GUSA ACHIA BAHASHA GOLI
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 5,110
- 7,349
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa bado ni wananchi tu wanachùkua sehemu zingine wamezuia watu wasiende kutoa aibu zao 😄Kumbe Waisrael wanajua kulia.
View: https://x.com/suppressednws/status/1858590034384822475?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Huwa mnatamani iwe hivyo tangu Saddam, Ghadaffi, Hamas na Hizbollah ila hiyo haipo, waarabu Wenye akili walishaamua kuwa wanalaani kwa mdomo tu, sio kuingiza pua zaoMwaka Israel inatamani hata kukimbia vita. Wanaogopa tu aibu. Israel inatandikwa kisawa sawa.
Good,Wanasema watu wa nne tu wamepata majeraha😂
Kombora zao hazina nguvu, ingependeza nao wangekuwa wanageuza kifusi majengo ya kwao.
Hv pundeHii ni lini?
Hizbullah Leo katembeza Sana kichapo kwa wazayuni,kapiga kambi nyingiWazayuni kwa sound idf wanasema mabaki polisi wanasema direct hit halafu kuna mtu anaamini hawa mazayuni
Hizbullah anatoa doziHizbullah Leo katembeza Sana kichapo kwa wazayuni,kapiga kambi nyingi