
Naimani kwa uchokozi huu hata ndg zake Korea North, China, Iran, uganda wataanza kumtenga
NATO article 5.
mwana kulitafuta mwana kulipata.