bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Nlichogundua wengi humu ni fwata mkumbo watanzania tujifunze kujisomea kuna vyombo vya habari vizuri tu tuachane na vistory vya vijiwe majungu kuna watu humu wanaibeza poland sasa kama mrusi Vita ya siku 3 inamtoa jasho mpaka kaamua kuhamia kwa wafungwa poland si ndio itamtoa jasho.
Poland ana jeshi la nchi sio sawa na Urusi ana vikundi vya wapiganaji mara Wagner mara Kaydrov wa Chechen hana jeshi yule
Poland ana jeshi la nchi sio sawa na Urusi ana vikundi vya wapiganaji mara Wagner mara Kaydrov wa Chechen hana jeshi yule